Waraka kwa walimu wenzangu

Inachosha?mfano mimi huwa nawaadhubu wanafunzi kwa ule uchungu wa mzazi kwamba nimsaidie lakini sasa unaambiwa una stress,mr alinikataza mambo ya kuhangaika na watoto wa watu,live your life
Sana,wazazi wanachanganya hisia na upendo kwenye malezi ya mtoto.mtoto aliyemshindwa yeye wewe humuwezi,huyo waachie polisi na ulimwengu huku mtaani atakaa sawa tu😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…