Wapinzani wa Simba Queens Klabu Bingwa Africa hawa hapa

Wapinzani wa Simba Queens Klabu Bingwa Africa hawa hapa

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
FB_IMG_16627229563465925.jpg
 
Na sisi tutawaazima mwanadada wetu hatari kabisa Edna Lema (Mourinho) ili awasaidie! Kwanza ni aibu kwa dume zima kufundisha timu ya wanawake.

Bora hata kocha Boniface Mkwasa aliliona hili mapema, akakimba.

Stupid
 
Mafanikio ya Simba Queens mbona hayashadadiwi sana na vyombo vya habari vya Tanzania? Au ni jambo dogo sana??
 
Back
Top Bottom