Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye Bachelor, Masters na PhD kwa ajili ya kuchukua nchi 2025

Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye Bachelor, Masters na PhD kwa ajili ya kuchukua nchi 2025

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.

Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.

Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k

Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.

Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.

Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
 
Nikajua wachukue wasomi waje kusaidia upinzani kujenga hoja zenye mashiko na kuleta mipangomkakati ambayo iko more relevant kuliko iliyopo, maana naona bado wapinzani wana ile mentality ya kuwa watz ni wajinga, kwa sasa watz hatutaki mastory tunataka hoja zenye mashiko na ziwe zinalenga kubadilisha maisha wa watanzania. Kwa kifupi wasomi wawe think-tank ya upinzani kuwasaidia kuonekana kuwa wakombozi na sio watu wenye tamaa ya madaraka kila wanapojitokeza mbele ya uma,

Wakifanya hivyo watanzania tutakua nyuma yao no matter what.
 
Hilo zoezi Mbowe alishalifanyaga kuanzia mwaka 2000 ndio akawapata akina Zitto Kabwe, Juliana Shonza, Patrobas Katambi, David Silinde, Halima Mdee, Esther Matiko.....nk...nk!

Je, Chadema iko wapi leo hii?
Zoezi la kujenga chama ni endelevu. Hatuwezi kubaki na kina mdude tu. Ni lazima tuendelee kuongeza wengine. Huoni CCM walivyoongeza kina hapi, mtaka, togolani, chalamila, Pima, kihenzile, kafulila. CHADEMA no lazima waongeze Human capital no matter what
 
Upinzani wangekua madarakani lakini walionesha udhaifu pale walipopokea jasusi lenye nywele nyeupe na kutuambia ni mtukufu edward kisa kavaa combat la makamanda

Wajitokeze hadharani, waombe msamaha taifa kwa yale maamuzi yaliyotawaliwa na tamaa ndio sasa waje kuomba wananchi tuwapeleke ikulu, vinginevyo hii dhambi itawaandama mpaka.....
 
Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.

Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.

Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k

Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.

Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.

Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Nani kakwambia wenye mavyeti eti ndo wasomi? Wasomi halisi hawana vyeti ila wanatumia brains zao kuargue. We endelea na mavyeti yako wakati marekani sasa hivi hawaajiri tena vyeti bali uwezo wa mtu ambao hauna uhusiano na vyeti kabisa
 
Zoezi la kujenga chama ni endelevu. Hatuwezi kubaki na kina mdude tu. Ni lazima tuendelee kuongeza wengine. Huoni CCM walivyoongeza kina hapi, mtaka, togolani, chalamila, Pima, kihenzile, kafulila. CHADEMA no lazima waongeze Human capital no matter what
Kwahiyo mnataka mfanane na CCM?

Bado mna safari ndefu sana bwashee!
 
Nikajua wachukue wasomi waje kusaidia upinzani kujenga hoja zenye mashiko na kuleta mipangomkakati ambayo iko more relevant kuliko iliyopo, maana naona bado wapinzani wana ile mentality ya kuwa watz ni wajinga, kwa sasa watz hatutaki mastory tunataka hoja zenye mashiko na ziwe zinalenga kubadilisha maisha wa watanzania. Kwa kifupi wasomi wawe think-tank ya upinzani kuwasaidia kuonekana kuwa wakombozi na sio watu wenye tamaa ya madaraka kila wanapojitokeza mbele ya uma,

Wakifanya hivyo watanzania tutakua nyuma yao no matter what.
Hivi na wewe ni mtanzania!
 
Hilo zoezi Mbowe alishalifanyaga kuanzia mwaka 2000 ndio akawapata akina Zitto Kabwe, Juliana Shonza, Patrobas Katambi, David Silinde, Halima Mdee, Esther Matiko.....nk...nk!

Je, Chadema iko wapi leo hii?
Mpaka nakumbuka serikalini ikaja na hoja kuwa hawataki siasa mashuleni baada ya kuona wimbi kubwa la graduates wanajiunga na CHADEMA miaka hiyo na hata sasa hili wimbi la kusema kuwa chama Cha mapinduzi kinawapa nafasi vijana ilitokana na Mbowe kipindi hicho CCM walikua wamejaza wazee kwenye nafasi mbalimbali za uongozi
 
Ushauri mzuri huu,kwa sasa walio mstari wa mbele kwenye chama ni washkaji,masela na wahuni tu.
 
Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.

Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.

Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k

Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.

Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.

Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Lakini je wananchi kukombolewa au wameridhika na hali
 
Unadhani ni jambo rahisi eh? Mbowe kajitahidi hii miaka 20 leo hii nini kinamtokea? Wengine aliwakuta hata viatu vizuri hawana, akawanunulia, wameishia kumtukana na kumzushia mambo ya ajabu kabisa! Wako wapi akina Mdee, Zitto, Mwita, Katambi na wengineo? Unatumia nguvu kuwajenga ukidhani wenzio kumbe wao njaa ndiyo inayowaongoza, siasa za Afrika ngumu sana, na sababu kubwa ni njaa tuliyonayo
 
Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.

Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.

Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k

Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.

Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.

Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Hao unaowataka labda wawe toka nchi za nje si watanzania wasomi wenye PhD wanaoishia kukuna vichwa na kuja na kubangua korosho kwa meno na tozo zisizo na majibu.
 
Wapinzani tafuteni watu wasomi wenye bachelor, masters na PhD kwaajili ya kuchukua nchi 2025.

Tafuteni wachumi, wanasheria, wanasayansi, mainjinia, wahasibu, watu wasiasa, wanahistoria wenye bachelor, masters, PhD, waandikisheni, jazeni kwenye chama.

Fanyeni hivyo, nendeni vyuoni andikisheni vijana wasomi. Hao ndio watakua wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mawaziri, n.k

Mkipata muda wa kuzungumza na wananchi waambieni wananchi serikali yenu itawaletea ajira, itawaondolea TOZO, itawaletea elimu bora, itawaletea huduma Bora za kijamii, itawaletea katiba mpya itakayoleta usawa nchini.

Mkipata muda yasemeni hayo, msilalamike kwamba mnanyimwa uhuru bali zungumzeni hizo hoja nilizozisema.

Hivi sasa wananchi wapo upande wenu hivyo jaribuni kutumia akili hiyo. Kwa ushauri zaidi njoo inbox.
Tunataka watu wa kawsida.
Hatujasahau ya Dr wa Kemia
 
Back
Top Bottom