Kwanza: Wao sera yao ni ya majimbo .hivyo miradi mikubwa ya kitaifa kwao haina maana maana miradi mikubwa ya kitaifa ni kwa ajiri ya taifa na siyo jimbo.Hivyo mtu kutoka majimbo ya sera ya chadema anaona wivu mkubwa kwa sababu anahisi kodi yake ingebaki jimboni Kwake ili inufaishe watu wake na siyo wengine .kwa maana hiyo miradi kama hiyo siyo keki ya taifa Bali keki ya jimbo.
Sera hii ya majimbo inapingana vikali na sera ya ujamaa ambayo inawaleta watu karibu katika umoja kama baba wa taifa Hayati Mwalimu kambarage Nyerere alivyotuacha tukiwa wa moja.wanaoshabikia sera ya majimbo ndani mwao lazima kuna ubinafsi.
Pili: Mashabiki wa chadema na wanaopinga miradi mikubwa ya taifa ni watu wa elimu ya chini,wasomi wa elimu ya dot com ambao Hawajui history ya Dunia kwa ujumla na historia ya Tanzania,lakini pia ni watu ambao kwa sasa Hawana Ajira, ni wale ambao wanataka upate leo ule leo,ni watu wa hapa hapa yani hata kutoka nje ya mkoa hawajawai kabisa.ukimwambia train ya umeme anajiuliza hivi hicho ni kidudu gani?hata kuona ndege ikitua hajawahi ona.
3. CHADEMA ilishaishiwa sera dhabiti za kuleta maendeleo ya taifa hili ,hivyo kwa sababu siasa Mahala pengine ni mchezo mchafu wakaona wawadanganye watanzania kuwa miradi hiyo haina maana kwa mtanzania wa hali ya chini.Lakini watu wa hali ya juu na wenye kujielewa ambao wao siyo nipate leo Nile leo,wanafurahia miradi mikubwa hii kwa sababu hata usipopata Matunda leo kesho au kesho kutwa watafurahia watoto wetu ana wajukuu wetu na vizazi vijavyo.
Kuwadanganya watanzania kuwa miradi mikubwa iliyojengwa na awamu ya Tano ni kete kubwa sasa kwa wa wapinzani. CCM msibwete maana huu ni uchaguzi mhimu sana kuliko Nyengine zote maana ni uchaguzi wa kuonyesha kati ya mjinga na mwelewa, mzalendo na msaliti,msomi mwelewa na smomi wa kukarili, mshamba na mtoto wa mjini,mkweli na muongo, nipate leo Nile leo na mwekezaje, mmjamaa na mbepari. CCM mkiruhusu kutoka madarakani hamtarudi milele maana historia itakuwa imeandikwa. mtakuwa mmeisaliti kazi nzuri mliyowatendea watanzania hasa kipindi cha awamu ya tano na kukubariana na ujinga kama siyo upumbavu.
Sera hii ya majimbo inapingana vikali na sera ya ujamaa ambayo inawaleta watu karibu katika umoja kama baba wa taifa Hayati Mwalimu kambarage Nyerere alivyotuacha tukiwa wa moja.wanaoshabikia sera ya majimbo ndani mwao lazima kuna ubinafsi.
Pili: Mashabiki wa chadema na wanaopinga miradi mikubwa ya taifa ni watu wa elimu ya chini,wasomi wa elimu ya dot com ambao Hawajui history ya Dunia kwa ujumla na historia ya Tanzania,lakini pia ni watu ambao kwa sasa Hawana Ajira, ni wale ambao wanataka upate leo ule leo,ni watu wa hapa hapa yani hata kutoka nje ya mkoa hawajawai kabisa.ukimwambia train ya umeme anajiuliza hivi hicho ni kidudu gani?hata kuona ndege ikitua hajawahi ona.
3. CHADEMA ilishaishiwa sera dhabiti za kuleta maendeleo ya taifa hili ,hivyo kwa sababu siasa Mahala pengine ni mchezo mchafu wakaona wawadanganye watanzania kuwa miradi hiyo haina maana kwa mtanzania wa hali ya chini.Lakini watu wa hali ya juu na wenye kujielewa ambao wao siyo nipate leo Nile leo,wanafurahia miradi mikubwa hii kwa sababu hata usipopata Matunda leo kesho au kesho kutwa watafurahia watoto wetu ana wajukuu wetu na vizazi vijavyo.
Kuwadanganya watanzania kuwa miradi mikubwa iliyojengwa na awamu ya Tano ni kete kubwa sasa kwa wa wapinzani. CCM msibwete maana huu ni uchaguzi mhimu sana kuliko Nyengine zote maana ni uchaguzi wa kuonyesha kati ya mjinga na mwelewa, mzalendo na msaliti,msomi mwelewa na smomi wa kukarili, mshamba na mtoto wa mjini,mkweli na muongo, nipate leo Nile leo na mwekezaje, mmjamaa na mbepari. CCM mkiruhusu kutoka madarakani hamtarudi milele maana historia itakuwa imeandikwa. mtakuwa mmeisaliti kazi nzuri mliyowatendea watanzania hasa kipindi cha awamu ya tano na kukubariana na ujinga kama siyo upumbavu.