Wapinzani tutumie mbinu gani kuwang'amua wapinzani feki na vibaraka wa CCM ambao wametukwamisha kupata ukombozi

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa.

Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania.

Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana.

 
Wewe mwenyewe ni kibaraka wa CCM acha ufala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…