Du! kaazi kweli kweli, ndo kusema wadada wote tuligoma kwenda kumpokea wifi? Aibu. Kaka Geoff utusamehe tu, wifi tunampenda na tunamkaribisha home kwa mikono miwili, tulitingwa tu na majukumu
Mi nimenogewa na cape town nimerejea tena dah kama nipo Chuda vile makambako raha tax buku jero popote pale.
Waebrania 13
1Endeleeni kupendana kama ndugu. 2Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha mal aika pasipo kujua. 3Wakumbukeni waliofungwa gerezani kama vile mmefungwa pamoja nao; pia wakumbukeni wanaoteswa, kwa kuwa na ninyi bado mnaishi katika mwili.
4Ndoa iheshimiwe na watu wote, na wenye ndoa wawe waaminifu kwa wenzi wao ; maana Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati. 5Maisha yenu yasitawaliwe na tamaa ya kupenda fedha, na mridhike na mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, ``Sita kupungukia kamwe wala sitakuacha.'' 6Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, ``Bwana ni msaada wangu, sitaogopa kitu, mwanadamu anaweza kunifanya nini?''
dah...cape town uende na bastola kabisa lol
vipi koti umeliona au hadi ukalichukue nyumbani? waambie apo usalule kuna valeur nusu nimeiacha wakupeu boost kwanza mpwa
Aaaaa FP na hesabu zako hizo bwana hatukugoma ila ni kwamba mambo yalikuwa hayajatulia. Binafsi ilikuwa niende ila karibia na harusi yenyewe mambo yakabadilika ikanibidi nisitishe mpango mzima. Na ambavyo Iringa sijawahi kufika ingekuwa wakati mzuri kabisa wa kwenda huko kukufahamu.
hehhe mkuu senks!
Umekosa mengi sana mkuu NL....I cant tell it all.....mchango wa "Invi" ulikuja ivo ivo ki invisible...ukaonekana ila YEYE ndo ivo tena...naona hii kazi ya JF upgrade ya over the weekend imemkeep busy sana....
I knew it.......I knew it....aaarrrg mkoloni is to blame for all these......aaaaarrggg!
Haa haa haaaa !!!Invisble jamani usilalamike sana ila Kaizer did the necessary of informing all those ambao walikuwa wametoa through email labda hujaiona.
Nimekuvulia kofia! Uliwahi kuishi kwenye konvieti za watawa nini? Inaonekana neno limekaa kweli kweli.
Naanza kuona mwanga huko mbele. Hafi mtu hapa, kila kitu kikwama tutajoin JF Bible Fellowship Church, Bishop wetu si mwingine ni FL1.
Mungu akutangulie na shetani ashindwe ili Bwana atawale milele.
Congrats MR and Mrs Geof. May you enjoy married life.
Mabinamu mmejitahidi sana kwa moyo wenu wa upendo na kujitoa ni mungu pekee atawalipa thawabu kwa jambo hili ..si kazi ndogo mmeifanya
Kaizer usingizi ulipotea sababu ya hili jambo ,Fidel80 afadhari wewe ulikuwa na kinywaji 24/7 huku unakusanya michango
,MJ1,Carmel,Nguli , JS sijui utaitisha kuvunja kamati (Neva miss ), hivi huyu Zion D au Charity yuko wapi,Nyamayao eeh wasn't me ..Wa 16
keep it up
ilipendeza sana, na tulifurahia sana
Hellow everyone how are you doing??? Isnt it a lovely monday after you got time to spend with your loved ones over the weekend??
Well kijana wetu Geoff ameoa tayari he is somebody's husband now kwa wale mliokuwa mna mategemeo ya kumpata ndo mshamkosa hivo mjipange upya tena kwa strategies mpya au sio........
Thanks to all mlio msupport in one way or the other we really appreciate it so much. You made his day worthy to remember always.MUNGU atawazidishia.
Tuliendeleze libeneke la JF kwenye shida na raha na you will never know maybe somebody else atasema anaoa/anaolewa hapahapa JF.
Have a lovely day and take care of yourselves.Love you all so much that i cant sleep without a thought of you kidogo (dont blush lakini)........
Mkuu thanks I am short of words! it was so nice to meet and together we made it happen,
Mi hata sijui nianzie wapi kusimulia....[/QUOTE]
tulia kwanza usije ukaskipu some points hapo, maana jana niligundua hilo uliacha tu simu zijipige zenyewe...nikaona mmh maeksaintments haya!!!!!!!!!!!