Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
- #201
Upinzani usiokuwa na msaada kwa wananchi wa kazi gani ?Magufuli yupi yule aliesema ingekua amri yake angefutilia mbali vyama vya upinzani? Au unamsema Magufuli alietuachia bunge kibogoyo ambalo wabunge wanabenuka sarakasi kwenye meza za bunge pale dodoma?