Asante sana mkuu kwa kumaliza kazi ya kuwafunga midomo hao ma sukuma gangHuwa mnazungumzia watanzania gani? Marehemu Shujaa alisema kuwa wabunge wengi hawakuchaguliwa na wananchi, na Lusinde karudia kuwa wapo Bungeni kwa UBAVU wa Shujaa!
Wekeni free and fair election muone rangi halisi ya watanzania kuhusu CCM na Shujaa.
Kuhusu ripoti ya CAG ni sindano kwenye kalio la CCM, inachoma mno msijitikise itakatikia ndani.
Kichere kaongezewa ulinzi kwa kuwa mnataka kumdhuru.
Wao kwao mtu yeyote anaye ikosoa ccm au kuanika uchafu wake ni adui mkubwaWewe kweli zero kwani ripoti ya CAG imeandikwa na wapinzani.
Hao ndiyo wenye kundi linalo pigana kuhakikisha wanapandikiza watu wao kwenye utawala wa mama Samia ili kuendeleza ukatili wao.Mtoa hoja una matatizo ya uchoyo wa ukweli,mbaguzi mkubwa,na unafiki mkubwa,wapinzani wote ni watanzania na ni haki yao kuongea na hii nchi sio ya ccm ni nchi ya sisi wote pamoja na utofauti wetu wa kiitikadi(ni haki iliyomo kwenye KATIBA)acha kujifanya una hati miliki ya nchi hii na uoga wa ccm upo wapi?kama wanajiamini tell them to level the playing field halafu wananchi waamue nani anasitahili kuongoza nchi yetu.
Hawa ndiyo maadui wa maendeleo ya taifa letuKwa akili kama hizi CCM mafisadi na majizi yataendelea kutawala mpka yesu arudi
Wachana na mataga maana sasa hivi ni wajaneUjumbe wako hapa ni upi,hasa au nawewe umeamua kuwa kama unaowasema.
walimchukua lowasa pia wakaambulia patupuMantiki ya kisiasa ya wapinzani wa kisiasa hapa Bongo hasa ACT wazalendo na Chadema kuwa ikitokea kuna suala fulani ndio iwe upenyo wa kupata kick za kisiasa sasa hivi halina nafasi tena. Maana watanzania wanafanya mambo yao kwa kutumia busara.
Huwezi ukawq upo Dubai umejifungia na kudhani ukijiliza kuwa kuna ufisadi au ulilipishawa kodi bil mbil ndio sababu ya kupata kick ya kisiasa.
Huwezi kukakamaa kwenye makamera ukikomaa kulazimisha hoja za ukaguzi wa CAG kuwa tayari ni undhirifu wa tril 3.6 huku ukidhani watanzania ni wajinga huku unapayuka mpaka shati linalowana kwa jasho la ukwapa kwa kudanganya watu kuwa mafuriko ya Morogoro na Rufiji yalisababishwa na ubovu wa bwawa la stieglers.
Huu sio wakati wa kuwapanda vichwa watanzania.
Ndiyo wasomi wanao furahia mawazo ya kina kibajaj na msukuma kuwa std 7 wana uwezo kuwashinda wenye phdAkili za MATAGA bana shida sana badala kusikiti ripoti ya CAG no kama watch dog penye uthaifu mjishihishe unaanza kuifikiria CDM hopeless kabisa inawezekana huyu no msomi
Salaam zimewafikia matagaTulikubaliana upinzani umekufa. Kwa kudhirisha hili bunge ni 98% sisiemu, serikali za mitaa ni 100% sisiemu.
Hao wapinzani mnaowazungumzia na kuwaambatanisha na taarifa ya mkaguzi ni wapi?
Tutambue jambo moja upinzani ni upingwaji wa uonevu na kila aina ya ubaya atendewayo mtu. Upinzani ni zao la kutotendewa haki za wazi wazi au za vificho ila matokeo huonekana. Upinzani sio chama au taasisi au mtu. Hawa hua ni kielelezo tu cha kuongoza upinzani wa watu. Wapo wapinzani wengi waliuawa na watawala wakiamini ndio chanzo cha wao kupingwa ila baada ya muda upinzani hurudi pale pale na yamkini mara nyingi huweza kurudi kwa kasi.
KUUMALIZA UPINZANI.
TENDA HAKI.
Alafu mataga wengi wao ni raia wa nchi jiraniRipoti ya CAG kama haijawapaisha wapinzani basi imewapiga kabari na pingu za miguu maccm! Ndio maana unasikia maCAG wote wawili Assad na Kicheere wanatishiwa maisha! Ina maana mpaka sasa hivi timu ya CAG/ Wapinzani 3 Maccm na serikali yao wana -ve0!!!
Of course wewe ni mataga huwezi kuiona hiyo hesabu ndefu na darasa lako la kayumba!
Wana roho mbaya sana hao wadudu[emoji23][emoji23][emoji23]
MATAGA wanataka kum - Tundu Lissu?!!!
Upinzani kufa ni kukosa uhai, ila vyama vya upinzani vipo,tumia akili kupambanua mambo.Tulikubaliana upinzani umekufa. Kwa kudhirisha hili bunge ni 98% sisiemu, serikali za mitaa ni 100% sisiemu.
Hao wapinzani mnaowazungumzia na kuwaambatanisha na taarifa ya mkaguzi ni wapi?
Tutambue jambo moja upinzani ni upingwaji wa uonevu na kila aina ya ubaya atendewayo mtu. Upinzani ni zao la kutotendewa haki za wazi wazi au za vificho ila matokeo huonekana. Upinzani sio chama au taasisi au mtu. Hawa hua ni kielelezo tu cha kuongoza upinzani wa watu. Wapo wapinzani wengi waliuawa na watawala wakiamini ndio chanzo cha wao kupingwa ila baada ya muda upinzani hurudi pale pale na yamkini mara nyingi huweza kurudi kwa kasi.
KUUMALIZA UPINZANI.
TENDA HAKI.
Hujitambui wewe munyamulengeUnajua maana ya upinzani? Upinzani wenye nguvu? Upinzani hai?
Kudadadeeeekiiiii umepigwa spana hadi unaanza kurohojaHujui kuelewa?
Ccm ndio adui wa maendeleo ya watanzaniaCCM ni janga la kitaifa. Kwahiyo wewe huoni jinsi wabunge wa CCM wanavyopalulana bungeni?
Mataga wanatuharibia nchiUpinzani upi so mlisema umekufa kwa mujibu wa Jiwe lenu la chama.