Waraka huu ni kwa watu wote wadada na wakaka mlio humu

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Kama wewe uko Inlove na mtu,huyu mtu asubuhi hakutafuti yuko bize,ila ikifika usiku,tena usiku wa manane sa6 huko ndo anaanza kupiga simu na maswali ya kipuuzi,eti 'umelala'?Sasa unadhani sa6 ntakuwa nachambua mchicha au? Utasikia nimekumiss amka basi tuongee kidogo KAMA UNANIPENDA MIMI,khah Kama kweli unampenda ulikuwa wapi kunifind asubuhi kunisalimu,au mchana kunikaribisha Lunch?

Yaani utumike huko weeee,sa6 usiku ndo unimiss mimi,unaumwa!Siamki!Haya mahaba ya Vibwengo siyataki,mapenzi gani ya usiku wa manane,akikupigia simu mwambie mi sio Kibwengo!Mahabahadi Cheka time ya bure?

Mwishowe niongelee usingizini uniulize Password za benki bure nitoe siri maana mazungumzo ya Usingizini unaweza ukasema visivyosemwa unakumbuka ukiamka!Kama unampenda,mtafute asubuhi au mchana,mahaba ya usiku waachie Watoto wa sekondari Siamki Ng'oo!

Kwahisani Ya Watu Wa dubai.
 
"Mahaba ya vibwengo" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
"Mahaba ya vibwengo" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaboa sana
 
Vipi na yule wa 2015 aliekuwa anasema haya si mapenzi ni mahaba na yale ni ya vibwengo..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…