Waraka kutoka kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe, Bibi Rose Mayemba kwenda kwa Askofu Mwamakula

Waraka kutoka kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe, Bibi Rose Mayemba kwenda kwa Askofu Mwamakula

Mungu Jehova uonae sirini kama kweli ndugu zetu wametenda hayo basi wahukumiwe lakini kama wanasingiziwa basi Bwana Yesu uwatetee ! tuna kiongozi wa Ajabu kesi iko mahakamani Jana Zanzibar anasema kuna chama kimehusika na mauaji wakati wao na chama chake mauaji yao yako dhahili .. Alphonse Mawazo damu yako bado naikumbuka Tundu Lissu saa saba mchana kapigwa risasi Ben SAA nane sijui yuko wapi Watanzania tufanye uamuzi tukapige kura za hasira kuwaenzi ndugu zetu kiongozi bora ni yule anayetenda haki bila kubagua vyama eti msipochagua wabunge wa Ccm sileti maendeleo kwani ww nani na hizo fedha siyo za kwako ni za umma.
 
Mungu Jehova uonae sirini kama kweli ndugu zetu wametenda hayo basi wahukumiwe lakini kama wanasingiziwa basi Bwana Yesu uwatetee ! tuna kiongozi wa Ajabu kesi iko mahakamani Jana Zanzibar anasema kuna chama kimehusika na mauaji wakati wao na chama chake mauaji yao yako dhahili .. Alphonse Mawazo damu yako bado naikumbuka Tundu Lissu saa saba mchana kapigwa risasi Ben SAA nane sijui yuko wapi Watanzania tufanye uamuzi tukapige kura za hasira kuwaenzi ndugu zetu kiongozi bora ni yule anayetenda haki bila kubagua vyama eti msipochagua wabunge wa Ccm sileti maendeleo kwani ww nani na hizo fedha siyo za kwako ni za umma.
 
WARAKA KUTOKA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA NJOMBE, BIBI ROSE MAYEMBA KWENDA KWA ASKOFU MWAMAKULA.
Hello Bishop! Heshima yako!
Ninaitwa Rose Mayemba, Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe. Leo tarehe 3 Septemba 2020, tumetoka gerezani hapa Njombe ambako tulikwenda kuwasalimia wenzetu, story zao zinatisha sana.Wanasema walipigwa na kuteswa sana huku wakilazimishwa wamtaje Mgombea wa Ubunge Emmanuel Masonga, Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe, Bi Rose Mayemba na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe kuwa wamewatuma kufanya mauaji. Wanafuatilia simu zetu zote muda wote kututafutia makosa ya kutuweka ndani.
Walipelekwa kwa Mlinzi wa Amani wakiwa chini ya ulinzi mkali na kutishiwa kuvunjwa miguu kama watakataa kuhusika na mauaji hayo hivyo kila mahali walipohojiwa walilazimika kukubali ili kukwepa maumivu. Leo tulipowaona walikuwa bado wanachechemea huku wakilalamika kwamba uti wa mgongo bado una maumivu makali...
Lakini wanawasalimia sana wanasema wao wako imara. Wanaomba msife moyo. Wanaamini haya ni mapito tu hivyo iko siku yatakwisha.
Aliyekuwa anazungumza na sisi wawili (mimi na Mgombea Ubunge) ni George Sanga ambaye ni mtuhumiwa na pia Mgombea wa Udiwani katika Kata mojawapo na Katibu wa CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini na alikuwa anawakilisha watuhumiwa wenzake. Lakini waliokuwa wanasikia ni wengi maana tuliingia pia na Mchungaji wa kanisa lake na mkewe na watu wengine wengi...
Image may contain: 1 person, standing
Chadema ni majambazi ikiwemo na wewe pia ,Zwazwa mkubwa
 
WARAKA KUTOKA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA NJOMBE, BIBI ROSE MAYEMBA KWENDA KWA ASKOFU MWAMAKULA.
Hello Bishop! Heshima yako!
Ninaitwa Rose Mayemba, Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe. Leo tarehe 3 Septemba 2020, tumetoka gerezani hapa Njombe ambako tulikwenda kuwasalimia wenzetu, story zao zinatisha sana.Wanasema walipigwa na kuteswa sana huku wakilazimishwa wamtaje Mgombea wa Ubunge Emmanuel Masonga, Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe, Bi Rose Mayemba na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe kuwa wamewatuma kufanya mauaji. Wanafuatilia simu zetu zote muda wote kututafutia makosa ya kutuweka ndani.
Walipelekwa kwa Mlinzi wa Amani wakiwa chini ya ulinzi mkali na kutishiwa kuvunjwa miguu kama watakataa kuhusika na mauaji hayo hivyo kila mahali walipohojiwa walilazimika kukubali ili kukwepa maumivu. Leo tulipowaona walikuwa bado wanachechemea huku wakilalamika kwamba uti wa mgongo bado una maumivu makali...
Lakini wanawasalimia sana wanasema wao wako imara. Wanaomba msife moyo. Wanaamini haya ni mapito tu hivyo iko siku yatakwisha.
Aliyekuwa anazungumza na sisi wawili (mimi na Mgombea Ubunge) ni George Sanga ambaye ni mtuhumiwa na pia Mgombea wa Udiwani katika Kata mojawapo na Katibu wa CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini na alikuwa anawakilisha watuhumiwa wenzake. Lakini waliokuwa wanasikia ni wengi maana tuliingia pia na Mchungaji wa kanisa lake na mkewe na watu wengine wengi...
Image may contain: 1 person, standing


Hopefully watasomewa mashtaka fasta sana ili haki ipatikane, hakuna kesi hapo na kw ajinsi walivyo na papara kawaida huwa, wanchemka kufile case.
 
Uchunguzi wa nani aliyefanya mauaji uendelee. Kama inaonekana kwetu kwamba wameonewa basi tuisaidie police kwa kupeleka ushahidi wa ukweli tunaoujua ili hawa tunaoona kwamba wameonewa wawe huru
 
Upole umezidi ndiyo maana watu wanafanyiana ushenzi baada ya kudhulumiana na mwisho wanawasingizia wapinzani wao Wa kisiasa. Kwani simu ya mtuhumiwa inaonyesha nani mtu Wa mwisho kuwasiliana naye na alikuwa eneo gani?
Wafanye nini kwa mfano.Mtizamo wangu binafsi ni kuwa pasiwe na makabiliano na serikali/CCM ya kutumia nguvu.Kama ilivyotokea serikali za mitaa na naomba itokee tena katika uchaguzi huu,ushindi wote uende kwa CCM Bunge lote,serikali yote.Tutakuwa na miaka mitano ya wapinzani kutafakari na pia CCM kutafakari.Wachukue vyote tubaki na amnai na shughuli zetu!!
 
Huwajui Chadema wewe, wanaweza kwenda extra miles provided kuna fungu. Ni chama cha ajabu hata shetani mwenyewe atakuwa anawapenda.
Toka kumekuwa na kesi za namna hiyo, IPI imewahi kuwa approved kuwa Chadema wanashiriki mambo hayo usemayo?
Tumeona kesi ya tindikali ya Tesha iliishia kujulikana Mwigulu alikuwa anamtumia. Rwakatare na ugaidi nayo ni ujinga tuu nk nk.
 
Nadhani ni muda sasa wa kuyaangalia haya mambo kwa jicho la mbali zaidi ili kuwaokoa wenzetu wanaoteswa kwa tuhuma ambazo hawajazifanya..

Siku zote tunasikia tu kuwa sijui wanateswa,mara wanalawitiwa,mara sijui wanaibgizwa chupa nyuma na mateso mengine kibao tgen ndo inakuwa imetoka mwishowe tunasikia wamekufa baada ya mateso makali ss najiuliza hv kweli ubinaadamu umetutoka jumla kiasi kwamba huwa hatuyahisi haya magumu wanayopitia wenzetu???


Tafakari na uanze kuchukua hatua kuanzia sasa..
Tatizo ni utawala wa mabavu wa ccm unaofanywa kiuonevu sana
 
WARAKA KUTOKA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA NJOMBE, BIBI ROSE MAYEMBA KWENDA KWA ASKOFU MWAMAKULA.
Hello Bishop! Heshima yako!
Ninaitwa Rose Mayemba, Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe. Leo tarehe 3 Septemba 2020, tumetoka gerezani hapa Njombe ambako tulikwenda kuwasalimia wenzetu, story zao zinatisha sana.Wanasema walipigwa na kuteswa sana huku wakilazimishwa wamtaje Mgombea wa Ubunge Emmanuel Masonga, Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe, Bi Rose Mayemba na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe kuwa wamewatuma kufanya mauaji. Wanafuatilia simu zetu zote muda wote kututafutia makosa ya kutuweka ndani.
Walipelekwa kwa Mlinzi wa Amani wakiwa chini ya ulinzi mkali na kutishiwa kuvunjwa miguu kama watakataa kuhusika na mauaji hayo hivyo kila mahali walipohojiwa walilazimika kukubali ili kukwepa maumivu. Leo tulipowaona walikuwa bado wanachechemea huku wakilalamika kwamba uti wa mgongo bado una maumivu makali...
Lakini wanawasalimia sana wanasema wao wako imara. Wanaomba msife moyo. Wanaamini haya ni mapito tu hivyo iko siku yatakwisha.
Aliyekuwa anazungumza na sisi wawili (mimi na Mgombea Ubunge) ni George Sanga ambaye ni mtuhumiwa na pia Mgombea wa Udiwani katika Kata mojawapo na Katibu wa CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini na alikuwa anawakilisha watuhumiwa wenzake. Lakini waliokuwa wanasikia ni wengi maana tuliingia pia na Mchungaji wa kanisa lake na mkewe na watu wengine wengi...
Image may contain: 1 person, standing
Hata makatili wengine akina Bokasa, iddi Amin, Yahaya Jameh, nk, mwisho wao ulifika
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nadhani ni muda sasa wa kuyaangalia haya mambo kwa jicho la mbali zaidi ili kuwaokoa wenzetu wanaoteswa kwa tuhuma ambazo hawajazifanya..

Siku zote tunasikia tu kuwa sijui wanateswa,mara wanalawitiwa,mara sijui wanaibgizwa chupa nyuma na mateso mengine kibao tgen ndo inakuwa imetoka mwishowe tunasikia wamekufa baada ya mateso makali ss najiuliza hv kweli ubinaadamu umetutoka jumla kiasi kwamba huwa hatuyahisi haya magumu wanayopitia wenzetu???


Tafakari na uanze kuchukua hatua kuanzia sasa..
Noted CHADEMA MAKAO MAKUU - KITENGO
 
Hii Ndio serikali ya Magufuli
Katika history ya nchi yetu hatujawahi kupata kiongozi anatesa watu wake hivi
Kwa muda wake amwatesa Sana wapinzani na viongozi wa dini has a waislamu
Kwa miaka mi5 hii kuna watu wengi wametuhumuwa kesi za ugaidi kuliko Afghanistan na Iraq
Huyu mtu katili Sana hata akiongoza miaka Mia mwisho wake upo
Kabisa Mkuu...
 
Kama ni wao kweli walimuua yule kijana wasitegemee huruma yoyote, muda wao utafika na wao watakula kifungo cha maisha, siasa si sababu ya kuua wengine.
Hili uliloandika ni sahihi lakini haki lazima itendeke pande zote, kwanini ulizimishe watuhumiwa wawataje watu? Pili mawazo wa chadema aliuawa lakini hakuna aliyekamatwa hadi leo je ni sawa wafuasi wa chadema kuuawa na ni kosa wafuasi wa ccm kuuawa?
 
WARAKA KUTOKA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA NJOMBE, BIBI ROSE MAYEMBA KWENDA KWA ASKOFU MWAMAKULA.
Hello Bishop! Heshima yako!
Ninaitwa Rose Mayemba, Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe. Leo tarehe 3 Septemba 2020, tumetoka gerezani hapa Njombe ambako tulikwenda kuwasalimia wenzetu, story zao zinatisha sana.Wanasema walipigwa na kuteswa sana huku wakilazimishwa wamtaje Mgombea wa Ubunge Emmanuel Masonga, Mwenyekiti wa Mkoa wa Njombe, Bi Rose Mayemba na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe kuwa wamewatuma kufanya mauaji. Wanafuatilia simu zetu zote muda wote kututafutia makosa ya kutuweka ndani.
Walipelekwa kwa Mlinzi wa Amani wakiwa chini ya ulinzi mkali na kutishiwa kuvunjwa miguu kama watakataa kuhusika na mauaji hayo hivyo kila mahali walipohojiwa walilazimika kukubali ili kukwepa maumivu. Leo tulipowaona walikuwa bado wanachechemea huku wakilalamika kwamba uti wa mgongo bado una maumivu makali...
Lakini wanawasalimia sana wanasema wao wako imara. Wanaomba msife moyo. Wanaamini haya ni mapito tu hivyo iko siku yatakwisha.
Aliyekuwa anazungumza na sisi wawili (mimi na Mgombea Ubunge) ni George Sanga ambaye ni mtuhumiwa na pia Mgombea wa Udiwani katika Kata mojawapo na Katibu wa CHADEMA Jimbo la Njombe Mjini na alikuwa anawakilisha watuhumiwa wenzake. Lakini waliokuwa wanasikia ni wengi maana tuliingia pia na Mchungaji wa kanisa lake na mkewe na watu wengine wengi...
Image may contain: 1 person, standing
Mungu atawashindia. Nyakati hizi ngumu ambapo shetani ametawala. Ni Mungu tu Bwana wa Majeshi aweza kutusaidia. Na Kwa jina la Yesu kristo natamka kufunguliwa Kwao. Wote tuseme amen!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom