Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwasisi wa Taifa hili, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alituachia amani na utulivu ambavyo ni tunu ya taifa hili.
Tusiichoke amani!??amani mmeichoka nyie mafisadi kwa kutuibia kupita kiasi na sasa tuko mbioni kuwadhibiti! na usImntaje Nyerere kabisa:nono:, mwache apumzike mzee wa watu, the guy would have chosen Dr Slaa and not you mate! simply because Dr ni mkombozi! uuummm! who are you??? , aaand wht have you done to this Nation?? UFISADI!??Wito wangu kwa Watanzania, ni kwamba tusiichoke amani. Amani tuliyonayo ndiyo imetutofautisha na mataifa mengi yaliyotuzunguka na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kupigiwa mfano. Tuelekeze nguvu zetu katika shughuli halali za kutuletea kipato zisizoharibu amani yetu.
Tukiiharibu amani tuliyonayo, mwisho wa siku nchi yetu itateketea na sote hatutakuwa salama. Tutakuwa tumekwisha.
Mwisho, namsihi Dk. Slaa ajipe muda wa kuzifahamu vyema siasa za nchi hii. Asidanganywe na mahudhurio ya mikutano ya hadhara akadhani ndizo kura katika masanduku ya kupigia kura. Namsihi ajifunze` zaidi jinsi ya kufanya siasa za kistaarabu bila kueneza uvumi, uongo, chuki na uzushi vyenye kutetelesha amani ya nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania.
Hivi ni kweli kwamba Nyerere alimkataa Lowasa? Hivi kwa nini alimkataa?
dah. mkuu sikuwezi kwa kumbukumbu.
mie nimejiinamia pembeni naangalia mambo yanavyokwenda. wakishamuapisha jeikei tujue kuwa maisha bora ni kwaheri baibai