KERO Wapishi wa Keki za Shughuli Kuweni wasafi, Hizo picha za snapchat zinadanganya sana wateja wenu

KERO Wapishi wa Keki za Shughuli Kuweni wasafi, Hizo picha za snapchat zinadanganya sana wateja wenu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam

Leo katika pita pita zangu ndio nikaona jiko yale sijui ma oven makubwa wanapikikia keki.

Yaani hadi kichefu chefu, anayepika mchafu, jiko halijaoshwa kama mwezi hv, hapo anapopikia watu wanaingia na ndala, hawana gloves yaani kikubwa tu keki ziive.

Ushauri kwa mabwana afya na maafisa Biashara wa mkoa, wilaya, kata, kijiji au tarafa. Mnapokagua leseni za hawa wapika keki fikeni mpaka jikoni.

Msilemazwe na hizo display za makeki ambayo yamerembwa na hayo ma icesugar.

Kama mbwai na iwe mbwai, najua mtakasirika ila wapishi wa keki baadhi yenu ni wachafu sana, Yaani mnaingiza pesa hizo alafu mnakuwa wachafu hivyo. Ebooooooo

Nawasilisha kwa hasira sana.
 
Salaam

Leo katika pita pita zangu ndio nikaona jiko yale sijui ma oven makubwa wanapikikia keki.

Yaani hadi kichefu chefu, anayepika mchafu, jiko halijaoshwa kama mwezi hv, hapo anapopikia watu wanaingia na ndala, hawana groves yaani kikubwa tu keki ziive.

Ushauri kwa mabwana afya na maafisa Biashara wa mkoa, wilaya, kata, kijiji au tarafa. Mnapokagua leseni za hawa wapika keki fikeni mpaka jikoni.

Msilemazwe na hizo display za makeki ambayo yamerembwa na hayo ma icesugar.

Kama mbwai na iwe mbwai, najua mtakasirika ila wapishi wa keki baadhi yenu ni wachafu sana, Yaani mnaingiza pesa hizo alafu mnakuwa wachafu hivyo. Ebooooooo

Nawasilisha kwa hasira sana.
"Groves" ni kaptula aina gani?Ni nyanyapensi au nyanyapuza?
 
Kama kucha za Yule bidada mwanaharakati Joyce Kilia! Mpaka umajiuliza akichamba si atajichuna huko kwa bibi..
Achana na yule bibi anayesemaga tutafute hela, utakuta anatumia kile kidude kile cha kutoa maji kwa pressure kinakaaga chooni unakishika hv alafu una press nadhani ushakijua.
 
Usirahisishe mambo.Kuandika upimbi ukitegemea ueleweke ni upimbi zaidi.Ungetulia na kutafakari.
Sasa hapo kosa langu nini we Fala, mimi nimeandika kero alafu wewe unaanza kuleta ujuaji kwenye post za watu. Kama nilichoandika ni upimbi nimekulazimisha ku comment
 
Sasa hapo kosa langu nini we Fala, mimi nimeandika kero alafu wewe unaanza kuleta ujuaji kwenye post za watu. Kama nilichoandika ni upimbi nimekulazimisha ku comment
Wewe mzee "groves" hopeless sana.Yaani haujajua kosa lako?Pimbi kweli wewe. Kukubali kosa na kuliona ni kuufuta upimbi wako.Kama umenuna kunja shati tuzipige.😎
 
Salaam

Leo katika pita pita zangu ndio nikaona jiko yale sijui ma oven makubwa wanapikikia keki.

Yaani hadi kichefu chefu, anayepika mchafu, jiko halijaoshwa kama mwezi hv, hapo anapopikia watu wanaingia na ndala, hawana groves yaani kikubwa tu keki ziive.

Ushauri kwa mabwana afya na maafisa Biashara wa mkoa, wilaya, kata, kijiji au tarafa. Mnapokagua leseni za hawa wapika keki fikeni mpaka jikoni.

Msilemazwe na hizo display za makeki ambayo yamerembwa na hayo ma icesugar.

Kama mbwai na iwe mbwai, najua mtakasirika ila wapishi wa keki baadhi yenu ni wachafu sana, Yaani mnaingiza pesa hizo alafu mnakuwa wachafu hivyo. Ebooooooo

Nawasilisha kwa hasira sana.
Kuongea tu kuachia ofisi aah
Vijana wakijiajiri kweny keki,juice bado mnawasema
 
Wewe mzee "groves" hopeless sana.Yaani haujajua kosa lako?Pimbi kweli wewe. Kukubali kosa na kuliona ni kuufuta upimbi wako.Kama umenuna kunja shati tuzipige.😎
Tufanye hivi, Umeshinda na mimi nimekosea kwa maana uliyokuwa unataka wewe, nakubaki mimi ni pimbi na wewe ni malaika, Ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom