Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
labda watu wafikirie kidogo; ni kipi rahisi? Kumuua mtu au kumkatakata vipande baada ya kumuua? Maana naona watu wameshikilia upande wa mtu kugeuzwa supu (mwenye mmama amesema aliweka na mdalasini na vitunguu saumu kupotezea harufu).
Aisee killing is enough bana....sasa hadi unamkata kata na kumuunga kama unapika mboga? Good grief...that's just too much.