Kama kawa! Ntawatengea chemba yenu ya kupiga vigelegele wakati wazee wazima tunaangamiza vyupa vya baridi!
YEYOOOOOOOOOO!
kama ni ready what is the next mission?
tukitoka hapo koo zimekauka kau....at least utuwekee na vile vinywaji aina ya nanihii basi tuwe tunalegezea
kamata SENKSIIIIII!
YOU ARE THE MPWAAAAAZ
i am mpwaaaz for my shemz
KAMATA senksi nyingine!
sasa hii BAG-PARTY inatufundisha nini sisi!sema tu mpwaaaaz!
usijali!, hebu cheki hapa chini:sijifanyi sijui mpwa, shishi kasema talanta zipo nyingi hebu niPM nione kama ninayo hata japo moja ya hizo zen ntakuja niprovidi sevise
hii ni sevisi moja wapo.Kama kawa! Ntawatengea chemba yenu ya kupiga vigelegele wakati wazee wazima tunaangamiza vyupa vya baridi!
In this Christmass seasons, I will be saving water by drinking some few vitochis of mbege!
πππ
ha ha ha ha ha!Namna ya kuwapa my waifu zetu ile kitu roho yao inapenda! Jinsi ya kuwahudumia (kuwashughulikia) kimahaba (hii ndio muhimu zaidi, tusije kumegewa na serengeti boys)! Ukifanikiwa kwenye hili, everything utapata na Maisha yatakuwa mwendo mdundo! Gonge SENKSI na hapa tafadhali! Hahaha!
usijali!, hebu cheki hapa chini:
hii ni sevisi moja wapo.
nyingine kutusogezea makreti ya bia.
kutuchomea wadudu(itabidi waagizwe 3 kutoka morogoro hapo)
Mchumba naomba acha hizi valua,bado kidogo kitanda chetu kivunjike.Unaona hapo kwenye dar ekspresi ulivokaa vibaya.Hahahaha! Ze Serengeti + Valuer mixing Man!
hahahaaaaaaaaaaaa,Mchumba naomba acha hizi valua,bado kidogo kitanda chetu kivunjike.Unaona hapo kwenye dar ekspresi ulivokaa vibaya.