Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Wnajamvi mada hapo juu yakukumbusha kama sio mdogo sana kiumri. ITV na Radio One walikuwa na WATANGAZAJI hapo juu. Sijui wapo wapi hivi sasa na wanafanya mini? Mwenye kujua tushirikishane. Kifupi Flora Nducha na Misanya walikuwa Redioni huku NEEMA Diwani akiwa ITV. Matusi na kebehi sio busara.