Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
labda watu wafikirie kidogo; ni kipi rahisi? Kumuua mtu au kumkatakata vipande baada ya kumuua? Maana naona watu wameshikilia upande wa mtu kugeuzwa supu (mwenye mmama amesema aliweka na mdalasini na vitunguu saumu kupotezea harufu).
Uchungu wa jianamme kumuingilia binti yangu..I can kill, chemsha and eat the man!
Who does he think he is?
unampaka na mayonaise,unatafuta na salad....unakula kama donner meat vile na chips lol
NN am telling you hainaukatili kama unavyoichukulia! Uchungu wa mwana imagine awe ni mwanao wa miaka say minne au tano umkute mwanaume anakazana kumbaka, kama kuna silaha yoyote karibu ni rahisi kunyanyua aisee! Ikitokea ameua ndo akili inapanic anatafuta mbinu ya kuficha ushahidi.Sidhani kama unaweza kuuengua ukatili hapo. You have to be a katili to do all that she allegedly did.
Kichwa cha habari kingekua "mwanamke katili" ingependeza zaidi.
Neway huyo mama kweli ni katili. . . au pengine ni mgonjwa.
bado sidhani huyo lady ana akili za kawaida. achia mbali kumuua, then kumkatakata, kumchemsha......still having courage to do all this..........no! something must be wrong my dear! completely abnormal mind in my opinion
Lakini ukimuangalia huyo mama kwa kweli huwezi kuuona ukatili wowote; tena ukimuangalia unaweza kuona anafanana na mama fulani tu wa mtaani penu. Lakini inawezekana kabisa kuwa mtu anapofika mahali pa kilele cha kuvumilia anafanya nini? Haihalalishi kuuliwa hivyo lakini wapo watu wanafanya hivyo. Nakumbuka kuna kesi hapa imewahi kutokea ya jamaa kamuua girl friend wake katika kujaribu kudispose the body akaamua kumuweka kwenye BBQ!
Huyo angemkata mdudu wake tu hata kesi angekuwa hana. Afu angeishi ku regret ushetani wake. Nsivowapenda wanaume wanaotembea na watoto zao.
Mkuu unanichekesha, ina maana unataka kutuambia kuwa watu wote makatili wana sura zinazo onyesha ukatili? Hivi sura za kikatili zinakuwaje...!Lakini ukimuangalia huyo mama kwa kweli huwezi kuuona ukatili wowote; tena ukimuangalia unaweza kuona anafanana na mama fulani tu wa mtaani penu. Lakini inawezekana kabisa kuwa mtu anapofika mahali pa kilele cha kuvumilia anafanya nini? Haihalalishi kuuliwa hivyo lakini wapo watu wanafanya hivyo. Nakumbuka kuna kesi hapa imewahi kutokea ya jamaa kamuua girl friend wake katika kujaribu kudispose the body akaamua kumuweka kwenye BBQ!
Lizzy huyu mama msimuhukumu kwanza exhauste scenerio zote.
hivi hata ukubwani huwa mnaita 'mdudu' ????lol
Jina halisi linatisha kuliandika humu JF. bora nitumie 'metaphor'. lol.
:juggle:
ungesema 'mshedede' pia sio mbaya lol
Sijawahi sikia hili neno, na sidhani kama wengi wanalifahamu. Bora mdudu hata watoto wanaelewa namaanisha nini.