WAPO Radio msijilazimishe kutangaza habari zinazohusu Upinzani kama Mungu wenu hataki

WAPO Radio msijilazimishe kutangaza habari zinazohusu Upinzani kama Mungu wenu hataki

Ni nadra sana kusikia WAPO RADIO ikitangaza jambo linalohusu upinzani, labda jambo hilo liwe linaifurahisha CCM.

WAPO RADIO mnacho kipindi cha asubuhi kinachohusu matukio, ambacho wasikilizaji hushauriwa kuwatumia ujumbe kuhusu matukio mliyoyatangaza. Cha ajabu, mara nyingi mnakuwa na vigugumizi (eeeeem) kusoma ujumbe mnaouona hautaifurahisha CCM. Ushauri wangu ni kwamba ujumbe huo msiuruhusu kuingia kwenye meza ya mtangazaji ili kigugumizi kisiwepo.

Leo asubuhi, kwenye kipindi hicho kinachohusu matukio, milijitahidi kuweka hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema, jambo ambalo si la kawaida kufanywa na kituo chenu. Katika hali ambayo haikutegemewa, ni kuona ile hotuba mmeihariri kwa kukata kipande cha maneno, hivyo kupoteza maana ya alichokizungumza.

WAPO RADIO, matangazo mnayoyafanya hamlazimishwi na wasikilizaji. Hivyo, mkiona jambo ambalo halitaifurahisha CCM, liacheni. Mkumbuke, uchaguzi uliopita mlitangaza waziwazi mlipoingia makubaliano na Polepole kuifanyia kampeni CCM, hakuna aliyewahoji kwa kulifanya hilo kwani ilikuwa ni haki yenu.
Nadhani ni muhimu zaidi chadema wakafungua kituo cha radio na television japo hakitadumu kwa namna wanavyolumbana..

hii itasaidia sana kuondoa gubu na mihemko kama yako gentleman, dhidi ya matangazo ya radio stations zingine 🐒
 
Ni nadra sana kusikia WAPO RADIO ikitangaza jambo linalohusu upinzani, labda jambo hilo liwe linaifurahisha CCM.

WAPO RADIO mnacho kipindi cha asubuhi kinachohusu matukio, ambacho wasikilizaji hushauriwa kuwatumia ujumbe kuhusu matukio mliyoyatangaza. Cha ajabu, mara nyingi mnakuwa na vigugumizi (eeeeem) kusoma ujumbe mnaouona hautaifurahisha CCM. Ushauri wangu ni kwamba ujumbe huo msiuruhusu kuingia kwenye meza ya mtangazaji ili kigugumizi kisiwepo.

Leo asubuhi, kwenye kipindi hicho kinachohusu matukio, milijitahidi kuweka hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema, jambo ambalo si la kawaida kufanywa na kituo chenu. Katika hali ambayo haikutegemewa, ni kuona ile hotuba mmeihariri kwa kukata kipande cha maneno, hivyo kupoteza maana ya alichokizungumza.

WAPO RADIO, matangazo mnayoyafanya hamlazimishwi na wasikilizaji. Hivyo, mkiona jambo ambalo halitaifurahisha CCM, liacheni. Mkumbuke, uchaguzi uliopita mlitangaza waziwazi mlipoingia makubaliano na Polepole kuifanyia kampeni CCM, hakuna aliyewahoji kwa kulifanya hilo kwani ilikuwa ni haki yenu.
Ile chadema Tv iliishia wapi
 
Mkuu unajua kuandika za wapinzani ni rahisi sana ILA kuandika za huyu mtawala wa miaka yote ni ngumu sana kwani unatakiwa kumuasi Mola japo kwa masaa machache.
 
Ni nadra sana kusikia WAPO RADIO ikitangaza jambo linalohusu upinzani, labda jambo hilo liwe linaifurahisha CCM.

WAPO RADIO mnacho kipindi cha asubuhi kinachohusu matukio, ambacho wasikilizaji hushauriwa kuwatumia ujumbe kuhusu matukio mliyoyatangaza. Cha ajabu, mara nyingi mnakuwa na vigugumizi (eeeeem) kusoma ujumbe mnaouona hautaifurahisha CCM. Ushauri wangu ni kwamba ujumbe huo msiuruhusu kuingia kwenye meza ya mtangazaji ili kigugumizi kisiwepo.

Leo asubuhi, kwenye kipindi hicho kinachohusu matukio, milijitahidi kuweka hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema, jambo ambalo si la kawaida kufanywa na kituo chenu. Katika hali ambayo haikutegemewa, ni kuona ile hotuba mmeihariri kwa kukata kipande cha maneno, hivyo kupoteza maana ya alichokizungumza.

WAPO RADIO, matangazo mnayoyafanya hamlazimishwi na wasikilizaji. Hivyo, mkiona jambo ambalo halitaifurahisha CCM, liacheni. Mkumbuke, uchaguzi uliopita mlitangaza waziwazi mlipoingia makubaliano na Polepole kuifanyia kampeni CCM, hakuna aliyewahoji kwa kulifanya hilo kwani ilikuwa ni haki yenu.
Hivi mnapata wapi ujasiri wa kusikiliza redio hizo?
 
Ni nadra sana kusikia WAPO RADIO ikitangaza jambo linalohusu upinzani, labda jambo hilo liwe linaifurahisha CCM.

WAPO RADIO mnacho kipindi cha asubuhi kinachohusu matukio, ambacho wasikilizaji hushauriwa kuwatumia ujumbe kuhusu matukio mliyoyatangaza. Cha ajabu, mara nyingi mnakuwa na vigugumizi (eeeeem) kusoma ujumbe mnaouona hautaifurahisha CCM. Ushauri wangu ni kwamba ujumbe huo msiuruhusu kuingia kwenye meza ya mtangazaji ili kigugumizi kisiwepo.

Leo asubuhi, kwenye kipindi hicho kinachohusu matukio, milijitahidi kuweka hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema, jambo ambalo si la kawaida kufanywa na kituo chenu. Katika hali ambayo haikutegemewa, ni kuona ile hotuba mmeihariri kwa kukata kipande cha maneno, hivyo kupoteza maana ya alichokizungumza.

WAPO RADIO, matangazo mnayoyafanya hamlazimishwi na wasikilizaji. Hivyo, mkiona jambo ambalo halitaifurahisha CCM, liacheni. Mkumbuke, uchaguzi uliopita mlitangaza waziwazi mlipoingia makubaliano na Polepole kuifanyia kampeni CCM, hakuna aliyewahoji kwa kulifanya hilo kwani ilikuwa ni haki yenu.
Hii radio ni ya hawa ''manabii'' wa siku hizi nadhani. N lazima waogope kwa sababu siku hizi manabii wengi wanaiogopa sana serikali kwa kuwa wanajua wanafanya utapeli.
 
Hii radio ni ya hawa ''manabii'' wa siku hizi nadhani. N lazima waogope kwa sababu siku hizi manabii wengi wanaiogopa sana serikali kwa kuwa wanajua wanafanya utapeli.
Hii redio ni ya kanisa rasmi la TAG sio manabii wanaoilipa CCM ili waweze kutumia viwanja.
 
Ni nadra sana kusikia WAPO RADIO ikitangaza jambo linalohusu upinzani, labda jambo hilo liwe linaifurahisha CCM.

WAPO RADIO mnacho kipindi cha asubuhi kinachohusu matukio, ambacho wasikilizaji hushauriwa kuwatumia ujumbe kuhusu matukio mliyoyatangaza. Cha ajabu, mara nyingi mnakuwa na vigugumizi (eeeeem) kusoma ujumbe mnaouona hautaifurahisha CCM. Ushauri wangu ni kwamba ujumbe huo msiuruhusu kuingia kwenye meza ya mtangazaji ili kigugumizi kisiwepo.

Leo asubuhi, kwenye kipindi hicho kinachohusu matukio, milijitahidi kuweka hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema, jambo ambalo si la kawaida kufanywa na kituo chenu. Katika hali ambayo haikutegemewa, ni kuona ile hotuba mmeihariri kwa kukata kipande cha maneno, hivyo kupoteza maana ya alichokizungumza.

WAPO RADIO, matangazo mnayoyafanya hamlazimishwi na wasikilizaji. Hivyo, mkiona jambo ambalo halitaifurahisha CCM, liacheni. Mkumbuke, uchaguzi uliopita mlitangaza waziwazi mlipoingia makubaliano na Polepole kuifanyia kampeni CCM, hakuna aliyewahoji kwa kulifanya hilo kwani ilikuwa ni haki yenu.
Acha kukomaza mishipa ya shingo kwa hoja mfu. Kwani alipoanzisha WAPO Radio ulimchangia chochote? Kama una hisa RUKSA kulalamika.

Vilevile kwani hiyo Radi/ TV yako inashika kituo kimoja tu? Kama inashika vingi basi hama tu nemda kingine.
 
Acha kukomaza mishipa ya shingo kwa hoja mfu. Kwani alipoanzisha WAPO Radio ulimchangia chochote? Kama una hisa RUKSA kulalamika.

Vilevile kwani hiyo Radi/ TV yako inashika kituo kimoja tu? Kama inashika vingi basi hama tu nemda kingine.
Mbwakoko kakata kamba, amemtoroka bwana yake.
 
Ni nadra sana kusikia WAPO RADIO ikitangaza jambo linalohusu upinzani, labda jambo hilo liwe linaifurahisha CCM.

WAPO RADIO mnacho kipindi cha asubuhi kinachohusu matukio, ambacho wasikilizaji hushauriwa kuwatumia ujumbe kuhusu matukio mliyoyatangaza. Cha ajabu, mara nyingi mnakuwa na vigugumizi (eeeeem) kusoma ujumbe mnaouona hautaifurahisha CCM. Ushauri wangu ni kwamba ujumbe huo msiuruhusu kuingia kwenye meza ya mtangazaji ili kigugumizi kisiwepo.

Leo asubuhi, kwenye kipindi hicho kinachohusu matukio, milijitahidi kuweka hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema, jambo ambalo si la kawaida kufanywa na kituo chenu. Katika hali ambayo haikutegemewa, ni kuona ile hotuba mmeihariri kwa kukata kipande cha maneno, hivyo kupoteza maana ya alichokizungumza.

WAPO RADIO, matangazo mnayoyafanya hamlazimishwi na wasikilizaji. Hivyo, mkiona jambo ambalo halitaifurahisha CCM, liacheni. Mkumbuke, uchaguzi uliopita mlitangaza waziwazi mlipoingia makubaliano na Polepole kuifanyia kampeni CCM, hakuna aliyewahoji kwa kulifanya hilo kwani ilikuwa ni haki yenu.
Na askofu wao wa nchongo
 
Back
Top Bottom