Wapinzani na wazalendo wa nchi hii anzisheni chama kipya chenye sura ya kitaifa mtafanikiwa kuungwa mkono na wananchi kipindi hiki muhimu sana!

We pimbi badala ya kuja na mkakati wa kupata katiba mpya Ili domorasia ipanuke zaidi Ili vyama viwe huru kufanya siasa vitanue viwe vya kitaifa

We unaleta blah blah tu
 
Mkuu hawawezi fanikiwa, cdm otadumu na 2025 inachukua dola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…