Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

Magufuli yupi yule aliesema ingekua amri yake angefutilia mbali vyama vya upinzani? Au unamsema Magufuli alietuachia bunge kibogoyo ambalo wabunge wanabenuka sarakasi kwenye meza za bunge pale dodoma?
Upinzani usiokuwa na msaada kwa wananchi wa kazi gani ?
 
Aisee
 
Anasingiziwa mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…