Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,994
- 4,729
Hivi mnadhani kila anayeadhibu ana stress au njaa kali,kuna sehemu usipotumia fimbo hupati hata div 2Tatizo walimu wananjaa Kali sana.wewe mtu unashindia mihogo Kila siku unafikiri utakuwa na mbinu ya kumfundisha mtoto akaelewa zaidi ya kuwa na hasira tu ya kuwachapa fimbo zisizo na msingi