Wapinzani walikuwa wanaongea na wafuasi wao wa mitandoni

Mjue watanzania sio wajinga kwamba hawana macho! Endeleeni kubaki mtandaoni!
Kweli ndiyo jibu la swali langu au umejibu swali tofauti? Okay ngoja nikuulize tena.
Nchini Tanzania kati ya watu wajinga na weruvu watu gani ni wengi? Hilo ndilo swali langu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…