Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndugu zangu undugu kufaana, naona haya kula mwenyewe kwa bei chee tu nakuletea mpaka mlangoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buza kwa mpalange mkuu, karibuUnapatikana wap
Ndugu zangu undugu kufaana, naona haya kula mwenyewe kwa bei chee tu nakuletea mpaka mlangoni
View attachment 3067313
Unataka kwa bei ya jumla au rejareja?bei gani na upo wap kiongozi
😂😂😂Unauzaje haya matoto ya ubaya ubwela
Mazima yapo, na yalipikwa pia, karibu sanaUkiwa umeyapika au Mazima mazima hivyo? 🤒😎
Mrembo amenona nimemla jana tu😋😋
Kelele zote kwa Mai mwenyewe Amepumzika zake . Mai Hana hiyana ametuongezea budget😂😂
Unapatikana wapi mkuu?Mazima yapo, na yalipikwa pia, karibu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unauzaje haya matoto ya ubaya ubwela
Nakuonea wivu☺️Mrembo amenona nimemla jana tu😋😋