Magu alikuwa mbaya sana yaani pia alikufa akiwa ameagiza Mzee Kibao auwawe, kina Soka wapotezwe, kina Sativa waponee tundu la sindano kufa na wengine wengi ambao mpaka leo haijulikani waliko tangu wachukuliwe na polisi akiwemo aliyechoma picha yake yenye sura ya Samia.
Yaani Magu aliacha ameagiza watu wa upinzani wauwawe wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.