Wapinzani wanafurahia Rais Samia akiharibu

Wapinzani wanafurahia Rais Samia akiharibu

Dra Maxie

Senior Member
Joined
Dec 9, 2022
Posts
143
Reaction score
216
Kipindi cha Magufuli wapinzani waliweweseka sana kwasababu asillimia kubwa ya wananchi walikuwa wanamkubali, ukiachilia mbali hawa wananchi waliopo mitandaoni, walijua kabisa pale mziki ulkuwa mgumu.

Lakini kwa sasa wanajua kabisa Mama ni kama vile ana salala fulani hivi katupiwa, asilimia kubwa wako against naye na hata hao wanaomsifu ni kinafki tu. Hii inawapa advantage kubwa sana wapinzani coz inawaongezea sera na gia za kuja nazo uchaguzi ujao Mama na watu wake wanaharibu chama.

Mara wengine wanaropoka maneno ya ovyo, daaaah!
 
Kipindi cha Magu wapinzani waliweweseka sana kwasababu asillimia kubwa ya wananchi walikuwa wanamkubali ukiachilia mbali hawa wananchi waliopo mitandaoni walijua kabisa pale mziki ulkuwa mgumu.

Lakini kwa sasa wanajua kabisa Mama ni kama vile ana salala flani ivi katupiwa asilimia kubwa wako against nae na ata hao wanaomsifu ni kinafki tu hiii inawapa advantage kubwa sana wapinzani coz inawaongezea sera na gia za kuja nazo uchaguzi ujao Mama na watu wake wanaharibu chama.

Mara wengne wanaropoka maneno ya ovyo daaaah
 
Mbere kwa Mbere, siku Chadema wanaamka, hatutaamini, huu ukimya una kishindo, na kila wanapoamka, wafuasi wao wanatoka kila kona mpaka unashangaa walikuwaga wapi
 
Back
Top Bottom