Wapinzani simameni na Rais sakata la Bomba la mafuta; Mabadiliko ya tabia nchi hayasababishwi na Bomba la mafuta pekee, wanaharakati wanatumika

Wapinzani simameni na Rais sakata la Bomba la mafuta; Mabadiliko ya tabia nchi hayasababishwi na Bomba la mafuta pekee, wanaharakati wanatumika

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Kuna clip inatrend baada tu Mhe. RAIS kutoka nchini Uganda ikionyesha kikundi kidogo Cha watu wakipinga uwekezaji kwenye Bomba la mafuta eti Ufaransa Kuna joto Kali kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Hawa wazungu Sasa wamekosa hoja, kwamba tuache kufanya maendeleo kisa kwao Kuna joto. Mbona viwanda vyao vinatoa Moshi hakuna anayeandamana vifungwe? Ni nchi Gani Ulaya imewekeza kupunguza utoaji wa hewa chafu? Wao wawekeze sisi eti Bomba kulazwa chini linaharibu mazingira. Kwamba wanawaonea huruma watanzania wanaoishi Katibu na Bomba la mafuta, kwamba wanaonea huruma misitu karibu na Bomba; ulimbukeni.

Kwenye hoja kama hizi lazima tuungane kusema Tanzania niyetu siyo Yao. Hatuwezi Kuishi maskini kuwalinda wazungu no, hizi propaganda hapana.

Nchi nyingi zinamabomba kwanini Vita iwe TANZANIA? Nani yupo nyuma ya wanaharakati Hawa? Ni yapi malengo Yao? Tusonge Mbele na mama.

Economic intelligence unit hapa inahitajika kuundwa na kuingia Duniani, Tunahitaji intervention ya Dola kwenye hii hoja, Tunahitaji kuonyesha sovereignty yetu kama nchi, Tunahitaji kutoka ndani na kupeleka watu nje kufanya kazi nakushauri strategies, Tunahitaji kuwA Mbele ya Total kimkakati wasitusaliti, tupambane suala hili lifanikiwe; kufeli ni fedhea.

Mama usiondoke kwenda kwao wataandamana na kukuza popularity, tumia wanadiplomasia Ili wakifeli usionekane umefeli Moja Kwa Moja. Kuwa wa Mwisho kutokea kwenye camera, waachie akina January na Mulamula Maana ule upepo unavuma Kwa Kasi ya ajabu. Usiufuate tuma mgambo, polisi na majeshi ya akiba wachokonoe wakushauri tupite wapi tufanikiwe.

Mwisho, usiruhusu watu wakushawishi kuweka rehani rasilimali zetu au vitega uchumi Kwa Bomba hili, Bora tukose kuuza uzaliwa wa kwanza Kwa kikundi Cha watu wanaotumia wanaharakati. Bomba tunalitaka ila mikataba ya mashinikizo tupate uungwaji mkono hapana.
 
Sio bomba la mafuta tu hatua nyingi zinazochukuliwa sasa ni hatua muhimu na zinapaswa kuingwa mkono na watu wote waungwana.

Kwa bahati mbaya ni kwamba hao unaowaongelea wao ajenda yao ni kuing'oa CCM.

So hata kama kuna mambo ya maana ya wazi sana, watapiga chenga weeee mradi wapate chansi ya kulaumu
 
Sio bomba la mafuta tu hatua nyingi zinazochukuliwa sasa ni hatua muhimu na zinapaswa kuingwa mkono na watu wote waungwana.

Kwa bahati mbaya ni kwamba hao unaowaongelea wao ajenda yao ni kuing'oa CCM.

So hata kama kuna mambo ya maana ya wazi sana, watapiga chenga weeee mradi wapate chansi ya kulaumu

Wao CCM huwa wanasimama na CDM, au kuunga mkono ni kw CDM tu?
 
Kuna clip inatrend baada tu Mhe. RAIS kutoka nchini Uganda ikionyesha kikundi kidogo Cha watu wakipinga uwekezaji kwenye Bomba la mafuta eti Ufaransa Kuna joto Kali kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Hawa wazungu Sasa wamekosa hoja, kwamba tuache kufanya maendeleo kisa kwao Kuna joto. Mbona viwanda vyao vinatoa Moshi hakuna anayeandamana vifungwe? Ni nchi Gani Ulaya imewekeza kupunguza utoaji wa hewa chafu? Wao wawekeze sisi eti Bomba kulazwa chini linaharibu mazingira. Kwamba wanawaonea huruma watanzania wanaoishi Katibu na Bomba la mafuta, kwamba wanaonea huruma misitu karibu na Bomba; ulimbukeni.

Kwenye hoja kama hizi lazima tuungane kusema Tanzania niyetu siyo Yao. Hatuwezi Kuishi maskini kuwalinda wazungu no, hizi propaganda hapana.

Nchi nyingi zinamabomba kwanini Vita iwe TANZANIA? Nani yupo nyuma ya wanaharakati Hawa? Ni yapi malengo Yao? Tusonge Mbele na mama.

Economic intelligence unit hapa inahitajika kuundwa na kuingia Duniani, Tunahitaji intervention ya Dola kwenye hii hoja, Tunahitaji kuonyesha sovereignty yetu kama nchi, Tunahitaji kutoka ndani na kupeleka watu nje kufanya kazi nakushauri strategies, Tunahitaji kuwA Mbele ya Total kimkakati wasitusaliti, tupambane suala hili lifanikiwe; kufeli ni fedhea.

Mama usiondoke kwenda kwao wataandamana na kukuza popularity, tumia wanadiplomasia Ili wakifeli usionekane umefeli Moja Kwa Moja. Kuwa wa Mwisho kutokea kwenye camera, waachie akina January na Mulamula Maana ule upepo unavuma Kwa Kasi ya ajabu. Usiufuate tuma mgambo, polisi na majeshi ya akiba wachokonoe wakushauri tupite wapi tufanikiwe.

Mwisho, usiruhusu watu wakushawishi kuweka rehani rasilimali zetu au vitega uchumi Kwa Bomba hili, Bora tukose kuuza uzaliwa wa kwanza Kwa kikundi Cha watu wanaotumia wanaharakati. Bomba tunalitaka ila mikataba ya mashinikizo tupate uungwaji mkono hapana.
Kwa anayeelewa mradi wa bomba la mafuta ulishaonesha kufeli tangu kitambo kabisa kiasi cha miaka minne iliyopita na nimekuwa nawaambia watu mradi huo hautafanikiwa lakini hawaelewi. Kwa kifupi mno:

-Kuna trend nyingine inayoendelea ambayo watanzania wengi mno hawaielewi wakifikiri na mambo ya kufikirika au ya siku nyingi sana zijazo; haya ni masuala renewable energy. Suala hili limeshika kasi kubwa takribani miaka 5 sasa na nchi zote matajiri zilishajiwekea malengo ya kuachana na matumizi ya fossil fuels nchi ngingine kuanzia 2030, nyingine 2040, hadi 2050.

Sisi huku hatujui kuwa nchi zilizoendelea sasa zina discourage uwekezaji kwenye fossil fuels, tunaendelea kumshauri mama awekeze huko tunapotea sana.

-Tayari makampuni makubwa kama BP yalishajitoa kwenye uwekezaji wa bomba la Uganda-Tz. Pia mabenki makubwa ya kimataifa yalishajitoa hivi majuzi tu.

Haya yote ni wachache wanaelewa na wengine serikalini hawataki kuwa wazi kumshauri rais au kuwaambia wananchi.

Ukweli ni kwamba bomba hilo halitajengwa tena sasa zimebaki siasa za danganya toto zitakazoisha with time pekee.
 
Wakati wa matatizo mnataka tupambane wote ila wakati wa kula asali mnasema tunawaonea wivu kwa kua nchi ni yenu na chama ni chenu.

Haya tokeni na familia zenu mkapambanie mali ya familia zenu.
😂😂😂
 
Total na CNOOC sio kampuni ndogo wenyewe hawajatoka hadharani kusema hawana funds za mradi watanzania mshaanza mambo yenu ya kishamba.

Hayo makampuni ya mafuta kutwa yanapambana na sera za mazingira ambayo yanawalazimu kuwekeza billions kwenye technology kila mwaka, yana reserve budget ya kupambana na environment clean up disaster in billions.

Makampuni makubwa mawili ya mafuta kama Total na CNOOC yatashindwa ku raise $2.5 billion dollars wao wenyewe tayari washa commit $1 billion dollars na washatumia billion kadhaa za awali kwenye kutafuta mafuta, kulipa capital gains tax, kununua share za Tullow oil, washawekeza kwenye social investment in Uganda.

Hivi unadhani watakubali investment zote hizo za awali zipotee kijinga kijinga; wewe mtanzania uone bank moja tu kwenye syndicate kujitoa ndio ujifanye upo concerned na hilo bomba kuliko watu ambao tayari wana sunk-costs zaidi ya $2-3 billion.

Embu tuache hizi tabia zetu za kishamba kudandia vitu kwa juu juu tu.
 
Kuna clip inatrend baada tu Mhe. RAIS kutoka nchini Uganda ikionyesha kikundi kidogo Cha watu wakipinga uwekezaji kwenye Bomba la mafuta eti Ufaransa Kuna joto Kali kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Hawa wazungu Sasa wamekosa hoja, kwamba tuache kufanya maendeleo kisa kwao Kuna joto. Mbona viwanda vyao vinatoa Moshi hakuna anayeandamana vifungwe? Ni nchi Gani Ulaya imewekeza kupunguza utoaji wa hewa chafu? Wao wawekeze sisi eti Bomba kulazwa chini linaharibu mazingira. Kwamba wanawaonea huruma watanzania wanaoishi Katibu na Bomba la mafuta, kwamba wanaonea huruma misitu karibu na Bomba; ulimbukeni.

Kwenye hoja kama hizi lazima tuungane kusema Tanzania niyetu siyo Yao. Hatuwezi Kuishi maskini kuwalinda wazungu no, hizi propaganda hapana.

Nchi nyingi zinamabomba kwanini Vita iwe TANZANIA? Nani yupo nyuma ya wanaharakati Hawa? Ni yapi malengo Yao? Tusonge Mbele na mama.

Economic intelligence unit hapa inahitajika kuundwa na kuingia Duniani, Tunahitaji intervention ya Dola kwenye hii hoja, Tunahitaji kuonyesha sovereignty yetu kama nchi, Tunahitaji kutoka ndani na kupeleka watu nje kufanya kazi nakushauri strategies, Tunahitaji kuwA Mbele ya Total kimkakati wasitusaliti, tupambane suala hili lifanikiwe; kufeli ni fedhea.

Mama usiondoke kwenda kwao wataandamana na kukuza popularity, tumia wanadiplomasia Ili wakifeli usionekane umefeli Moja Kwa Moja. Kuwa wa Mwisho kutokea kwenye camera, waachie akina January na Mulamula Maana ule upepo unavuma Kwa Kasi ya ajabu. Usiufuate tuma mgambo, polisi na majeshi ya akiba wachokonoe wakushauri tupite wapi tufanikiwe.

Mwisho, usiruhusu watu wakushawishi kuweka rehani rasilimali zetu au vitega uchumi Kwa Bomba hili, Bora tukose kuuza uzaliwa wa kwanza Kwa kikundi Cha watu wanaotumia wanaharakati. Bomba tunalitaka ila mikataba ya mashinikizo tupate uungwaji mkono hapana.

Ni kufuatilia tuu kwa ukaribu ahsante kwa mada!
 
Total na CNOOC sio kampuni ndogo wenyewe hawajatoka hadharani kusema hawana funds za mradi watanzania mshaanza mambo yenu ya kishamba.

Hayo makampuni ya mafuta kutwa yanapambana na sera za mazingira ambayo yanawalazimu kuwekeza billions kwenye technology kila mwaka, yana reserve budget ya kupambana na environment clean up disaster in billions.

Makampuni makubwa mawili ya mafuta kama Total na CNOOC yatashindwa ku raise $2.5 billion dollars wao wenyewe tayari washa commit $1 billion dollars na washatumia billion kadhaa za awali kwenye kutafuta mafuta, kulipa capital gains tax, kununua share za Tullow oil, washawekeza kwenye social investment in Uganda.

Hivi unadhani watakubali investment zote hizo za awali zipotee kijinga kijinga; wewe mtanzania uone bank moja tu kwenye syndicate kujitoa ndio ujifanye upo concerned na hilo bomba kuliko watu ambao tayari wana sunk-costs zaidi ya $2-3 billion.

Embu tuache hizi tabia zetu za kishamba kudandia vitu kwa juu juu tu.
Shida mkuu sio kujitoa kwa total,hali iliyopo wanaharakati wanadai hilo bomba likipitia TZ litaharibu mazingira wanachotaka wao baada ya kufanikiwa lisipitie TZ liende kenya,sasa hapo uoni kama kuna sabotage ya kuukwamisha huu mradi kuja TZ?
 
Sio bomba la mafuta tu hatua nyingi zinazochukuliwa sasa ni hatua muhimu na zinapaswa kuingwa mkono na watu wote waungwana.

Kwa bahati mbaya ni kwamba hao unaowaongelea wao ajenda yao ni kuing'oa CCM.

So hata kama kuna mambo ya maana ya wazi sana, watapiga chenga weeee mradi wapate chansi ya kulaumu
Badala ya kuunganisha unazidisha ufa, wao kina nani.
 
White elephant project itakayomuyumbisha Rais ni pamoja na hili suala la Bomba la mafuata.

BP walijitoa baada ya kuona mambo si mambo, kuna baadhi ya makampuni yamepiga chini huu mchakato...

CCM na serikali yake ipambane na hali yake maana walijifanya hawapokei michango na maoni ya pande kinzani ambayo yalikuwa very essential.. now mnaanza kutafuta huruma ya kumpambania mama?
 
Kuna clip inatrend baada tu Mhe. RAIS kutoka nchini Uganda ikionyesha kikundi kidogo Cha watu wakipinga uwekezaji kwenye Bomba la mafuta eti Ufaransa Kuna joto Kali kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Hawa wazungu Sasa wamekosa hoja, kwamba tuache kufanya maendeleo kisa kwao Kuna joto. Mbona viwanda vyao vinatoa Moshi hakuna anayeandamana vifungwe? Ni nchi Gani Ulaya imewekeza kupunguza utoaji wa hewa chafu? Wao wawekeze sisi eti Bomba kulazwa chini linaharibu mazingira. Kwamba wanawaonea huruma watanzania wanaoishi Katibu na Bomba la mafuta, kwamba wanaonea huruma misitu karibu na Bomba; ulimbukeni.

Kwenye hoja kama hizi lazima tuungane kusema Tanzania niyetu siyo Yao. Hatuwezi Kuishi maskini kuwalinda wazungu no, hizi propaganda hapana.

Nchi nyingi zinamabomba kwanini Vita iwe TANZANIA? Nani yupo nyuma ya wanaharakati Hawa? Ni yapi malengo Yao? Tusonge Mbele na mama.

Economic intelligence unit hapa inahitajika kuundwa na kuingia Duniani, Tunahitaji intervention ya Dola kwenye hii hoja, Tunahitaji kuonyesha sovereignty yetu kama nchi, Tunahitaji kutoka ndani na kupeleka watu nje kufanya kazi nakushauri strategies, Tunahitaji kuwA Mbele ya Total kimkakati wasitusaliti, tupambane suala hili lifanikiwe; kufeli ni fedhea.

Mama usiondoke kwenda kwao wataandamana na kukuza popularity, tumia wanadiplomasia Ili wakifeli usionekane umefeli Moja Kwa Moja. Kuwa wa Mwisho kutokea kwenye camera, waachie akina January na Mulamula Maana ule upepo unavuma Kwa Kasi ya ajabu. Usiufuate tuma mgambo, polisi na majeshi ya akiba wachokonoe wakushauri tupite wapi tufanikiwe.

Mwisho, usiruhusu watu wakushawishi kuweka rehani rasilimali zetu au vitega uchumi Kwa Bomba hili, Bora tukose kuuza uzaliwa wa kwanza Kwa kikundi Cha watu wanaotumia wanaharakati. Bomba tunalitaka ila mikataba ya mashinikizo tupate uungwaji mkono hapana.
Beatrice, unauliza ni nchi gani Ulaya watu wanaandamana viwanda vinavyotoa mishi vifungwa? Ziko nchi nyingi na kwa jumla viwanda vinavyotoa moshi vimeshabadilisha tekinolojia au kufungwa. Kupunguza utoaji hewa chafu? Nchi kubwa kama Ujerumani na Ufaransa vinafunga vituo vya umeme vinavyotumia makaa kahawia pia makaa mawe (inayopatikana kwa bei nafuu) kwa vinatoa sababu kiasi kikubwa cha hewa ukaa CO2.
Halafu bomba si sawa na bomba. Mafuta kutoka Uganda ni nene sana. Yanapashwa moto ili yaweze kutiririka bombani. Hatari iko kwa maji chini ya ardhi katika maeneo makubwa ya beseni ya Ziwa Viktoria Nyanza.
Pamoja na hayo: nishati inayokuja ni nishjati mbadala kama umemejua na umemeupepo. Gesi na mafuta zinazidi kupungua umuhimu...

Changamoto ya kupanda kwa halijoto duniani ni kubwa hasa Afrika. Wazungu hao bado wana pesa kupoza hewa kwenye majengo yao. nani ataweza hapa mara joto linazidi?
 
Wakati wa matatizo mnataka tupambane wote ila wakati wa kula asali mnasema tunawaonea wivu kwa kua nchi ni yenu na chama ni chenu.

Haya tokeni na familia zenu mkapambanie mali ya familia zenu.
Stroke umekuwaje tena.
 
Shida mkuu sio kujitoa kwa total,hali iliyopo wanaharakati wanadai hilo bomba likipitia TZ litaharibu mazingira wanachotaka wao baada ya kufanikiwa lisipitie TZ liende kenya,sasa hapo uoni kama kuna sabotage ya kuukwamisha huu mradi kuja TZ?
Kuna kale kabinti na wanamazingira wenzie kutoka Kenya, Poland, France na Germany wanajifanya kupinga huu mradi juzi nilikatumia meseji ya kukablust kutumiwa na wakenya akakujibu kitu, Kimsingi wakenya wanahusika sana na hii propaganda.
 
Back
Top Bottom