Wapwazzzz

Wapwazzzz

GP

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
2,049
Reaction score
161
wapwazzzz salaam!!,
napenda kuchukua fursa hii kuwatakia nyote heri ya mwaka mpya 2010!.
MENGI NIMEJIFUNZA kwa muda mfupi hapa JF, mkuu FIDEL uko juu haswa kwenye kuoganaizi get tugeza!, hii inawezesha kufahamiana na wapwazzz, mkuu GEOFF nakupa bigup sana hasa kwa tukutuku yako kunipa kampani mara kadhaa na kupiga kambi eidha chawote au kwa kinibu!!.
wapwazzz wengine KAIZER na 'the pilllar' XPIN mzee wa O-pub mko juu pia, wengine sikubahatika kukutana nao kina ZD, CARMEL, BHT, NGULI, etc etc etc ila natumaini mwaka 2010 nitakumbana nao kwenye get tugeza kadhaa!.
salaam zangu ziwafikie wana JF WOTE popote mlipo bila kujali ni MPWAZZ au LEGENDZZZ!, wote JF inatuunganisha.
WISH U ALL HAPPY NEW YEAR 2010!!.
CLICK HERE
 
Yaaaaah! na wewe pia Kila la kheri katika Mwaka mpya na maisha bora ndani ya 2010 Mpwaa! Usisahau kunikaribisha nyamachoma mtu wangu! Hahaha! Be blessed!

Mopao
 
''Happy new hr! Ote, happy bday! wai ngakyi, marry xsmas! Mbutana! Ooh happy Valentine! ngasuko ulalu, happy morning! chaa! kundiamba lee, Mwaka mpya mwema''
 
Yaaaaah! na wewe pia Kila la kheri katika Mwaka mpya na maisha bora ndani ya 2010 Mpwaa! Usisahau kunikaribisha nyamachoma mtu wangu! Hahaha! Be blessed!

Mopao
hahahaaa, asante sana mpwaZZ
nitakua kwa kinibu pale kuna mdudu wa kuchoma, karibu sana!.
 
YAAH MAAAAAAN!pamoja sana maaan!
HALLA-BACK TO ALL JF MEMBERS

I LOVE YOU ALL MEEN!😀

2010 ni mwaka wangu huu😀
 
YAAH MAAAAAAN!pamoja sana maaan!
HALLA-BACK TO ALL JF MEMBERS

I LOVE YOU ALL MEEN!😀

2010 ni mwaka wangu huu😀
hahaaaa, leo wapi NEW YEAR'S EVE???
 
HAPO SAWA!
Leo kimara pale nitakaa sana na home-boy wangu
kimara kubwa mkuu: kona, rombo, baruti, bucha, korogwe, resort, kimara mwisho au stop ova??.
leo ntadrop kwa kinibu kuonja mdudu!.
 
kimara kubwa mkuu: kona, rombo, baruti, bucha, korogwe, resort, kimara mwisho au stop ova??.
leo ntadrop kwa kinibu kuonja mdudu!.
ngoja nikupigie simu ili TUSIWARAHISISHIE KAZI............
 
ngoja nikupigie simu ili TUSIWARAHISISHIE KAZI............
hahaaaaa, nimeshakusoma, coz malijendi hawakawii kutega mabomu!.
poa I will be there, tena leo ilikua nisije job maana jana niliondoka kama saa 2:30 usiku choka mbaya.
 
Hepi nyu yia wapwaz, mabinamuzzz na malijendis wooooooooote.GP usijali ntafanya juhudi zangu mwenyewe nikutafute tuonane.
Ombi langu kwa mwaka 2010, wapwaz karibuni Uswazi kwa Manyanya,Kuna vitu vingi tu vya heri na baraka.
 
Hepi nyu yia wapwaz, mabinamuzzz na malijendis wooooooooote.GP usijali ntafanya juhudi zangu mwenyewe nikutafute tuonane.
Ombi langu kwa mwaka 2010, wapwaz karibuni Uswazi kwa Manyanya,Kuna vitu vingi tu vya heri na baraka.

sawa sawa shemeji!
 
wapwazzzz salaam!!,
napenda kuchukua fursa hii kuwatakia nyote heri ya mwaka mpya 2010!.
MENGI NIMEJIFUNZA kwa muda mfupi hapa JF, mkuu FIDEL uko juu haswa kwenye kuoganaizi get tugeza!, hii inawezesha kufahamiana na wapwazzz, mkuu GEOFF nakupa bigup sana hasa kwa tukutuku yako kunipa kampani mara kadhaa na kupiga kambi eidha chawote au kwa kinibu!!.
wapwazzz wengine KAIZER na 'the pilllar' XPIN mzee wa O-pub mko juu pia, wengine sikubahatika kukutana nao kina ZD, CARMEL, BHT, NGULI, etc etc etc ila natumaini mwaka 2010 nitakumbana nao kwenye get tugeza kadhaa!.
salaam zangu ziwafikie wana JF WOTE popote mlipo bila kujali ni MPWAZZ au LEGENDZZZ!, wote JF inatuunganisha.
WISH U ALL HAPPY NEW YEAR 2010!!.
CLICK HERE

Thanks Pal! Neksti yia ukipata lifti ya tukutuku hakikisha unapiga breki pale Zero! Ziko 4 za baridi zinakusubiri na kokoto mzigo mmoja! Happy New Yia!
 
Hepi nyu yia wapwaz, mabinamuzzz na malijendis wooooooooote.GP usijali ntafanya juhudi zangu mwenyewe nikutafute tuonane.
Ombi langu kwa mwaka 2010, wapwaz karibuni Uswazi kwa Manyanya,Kuna vitu vingi tu vya heri na baraka.
hapa napo USWAAZI?...!ai miin kino nako USWAZINO?😀😀
acha hizo mpwaaz
 
Thanks Pal! Neksti yia ukipata lifti ya tukutuku hakikisha unapiga breki pale Zero! Ziko 4 za baridi zinakusubiri na kokoto mzigo mmoja! Happy New Yia!
na ''eliza''😀
 
Hepi nyu yia wapwaz, mabinamuzzz na malijendis wooooooooote.GP usijali ntafanya juhudi zangu mwenyewe nikutafute tuonane.
Ombi langu kwa mwaka 2010, wapwaz karibuni Uswazi kwa Manyanya,Kuna vitu vingi tu vya heri na baraka.
khaaaaa, kumbe uko maeneo hayo??
pale CASSABLANCA unapapata?, huwa nakuwepo sana pale!.
 
Back
Top Bottom