😂Mwana aliona atumie upepo vizuri. Nilimsikia yeye anajitetea kuna siku amelipwa pesa ndogo mpaka Boss akasema aongezwe kutokana na vibe aliloletaHuwafuatilii juzi tu alikua Morogoro kwenye ziara ya Mama! Kijana bado ana kijiji chake!
Ingawa Ally bado anafanya vizuri ila kashuka, Ally alikua anaringa kwenye kazi jamani!! anakujibu bila 4M siji na hapo umkatie return ticket umlipie hotel na chakula!!
Now anapiga yeye simu kuulizia show!
Pierre Liquid yupo wapiWazee wa makoti hawasikiki kabisa
Mara ya mwisho nilisikia wamekula shavu Unyaman Simba mara sijui wamechukuliwa na Majizo.
But ninachojua NI kwamba sijawasikia muda Sana.
Vip Kwa sasa wanatamba na mtindo gani?
Kuna kipindi mtu mmoja aliyelewa mataputapu alisikika akisema Miso Missondo NI zaidi ya DJ Ally B
View attachment 3063352View attachment 3063353
Wamwiduka band wapo DarNa wenzeo wale wamwiduka kule usafwani nao kimya japo kidogo wamekwea pipa na kuondoa tongotongo.
Hivi what was so special kwake? Ile miluzi au kitu gani?Huwafuatilii juzi tu alikua Morogoro kwenye ziara ya Mama! Kijana bado ana kijiji chake!
Ingawa Ally bado anafanya vizuri ila kashuka, Ally alikua anaringa kwenye kazi jamani!! anakujibu bila 4M siji na hapo umkatie return ticket umlipie hotel na chakula!!
Now anapiga yeye simu kuulizia show!