Wapwazz na Binamuz duniani kote!

Wapwazz na Binamuz duniani kote!

Na muanzisha thread nilikuwa nimetoka kidogo wadau ofisi inayonieka mjini inabidi niipatie heshima yake pia.

Invisble jamani usilalamike sana ila Kaizer did the necessary of informing all those ambao walikuwa wametoa through email labda hujaiona.

Ila kuna kasuprise coming on the way stay tuned sitaki kusema vitu bila kuwa sure 100%.
 
Mi nimenogewa na cape town nimerejea tena dah kama nipo Chuda vile makambako raha tax buku jero popote pale.
 
Du! kaazi kweli kweli, ndo kusema wadada wote tuligoma kwenda kumpokea wifi? Aibu. Kaka Geoff utusamehe tu, wifi tunampenda na tunamkaribisha home kwa mikono miwili, tulitingwa tu na majukumu


Aaaaa FP na hesabu zako hizo bwana hatukugoma ila ni kwamba mambo yalikuwa hayajatulia. Binafsi ilikuwa niende ila karibia na harusi yenyewe mambo yakabadilika ikanibidi nisitishe mpango mzima. Na ambavyo Iringa sijawahi kufika ingekuwa wakati mzuri kabisa wa kwenda huko kukufahamu.
 
Mi nimenogewa na cape town nimerejea tena dah kama nipo Chuda vile makambako raha tax buku jero popote pale.

dah...cape town uende na bastola kabisa lol

vipi koti umeliona au hadi ukalichukue nyumbani? waambie apo usalule kuna valeur nusu nimeiacha wakupeu boost kwanza mpwa
 
Waebrania 13

1Endeleeni kupendana kama ndugu. 2Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha mal aika pasipo kujua. 3Wakumbukeni waliofungwa gerezani kama vile mmefungwa pamoja nao; pia wakumbukeni wanaoteswa, kwa kuwa na ninyi bado mnaishi katika mwili.

4Ndoa iheshimiwe na watu wote, na wenye ndoa wawe waaminifu kwa wenzi wao ; maana Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati. 5Maisha yenu yasitawaliwe na tamaa ya kupenda fedha, na mridhike na mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, ``Sita kupungukia kamwe wala sitakuacha.'' 6Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, ``Bwana ni msaada wangu, sitaogopa kitu, mwanadamu anaweza kunifanya nini?''


Nimekuvulia kofia! Uliwahi kuishi kwenye konvieti za watawa nini? Inaonekana neno limekaa kweli kweli.

Naanza kuona mwanga huko mbele. Hafi mtu hapa, kila kitu kikwama tutajoin JF Bible Fellowship Church, Bishop wetu si mwingine ni FL1.

Mungu akutangulie na shetani ashindwe ili Bwana atawale milele.
 
dah...cape town uende na bastola kabisa lol

vipi koti umeliona au hadi ukalichukue nyumbani? waambie apo usalule kuna valeur nusu nimeiacha wakupeu boost kwanza mpwa

Mpwa nimeliona nimeomba ulinzi binafsi wa kwenda nao cape town dah mambo ya pale balaa
 
Aaaaa FP na hesabu zako hizo bwana hatukugoma ila ni kwamba mambo yalikuwa hayajatulia. Binafsi ilikuwa niende ila karibia na harusi yenyewe mambo yakabadilika ikanibidi nisitishe mpango mzima. Na ambavyo Iringa sijawahi kufika ingekuwa wakati mzuri kabisa wa kwenda huko kukufahamu.

JS si useme tu shem aligundua kuwa kumbe next day ni Vals day kwa hiyo angekuwa peke yake? usijali lakini utahudhuria hako ka-suprise. Cheers!!
 
hehhe mkuu senks!

Umekosa mengi sana mkuu NL....I cant tell it all.....mchango wa "Invi" ulikuja ivo ivo ki invisible...ukaonekana ila YEYE ndo ivo tena...naona hii kazi ya JF upgrade ya over the weekend imemkeep busy sana....

I knew it.......I knew it....aaarrrg mkoloni is to blame for all these......aaaaarrggg!
 
Invisble jamani usilalamike sana ila Kaizer did the necessary of informing all those ambao walikuwa wametoa through email labda hujaiona.
Haa haa haaaa !!!
 
Nimekuvulia kofia! Uliwahi kuishi kwenye konvieti za watawa nini? Inaonekana neno limekaa kweli kweli.

Naanza kuona mwanga huko mbele. Hafi mtu hapa, kila kitu kikwama tutajoin JF Bible Fellowship Church, Bishop wetu si mwingine ni FL1.

Mungu akutangulie na shetani ashindwe ili Bwana atawale milele.

hahaha Dark City nimekupa thanks ingawa invisible kathema ati hizi thanks wengine mmmh ..
ubarikiwe na bwana tunaweza kufungua ka kitengo ketu .
 
Mabinamu mmejitahidi sana kwa moyo wenu wa upendo na kujitoa ni mungu pekee atawalipa thawabu kwa jambo hili ..si kazi ndogo mmeifanya
Kaizer usingizi ulipotea sababu ya hili jambo ,Fidel80 afadhari wewe ulikuwa na kinywaji 24/7 huku unakusanya michango
,MJ1,Carmel,Nguli , JS sijui utaitisha kuvunja kamati (Neva miss ), hivi huyu Zion D au Charity yuko wapi,Nyamayao eeh wasn't me ..Wa 16
keep it up
 
Hongra Geoff; ngusindikile na tulasi veemu!

Kamsevela kingye munyumba!😀
 
Mabinamu mmejitahidi sana kwa moyo wenu wa upendo na kujitoa ni mungu pekee atawalipa thawabu kwa jambo hili ..si kazi ndogo mmeifanya
Kaizer usingizi ulipotea sababu ya hili jambo ,Fidel80 afadhari wewe ulikuwa na kinywaji 24/7 huku unakusanya michango
,MJ1,Carmel,Nguli , JS sijui utaitisha kuvunja kamati (Neva miss ), hivi huyu Zion D au Charity yuko wapi,Nyamayao eeh wasn't me ..Wa 16
keep it up

Hivi kuna kuvunja kamati tena?? Sikuwa hata nakumbuka lol umenikumbusha FL1. Itabidi niwasiliane na wadau kuhusu hili tufanye mchakato mzima wa kuivunja hiyo kamati.

****NGULI yuko wapi???? Nguli i miss you my dear where you at???? Nikuanzishie thread of lost penpals wa JF???******
 
ilipendeza sana, na tulifurahia sana

Mkuu thanks I am short of words! it was so nice to meet and together we made it happen,

Mi hata sijui nianzie wapi kusimulia....
 
Hellow everyone how are you doing??? Isnt it a lovely monday after you got time to spend with your loved ones over the weekend??

Well kijana wetu Geoff ameoa tayari he is somebody's husband now kwa wale mliokuwa mna mategemeo ya kumpata ndo mshamkosa hivo mjipange upya tena kwa strategies mpya au sio........

Thanks to all mlio msupport in one way or the other we really appreciate it so much. You made his day worthy to remember always.MUNGU atawazidishia.

Tuliendeleze libeneke la JF kwenye shida na raha na you will never know maybe somebody else atasema anaoa/anaolewa hapahapa JF.

Have a lovely day and take care of yourselves.Love you all so much that i cant sleep without a thought of you kidogo (dont blush lakini)........

icon7.gif
icon7.gif
icon7.gif

Ah afadhali nilishakata tamaa ati, umenipa matumaini

Hongera Geof na wifi!!
 
Mkuu thanks I am short of words! it was so nice to meet and together we made it happen,

Mi hata sijui nianzie wapi kusimulia....[/QUOTE]

tulia kwanza usije ukaskipu some points hapo, maana jana niligundua hilo uliacha tu simu zijipige zenyewe...nikaona mmh maeksaintments haya!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom