Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 489
- 1,102
- Thread starter
-
- #21
Kuna double g (godwin gondwe) kabla hajaingia kuwa mtesi wetu (Siasa)
Roy Maganga yuko TBC hajafa mke wake anaitwa Stella Situmbi,tena Roy Maganga amejaa Instagram,mkuu usizushe kifoRoy Maganga na Muhsin Mambo hatunao tena mkuu.
Hivi kuna station gani ilikua the best kuizidi RFA? Hakuna! Walikuwepo akina,
Fredrick bunsala,
Beatrice bach,
Mtoto wa mama sabuni/Glory Robinson,
Rahabu Fred mke wa Fredwaaa
RFA ya kina baruan muhuza
RFA ya kina kamkulu (hindustyle)
RFA ya kina Gabriel zakaria
RFA ya kina juma baragaza
RFA ya kina samadu hassan
RFA ya kinalytu
RFA ya kina zuberi msabaha
RFA ya kina Sky walker
Roy Maganga yuko TBC hajafa mke wake anaitwa Stella Situmbi,tena Roy Maganga amejaa Instagram,mkuu usizushe kifo
Abba katizaktiza viwanja vya Boko/Bunju utampata.Wanajamvi naomba kujua walipo kwa sasa watangazaji wa zamani wa chanel five.Adamu Mubago(bab kubwa) na pia Abba one na Lil Tk(back 2 back)
alikuwa anajiita bart kombwa/komba rtd singida. alikuwa chapombe sana
Huyu bwana alikwenda kusoma hadi akahitimu Ph.D; lakini hakudumu nayo akatangulia mbele ya haki!! Alikuwa hawezekani kwa kiti moto!!!Misanya bingi
Umewaacha Kama akina uncle Sam, Joyce mfinanga. Ivi Loi Yuko wapi mkuu. Maana mke wake aliibukia tbc lakini yeye kimya kabisa.Roy Maganga na muda sijamtia machoni, Muhsin Mambo hatunae tena mkuu.
Hivi kuna station gani ilikua the best kuizidi RFA? Hakuna! Walikuwepo akina,
Fredrick bunsala,
Beatrice bach,
Mtoto wa mama sabuni/Glory Robinson,
Rahabu Fred mke wa Fredwaaa
RFA ya kina baruan muhuza
RFA ya kina kamkulu (hindustyle)
RFA ya kina Gabriel zakaria
RFA ya kina juma baragaza
RFA ya kina samadu hassan
RFA ya kinalytu
RFA ya kina zuberi msabaha
RFA ya kina Sky walker
Umewaacha Kama akina uncle Sam, Joyce mfinanga. Ivi Loi Yuko wapi mkuu. Maana mke wake aliibukia tbc lakini yeye kimya kabisa.
"Roy Maganga yuko TBC hajafa mke wake anaitwa Stella Situmbi,tena Roy Maganga amejaa Instagram"
Roi Maganga yupo TBC ila hatangazi, akina uncle Sam pia wapo TBC FM.Umewaacha Kama akina uncle Sam, Joyce mfinanga. Ivi Loi Yuko wapi mkuu. Maana mke wake aliibukia tbc lakini yeye kimya kabisa.
Ezekiel Malongo alisha RIP kitambo sanaKuna mtangazaji rfa alikua anaitwa Loi Maganga Flola macha tbc Ezekiel Malongo .
Namkumbuka na sauti yake neneKumbe wewe wa mwaka 47 unamkumbuka huyu bwana!!!
Oooh kumbe nilikua sijuiEzekiel Malongo alisha RIP kitambo sana
Okay sawa mkuuRoi Maganga yupo TBC ila hatangazi, akina uncle Sam pia wapo TBC FM.
Loi ibuka na kipaji chako Cha simlizi bhanaYeah niluwasahau...
Kuna Mshkaji humu aliniquote kuhusu Roy.....
Anatumia jina gani mkuuYeah niluwasahau...
Kuna Mshkaji humu aliniquote kuhusu Roy.....