Wapinzani wa Simba kupewa red card ni maelekezo kutoka TFF au waamuzi wetu wana viwango hafifu?

Mtu ambaye kakuzidi pointi na ana uhakika wa kukupasua kwenye game dhidi yako anaanzaje kuumia kwa ushindi wenu wa kuunga unga,kolo's ndio mmeshinda lkn hamna furaha maana ushindi wenyewe wa mchongo
Ungekuwa na uhakika usingekuwa unafuatilia matokeo ya Simba, na wala usingejali hata akishinda kwa mchongo 😀
 
Reactions: Tui
Kanote ajawai pewa red alafu kilicho sababisha wasiende dodom mzamiru, kanote ,onyango ni nini?
 

Sisi Wana wa jangwani Tuliumizwa mnoo na Hili kaka daa Acha tuu[emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…