Kamanda Asiyechoka JF-Expert Member Joined Sep 13, 2020 Posts 3,315 Reaction score 5,058 Oct 1, 2023 #1 Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa. Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania. Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana.
Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa. Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania. Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Oct 1, 2023 #2 Ruzuku
U ukawa dona JF-Expert Member Joined Feb 8, 2023 Posts 516 Reaction score 887 Oct 1, 2023 #3 Wewe ni zumbukuku wa wapi.
G Gangala JF-Expert Member Joined Nov 6, 2022 Posts 699 Reaction score 701 Oct 1, 2023 #4 Kamanda Asiyechoka said: Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa. Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania. Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana. View attachment 2768839 Click to expand... Siku hizi wako wazi Sana sema sasa wanatetewa mno
Kamanda Asiyechoka said: Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa. Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania. Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana. View attachment 2768839 Click to expand... Siku hizi wako wazi Sana sema sasa wanatetewa mno
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Oct 1, 2023 #5 Wewe mwenyewe ni kibaraka wa CCM acha ufala.