Wapwa mnafanyaje mpaka mnapata wachumba humu?

Wapwa mnafanyaje mpaka mnapata wachumba humu?

Screenshot_20230506-130543_Quora.jpg
ubaya ubaya..
 
Mmoja amenikataa akasema eti mm ni mtoto mdogo nitafia kifuani sasa dah,😂 😂 hi haiendi
 
Kweli mshamba hachekwi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom