ha ha ha ha ha!
kama ni hilo si ningeangalia movie za ngono nikapaste ili nikamuadabishe dada ako?😀
UMEKULA SENKSI
ha ha ha ha ah ahahahah!
Mchumba naomba acha hizi valua,bado kidogo kitanda chetu kivunjike.Unaona hapo kwenye dar ekspresi ulivokaa vibaya.
Mchumba naomba acha hizi valua,bado kidogo kitanda chetu kivunjike.Unaona hapo kwenye dar ekspresi ulivokaa vibaya.
ha ha hahahahahahah!Movie ndo nini bana! Ule usanii tu! Pale utapata full real African issues! Zitatoka kwa watu eksipiriensd, wenye ndoa stable kama ya PILLAR la Wapwazzzzz! Huku mkuu Kaizer akigonga keyboard wimbo wa Haleluya Kuu! Hahahaha!
HAHAAAAA ZD unaniua!!! Shemeji hata nguo inabidi uanze kuagiza KTM za vitenge sasa. swala la vitambi pia linaweza lizungumzwe kwenye BAG PARTY?
ha ha hahahahahahah!
WEWE shemeji ulishafanyiwa begi-party?...............nahitaji uzoefu wako🙂D)
umekula senksi hapo kwenye PILLARZ!
ha hah ahahahahah!Hahaha! Mi nilifanyiwa na marehemu babu yangu! Thats why am seriously looking for a second wife! LOL! Yeye alikuwa na wanne usisahau!
ha hah ahahahahah!
unadumisha mila!
SENKSI! HAHAHAHAHAHAHHA
vijana wachache sana tunaodumisha mila kizazi cha leo
Naona unataka mwenzio aachwe kabla hajaoa.Umekula senksi! usisahau kumwambia na sista hilo! Akae akijua mapema kabisaaaaaaaaa!
Naona unataka mwenzio aachwe kabla hajaoa.
he he heheheheh!
analijua hilo!
agenda kuu katika begiparty itakuwa KUONGEZA MKE BAADA YA MUDA FULANI
Hahaha! Mi nilifanyiwa na marehemu babu yangu! Thats why am seriously looking for a second wife! LOL! Yeye alikuwa na wanne usisahau!
Hahaha! Hiyo bold naona mawani yangu inanisomea kivingine!!! Hahaha! CHAWOTE? Hapana, not this time! Ngoja nivae mawani vizuri manake machale yananicheza hapo!hivi tunavoongea nimemwacha chimbo-TANGANYIKA LAIBRARI ANAPERUUUUZ,PERUUUUZ,PERUUUUUUUUZ( na kudadisi)
ha ha ha ha ha!
Mpwaaaaz-wa ukweli,
naona hili limekugusa ukavunja ukimya
sasa nitaachwa vipi wakati sijaoa?:d
MPWA,hivi tunavoongea nimemwacha chimbo-TANGANYIKA LAIBRARI ANAPERUUUUZ,PERUUUUZ,PERUUUUUUUUZ( na kudadisi)
Unasemaje? na mimi nianza kusaka serengeti?Ngoma iwe droo