Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kuna clip inatrend baada tu Mhe. RAIS kutoka nchini Uganda ikionyesha kikundi kidogo Cha watu wakipinga uwekezaji kwenye Bomba la mafuta eti Ufaransa Kuna joto Kali kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.
Hawa wazungu Sasa wamekosa hoja, kwamba tuache kufanya maendeleo kisa kwao Kuna joto. Mbona viwanda vyao vinatoa Moshi hakuna anayeandamana vifungwe? Ni nchi Gani Ulaya imewekeza kupunguza utoaji wa hewa chafu? Wao wawekeze sisi eti Bomba kulazwa chini linaharibu mazingira. Kwamba wanawaonea huruma watanzania wanaoishi Katibu na Bomba la mafuta, kwamba wanaonea huruma misitu karibu na Bomba; ulimbukeni.
Kwenye hoja kama hizi lazima tuungane kusema Tanzania niyetu siyo Yao. Hatuwezi Kuishi maskini kuwalinda wazungu no, hizi propaganda hapana.
Nchi nyingi zinamabomba kwanini Vita iwe TANZANIA? Nani yupo nyuma ya wanaharakati Hawa? Ni yapi malengo Yao? Tusonge Mbele na mama.
Economic intelligence unit hapa inahitajika kuundwa na kuingia Duniani, Tunahitaji intervention ya Dola kwenye hii hoja, Tunahitaji kuonyesha sovereignty yetu kama nchi, Tunahitaji kutoka ndani na kupeleka watu nje kufanya kazi nakushauri strategies, Tunahitaji kuwA Mbele ya Total kimkakati wasitusaliti, tupambane suala hili lifanikiwe; kufeli ni fedhea.
Mama usiondoke kwenda kwao wataandamana na kukuza popularity, tumia wanadiplomasia Ili wakifeli usionekane umefeli Moja Kwa Moja. Kuwa wa Mwisho kutokea kwenye camera, waachie akina January na Mulamula Maana ule upepo unavuma Kwa Kasi ya ajabu. Usiufuate tuma mgambo, polisi na majeshi ya akiba wachokonoe wakushauri tupite wapi tufanikiwe.
Mwisho, usiruhusu watu wakushawishi kuweka rehani rasilimali zetu au vitega uchumi Kwa Bomba hili, Bora tukose kuuza uzaliwa wa kwanza Kwa kikundi Cha watu wanaotumia wanaharakati. Bomba tunalitaka ila mikataba ya mashinikizo tupate uungwaji mkono hapana.
Hawa wazungu Sasa wamekosa hoja, kwamba tuache kufanya maendeleo kisa kwao Kuna joto. Mbona viwanda vyao vinatoa Moshi hakuna anayeandamana vifungwe? Ni nchi Gani Ulaya imewekeza kupunguza utoaji wa hewa chafu? Wao wawekeze sisi eti Bomba kulazwa chini linaharibu mazingira. Kwamba wanawaonea huruma watanzania wanaoishi Katibu na Bomba la mafuta, kwamba wanaonea huruma misitu karibu na Bomba; ulimbukeni.
Kwenye hoja kama hizi lazima tuungane kusema Tanzania niyetu siyo Yao. Hatuwezi Kuishi maskini kuwalinda wazungu no, hizi propaganda hapana.
Nchi nyingi zinamabomba kwanini Vita iwe TANZANIA? Nani yupo nyuma ya wanaharakati Hawa? Ni yapi malengo Yao? Tusonge Mbele na mama.
Economic intelligence unit hapa inahitajika kuundwa na kuingia Duniani, Tunahitaji intervention ya Dola kwenye hii hoja, Tunahitaji kuonyesha sovereignty yetu kama nchi, Tunahitaji kutoka ndani na kupeleka watu nje kufanya kazi nakushauri strategies, Tunahitaji kuwA Mbele ya Total kimkakati wasitusaliti, tupambane suala hili lifanikiwe; kufeli ni fedhea.
Mama usiondoke kwenda kwao wataandamana na kukuza popularity, tumia wanadiplomasia Ili wakifeli usionekane umefeli Moja Kwa Moja. Kuwa wa Mwisho kutokea kwenye camera, waachie akina January na Mulamula Maana ule upepo unavuma Kwa Kasi ya ajabu. Usiufuate tuma mgambo, polisi na majeshi ya akiba wachokonoe wakushauri tupite wapi tufanikiwe.
Mwisho, usiruhusu watu wakushawishi kuweka rehani rasilimali zetu au vitega uchumi Kwa Bomba hili, Bora tukose kuuza uzaliwa wa kwanza Kwa kikundi Cha watu wanaotumia wanaharakati. Bomba tunalitaka ila mikataba ya mashinikizo tupate uungwaji mkono hapana.