Wapinzani wa Simba kupewa red card ni maelekezo kutoka TFF au waamuzi wetu wana viwango hafifu?

Wapinzani wa Simba kupewa red card ni maelekezo kutoka TFF au waamuzi wetu wana viwango hafifu?

Mtu ambaye kakuzidi pointi na ana uhakika wa kukupasua kwenye game dhidi yako anaanzaje kuumia kwa ushindi wenu wa kuunga unga,kolo's ndio mmeshinda lkn hamna furaha maana ushindi wenyewe wa mchongo
Ungekuwa na uhakika usingekuwa unafuatilia matokeo ya Simba, na wala usingejali hata akishinda kwa mchongo 😀
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kanote ajawai pewa red alafu kilicho sababisha wasiende dodom mzamiru, kanote ,onyango ni nini?
 
Imekuwa ni kawaida sasa Timu mgeni zikicheza na Simba uwanja wa taifa lazima wamalize pungufu kwa mchezaji wao mmoja au zaidi kupewa redi kadi huku Simba wakipewa penati zenye utata.

Je, TFF na bodi ya ligi wameyabariki haya yatokee? Au tuwalaumu waamuzi kwa upendeleo wa wazi wanaoufanya na kuziumiza timu pinzani kila zichezapo na Simba?

Niko hapa nasubiri majibu

Sisi Wana wa jangwani Tuliumizwa mnoo na Hili kaka daa Acha tuu[emoji30]
 
Back
Top Bottom