Nimekaa hapa nabarizi natazama runinga ya Taifa zamani TVT kwa sasa TBC namwona pascal Mayala katika banda la TCRA...Pascal kwanini dada wa mwisho ambae ni mteja katika banda hilo mmeandika jina lake JOSEPHINE PLAYGOD? Ni PLAYGOD ama ni PRAYGOD?? Hili tatizo la "R" na "L" kwasasa linashika kasi. Jamani waandishi wabobevu kama nyinyi mtusaidie liishe...