Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Wazee wa makoti hawasikiki kabisa
Mara ya mwisho nilisikia wamekula shavu Unyaman Simba mara sijui wamechukuliwa na Majizo.
But ninachojua NI kwamba sijawasikia muda Sana.
Vip Kwa sasa wanatamba na mtindo gani?
Kuna kipindi mtu mmoja aliyelewa mataputapu alisikika akisema Miso Missondo NI zaidi ya DJ Ally B
Mara ya mwisho nilisikia wamekula shavu Unyaman Simba mara sijui wamechukuliwa na Majizo.
But ninachojua NI kwamba sijawasikia muda Sana.
Vip Kwa sasa wanatamba na mtindo gani?
Kuna kipindi mtu mmoja aliyelewa mataputapu alisikika akisema Miso Missondo NI zaidi ya DJ Ally B