Waraka kwako shunie

Hahaha
Shunie ni kama Ali kiba, hata akikohoa tuu
Watu wanafurahi kishenzi.

Ila na wewe hii ulo kuja nayo lazima umeongeza viewers, japo ile ya zaman mi ndio nlikuwa naikubali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nijazeniiii najazika
 
Asanteee iceman [emoji120][emoji120] halaf wataizoea tu he he nawaza tu ningekuwa you tube
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Fanya mpango asee maana humu unatuchukua kijiji chote.

Sema you deserve to be liked hongera
 
Hahaha hamna mkuu mama watot hawez kubali hilo,nina folder tu kweny pc yangu lina password ngumu balaa
Nilijuaaaa kabisaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…