ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nina uhakika wapinza hawatashinda hata mitaa 10 nchi nzima
1. Vituoni hamna mawakala wa vyama vya upinzani, Kuna mawakala wa Chama kimoja CCM pekee
Hapa tutegemee hata wakishindwa watasema wameshindwa.
Tunaanguza kura Bure
2. Mawakala waliopo wamezubaa mno
Hawahakiki majina ya wapiga kura wanaofika kituoni.
Yaani ni rahisi kuingiza wapiga kura hewa
3. Mawakala hawawezi kudhibiti kuingiza kura hewa
Kura hewa zinaingia
4. Kuna tetesi mawakala wenu wanahongeka
5. Kwenye kuhuesabu wanazubaishwa
Wanaibiwa kura kama mazuzu
Masikini upinzani wa TANZANIA
Ukiwaona wanalalamika na kuandamana kama wako serious kumbe siyo
Toka mchakato wa uchaguzi utangazwe na hadi uchaguzi kufanyika, mnaibiwa kura kama mazuzu
Tunawapa Imani mnatulipa uzembe
Uchaguzi ni ushindani hutapewa madaraka Kwa huruma
Nimeamini wapinzani wa TANZANIA ndo adui wa democrasia yetu
1. Vituoni hamna mawakala wa vyama vya upinzani, Kuna mawakala wa Chama kimoja CCM pekee
Hapa tutegemee hata wakishindwa watasema wameshindwa.
Tunaanguza kura Bure
2. Mawakala waliopo wamezubaa mno
Hawahakiki majina ya wapiga kura wanaofika kituoni.
Yaani ni rahisi kuingiza wapiga kura hewa
3. Mawakala hawawezi kudhibiti kuingiza kura hewa
Kura hewa zinaingia
4. Kuna tetesi mawakala wenu wanahongeka
5. Kwenye kuhuesabu wanazubaishwa
Wanaibiwa kura kama mazuzu
Masikini upinzani wa TANZANIA
Ukiwaona wanalalamika na kuandamana kama wako serious kumbe siyo
Toka mchakato wa uchaguzi utangazwe na hadi uchaguzi kufanyika, mnaibiwa kura kama mazuzu
Tunawapa Imani mnatulipa uzembe
Uchaguzi ni ushindani hutapewa madaraka Kwa huruma
Nimeamini wapinzani wa TANZANIA ndo adui wa democrasia yetu