Wapo wapi watangazaji hawa?

Wapo wapi watangazaji hawa?

Roy Maganga na Muhsin Mambo hatunao tena mkuu.

Hivi kuna station gani ilikua the best kuizidi RFA? Hakuna! Walikuwepo akina,

Fredrick bunsala,

Beatrice bach,

Mtoto wa mama sabuni/Glory Robinson,

Rahabu Fred mke wa Fredwaaa

RFA ya kina baruan muhuza

RFA ya kina kamkulu (hindustyle)

RFA ya kina Gabriel zakaria

RFA ya kina juma baragaza

RFA ya kina samadu hassan

RFA ya kinalytu

RFA ya kina zuberi msabaha

RFA ya kina Sky walker
Roy Maganga yuko TBC hajafa mke wake anaitwa Stella Situmbi,tena Roy Maganga amejaa Instagram,mkuu usizushe kifo
 
Wanajamvi naomba kujua walipo kwa sasa watangazaji wa zamani wa chanel five.Adamu Mubago(bab kubwa) na pia Abba one na Lil Tk(back 2 back)
Abba katizaktiza viwanja vya Boko/Bunju utampata.
 
Roy Maganga na muda sijamtia machoni, Muhsin Mambo hatunae tena mkuu.

Hivi kuna station gani ilikua the best kuizidi RFA? Hakuna! Walikuwepo akina,

Fredrick bunsala,

Beatrice bach,

Mtoto wa mama sabuni/Glory Robinson,

Rahabu Fred mke wa Fredwaaa

RFA ya kina baruan muhuza

RFA ya kina kamkulu (hindustyle)

RFA ya kina Gabriel zakaria

RFA ya kina juma baragaza

RFA ya kina samadu hassan

RFA ya kinalytu

RFA ya kina zuberi msabaha

RFA ya kina Sky walker
Umewaacha Kama akina uncle Sam, Joyce mfinanga. Ivi Loi Yuko wapi mkuu. Maana mke wake aliibukia tbc lakini yeye kimya kabisa.
 
Back
Top Bottom