Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Wapinzani walidhani ripoti ya CAG itawapaisha lakini wameambulia patupu. Sasa wanatakiwa wasiwe wanakurupuka

Wewe mkabila mbaguzi mchochezi hebu badili mwelekeo huamini Mwedazake katangulia?tusubiri zetu
 
Mihuli ya itikadi za Magufuli haiwezi futika mioyoni mwa watanzania tabaka la chini ambao ni 90% ya watanzania wote na matajiri 4.3% wapendao haki mpaka mimi na wewe unsesoma komenti hii tufe!
Hiyo mihuli inakutambulisha na kukufananisha na mtoa mada, poleni! Mungu atawafanyia wepesi!
 
Haiondoi ukweli kuwa Trillion 1.5 za Chato airport hazijajulikana zilikwenda wapi...
 
ni sawa lakini lakini hata zile trillion 1.5 alizopiga magu wewe mwenyewe hukupata!!
Wewe zile za CHADEMA alizopiga Mbowe kwa kisingizio cha kurudishiwa mkopo aliyoikopesha CHADEMA, ulipata kiasi?
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
🤣🤣🤣Maisha haya
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
Wewe ni kenge wale wale, watetezi wa wezi. Unabishana na CAG!! Basi andika taarifa yako jinsi unapenda iwe upeleke bungeni.

Mpuuzi kabisa wewe.
 
Wewe ni kenge wale wale, watetezi wa wezi. Unabishana na CAG!! Basi andika taarifa yako jinsi unapenda iwe upeleke bungeni.

Mpuuzi kabisa wewe.
Lack of education is a big problem.
 
Mihuli ya itikadi za Magufuli haiwezi futika mioyoni mwa watanzania tabaka la chini ambao ni 90% ya watanzania wote na matajiri 4.3% wapendao haki mpaka mimi na wewe unsesoma komenti hii tufe!
Kubwa jinga wewe. Mihuri umepigwa makalioni kwako wewe na mkeo. Angalao nchi ina amani kiasi sasa hivi baada ya huyo hayawani kusepa.
 
Wewe zile za CHADEMA alizopiga Mbowe kwa kisingizio cha kurudishiwa mkopo aliyoikopesha CHADEMA, ulipata kiasi?
bado upo na akili ya vyama?

Kuwa mzalendo ni kuipenda nchi, sio lazima Serikali. Wakati mwingine Serikali hushikwa na kundi la waasi,wahuni au matapeli​

 
Hili jukwaa litaendelea kupoteza watu serious likiendelea ku entertain nyuzi za namna hii.
 
Mantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.

Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.

Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.

Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
Watanzania wanachoshukuru ni kujua kumbe awamu ya 5 ilikithiri kwa ufisadi.
Wakati walikuwa wanaimbiwa mapambio kuwa ni serikale takatifu.
 
Mihuli ya itikadi za Magufuli haiwezi futika mioyoni mwa watanzania tabaka la chini ambao ni 90% ya watanzania wote na matajiri 4.3% wapendao haki mpaka mimi na wewe unsesoma komenti hii tufe!
Naona ndiyo umekimbia kutoka kambi ya wakimbizi mutabila
 
Back
Top Bottom