Wapo wapi Lizaboni na Fayza foxy?

Wapo, wanachungulia jf mara kwa mara
 
Mkuu nakushukuru kwa kunifumbua macho inawezekana ni sababu ya suti na tai
 
FaizaFoxy yumo. Juzi kati nimeona bandiko lake moja akikosoa lugha ya kumix r na l
 
kuhusu faiza na ritz ni kwamba project iliyowafanya wawe active sana jf tayari walishaikamilisha.

kwa sasa wanakula pension zao.
Kwa Ritz naweza kukubali hilo ulolisema ila Fayza nafikiri jina la mwenye nchi maana yule Fayza kwa majina anayafuatilia sana
 
hizi 2 nahisi ni ID nyingine anazotumia Nape.
 
Wanaccm hawaachiani maji mezani - Kikwete

Hawa watu wa pwani baada ya ccm kupelekwa kanda ya ziwa wametupwa kapuni
 
Wanaccm hawaachiani maji mezani - Kikwete

Hawa watu wa pwani baada ya ccm kupelekwa kanda ya ziwa wametupwa kapuni
Ubaguzi ndani ya mfumo wa ccm hauwezi kuisha kamwe
 
Kitengo cha Propaganda Mtandaoni cha CCM kwa sasa kimefutwa kwasababu hakina umuhimu zama hizi.

Kwa sasa kuna kitengo kinaitwa Police ndio kimbilio lililobaki la CCM.
 
Kitengo cha Propaganda Mtandaoni cha CCM kwa sasa kimefutwa kwasababu hakina umuhimu zama hizi.

Kwa sasa kuna kitengo kinaitwa Police ndio kimbilio lililobaki la CCM.
Duuu unataka kunambia kina WAKUDADAVUA anajishebedua tu?
 
Uongo huo.
 
Hawana cha kusema au kutetea jitwe linapiga hawakitegemea
 


Walikuwa CCM zamani, baada ya kushtukia ishu za DU wakabadili gear angani, sasa wako zao CDM kwa IDs mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…