Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa Watanzania.
 
Mihuli ya itikadi za Magufuli haiwezi futika mioyoni mwa watanzania tabaka la chini ambao ni 90% ya watanzania wote na matajiri 4.3% wapendao haki mpaka mimi na wewe unsesoma komenti hii tufe!
 
Huwa mnazungumzia watanzania gani? Marehemu Shujaa alisema kuwa wabunge wengi hawakuchaguliwa na wananchi, na Lusinde karudia kuwa wapo Bungeni kwa UBAVU wa Shujaa!

Wekeni free and fair election muone rangi halisi ya watanzania kuhusu CCM na Shujaa.

Kuhusu ripoti ya CAG ni sindano kwenye kalio la CCM, inachoma mno msijitikise itakatikia ndani.

Kichere kaongezewa ulinzi kwa kuwa mnataka kumdhuru.
 
Mtoa hoja una matatizo ya uchoyo wa ukweli,mbaguzi mkubwa,na unafiki mkubwa,wapinzani wote ni watanzania na ni haki yao kuongea na hii nchi sio ya ccm ni nchi ya sisi wote pamoja na utofauti wetu wa kiitikadi(ni haki iliyomo kwenye KATIBA)acha kujifanya una hati miliki ya nchi hii na uoga wa ccm upo wapi?kama wanajiamini tell them to level the playing field halafu wananchi waamue nani anasitahili kuongoza nchi yetu.
 
Ujumbe wako hapa ni upi,hasa au nawewe umeamua kuwa kama unaowasema.
 
Akili za MATAGA bana shida sana badala kusikiti ripoti ya CAG no kama watch dog penye uthaifu mjishihishe unaanza kuifikiria CDM hopeless kabisa inawezekana huyu no msomi
 
Tulikubaliana upinzani umekufa. Kwa kudhirisha hili bunge ni 98% sisiemu, serikali za mitaa ni 100% sisiemu.

Hao wapinzani mnaowazungumzia na kuwaambatanisha na taarifa ya mkaguzi ni wapi?

Tutambue jambo moja upinzani ni upingwaji wa uonevu na kila aina ya ubaya atendewayo mtu. Upinzani ni zao la kutotendewa haki za wazi wazi au za vificho ila matokeo huonekana. Upinzani sio chama au taasisi au mtu. Hawa hua ni kielelezo tu cha kuongoza upinzani wa watu. Wapo wapinzani wengi waliuawa na watawala wakiamini ndio chanzo cha wao kupingwa ila baada ya muda upinzani hurudi pale pale na yamkini mara nyingi huweza kurudi kwa kasi.

KUUMALIZA UPINZANI.

TENDA HAKI.
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
Ripoti ya CAG kama haijawapaisha wapinzani basi imewapiga kabari na pingu za miguu maccm! Ndio maana unasikia maCAG wote wawili Assad na Kicheere wanatishiwa maisha! Ina maana mpaka sasa hivi timu ya CAG/ Wapinzani 3 Maccm na serikali yao wana -ve0!!!
Of course wewe ni mataga huwezi kuiona hiyo hesabu ndefu na darasa lako la kayumba!
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
ni sawa lakini lakini hata zile trillion 1.5 alizopiga magu wewe mwenyewe hukupata!!
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
Kuwapisha kivipi kwa report ya CAG niyanani
 
Tulikubaliana upinzani umekufa. Kwa kudhirisha hili bunge ni 98% sisiemu, serikali za mitaa ni 100% sisiemu.

Hao wapinzani mnaowazungumzia na kuwaambatanisha na taarifa ya mkaguzi ni wapi?

Tutambue jambo moja upinzani ni upingwaji wa uonevu na kila aina ya ubaya atendewayo mtu. Upinzani ni zao la kutotendewa haki za wazi wazi au za vificho ila matokeo huonekana. Upinzani sio chama au taasisi au mtu. Hawa hua ni kielelezo tu cha kuongoza upinzani wa watu. Wapo wapinzani wengi waliuawa na watawala wakiamini ndio chanzo cha wao kupingwa ila baada ya muda upinzani hurudi pale pale na yamkini mara nyingi huweza kurudi kwa kasi.

KUUMALIZA UPINZANI.

TENDA HAKI.
Unajua maana ya upinzani? Upinzani wenye nguvu? Upinzani hai?
 
Mihuli ya itikadi za Magufuli haiwezi futika mioyoni mwa watanzania tabaka la chini ambao ni 90% ya watanzania wote na matajiri 4.3% wapendao haki mpaka mimi na wewe unsesoma komenti hii tufe!
Mh?
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
CCM ni janga la kitaifa. Kwahiyo wewe huoni jinsi wabunge wa CCM wanavyopalulana bungeni?
 
Back
Top Bottom