Siku Emmyta akibadilisha avatar nitamtafuta na tunguli za mme wanguuuYaaah...halafu kulikua na lemba la dada mmoja tena sitaki kumtaja jina nae pia ulikua ukipita tu lazima ulione,avatar ni utambulisho mzuri sana
Na kweli mpendwa,usije anzishiwa uzi jukwaa la malalamiko kule[emoji23][emoji23][emoji23]Aahahah sijambo dear hofu kwako tu si unawajua wananzengo wa jf
Hapana dada kile kigauni kilikuwa kinanisaidia kukuona
Shunie haya malalamiko huyaoni au.....?Turudishie kigauni chetu bwana wenyewe tulikizoea
Wewe rudisha tuAiseee yaan nyie mtanifanya niirudishe
Unawaka waka.... [emoji120] [emoji120] [emoji120]Nahusubiri kwa hamu nikuje mie mgongo wangu una nini best
Turudishie kabla hatujaenda kumwambia da Mange Shunie katoa kigauni chetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzy zako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaan wewe mwifwaNingesema mimi japo nilikuwa na dukuduku ungenishangaa bora kasema mwingine sina budi kumuunga mkono.
Hata wakati unaileta ile uliyoitoa, niliwahi kuilalamikia uirudishe ile ya mwanzo kale kabinti kalikuwa kameinamisha uso chini, ulikataa pia.
Unatuchosha bana kila siku tuanze kuzoea kipya.
Kwahiyo unangoja ageuke kama AY?hazard cfc unatuangusha, hii ya sasa hivi ndio nzuri, mwambie tu ageuke. Kugeuka ni rahisi zaidi kuliko kurudisha ile ya zamani.
Asanteee [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Hapana ngoja kwanza wapambane na hamu zao mama
Mkuu makopa ya nini kwa mfanoZa kawaida hizo bestie....
Siku moja nitakupa invitation...
Ila mgongo wako huo [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Yan hiyo Avatar uliyotoa ni sawa na kuanza na app mpya mashikolomageniAhahahhhhh ujue mwanzo mgumu mtaizoea tu
Nina imani malalamiko yetu yatafanyiwa kazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaan wewe mwifwa
Hahaha yule mwana yanga natamani abadilishe aweje hata ya kamusokoSiku Emmyta akibadilisha avatar nitamtafuta na tunguli za mme wanguuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama huu nimefanya kutumiwa link nikasema kuna nn tena, sasa wakishaona sura unakutana na mthread shunie mwenyewe mbaya ana sura ya babu yakeNa kweli mpendwa,usije anzishiwa uzi jukwaa la malalamiko kule[emoji23][emoji23][emoji23]
Me mzima msalimie Sakayo
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Asanteee [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Nayaona ebu ngoja kwanzaShunie haya malalamiko huyaoni au.....?