Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Kama nyie mna huruma na upendo San vp hao wazee wa balashia wanao jivisha mabomu na kujitoa mhanga na kuua watu wasio na hatia
Hao hawana dini
Wewe niambie kuna jirani yako muislam amewahi kukuwekea bomb 💣 hata kwenye kibanda chako cha kuku?
Hakuna dini inaruhusu mauaji na hilo linajulikana kwa hiyo usibadili hoja
Je hawakuwasalimisha walijificha misikitini ?
Wakristo waliona aibu kuwaulia misikitini ila walichoma moto na kuwateketeza wakristo wenzao

Hili usipinge
Nyie mnadanganywa na kutoa michango kila leo kwa kuwanufaisha hao mabwanyenye wanaojiita mapadri na maaskofu
Angalia mahekalu wanayoishi na magari waliyonayo na nyie hata hospital hamtibiwi bure hata kama huna uwezo

Wewe unapeleka hela kanisani ila ukiwa njiani ukikutana na kipofu akikuomba msaada humpi hata alie sasa huo ni ubbinadamu au ushetani
 
Nazungumza na watu wa TEC to let them know that they are only talking to themselves. No one( catholic)is listening to them.
Your not true, even me as a subordinates of TEC I listen my leaders and I know what they mean.. so repeat your research
 
Ikikuuma chomoa
 
Kwahiyo haya uliyosema yanahusiana nn na walichosema TEC, nyie ndo mnafanya walimu hawaongezewi mishahara mana hawakufanya kazi yao kwny vichwa duzain yako
 
Nashinda kwa mamayo ambaye ni mwajuma ndala ndefu
Ivi watu kama nyie mnaingiaje humu JF,, tumewakimbia Twitter, na fb hko tuje tutulize akili huku tunakutana tena haya mapopoma..
 
Nimekuelewa zaidi ya walengwa uliowatumia ujumbe.
 
Ivi watu kama nyie mnaingiaje humu JF,, tumewakimbia Twitter, na fb hko tuje tutulize akili huku tunakutana tena haya mapopoma..
We fisi wa juzi tu ukute bado wanuka matako
 
Kwahiyo haya uliyosema yanahusiana nn na walichosema TEC, nyie ndo mnafanya walimu hawaongezewi mishahara mana hawakufanya kazi yao kwny vichwa duzain yako
Haya nyie wenye elimu mbona mnalia lia kwa mirija kukatwa ya kuingiza mizigo bure bandarini
Mmesoma ili mshike nyadhifa kwa kuiba sio?
Haya wewe uliesoma na kuiba madaftari yetu mpaka ukubwani bado unaiba na kula rushwa una faida gani na taifa
Inakuuma sana kanisa kubaniwa bandari ama
Wizi wenu unajulikana na mnapitisha mpaka visivyosemwa

Naona mmejiandaa vyema kwa miaka yote hiyo ila hamuwezi kufanya kitu nyie ni waoga sana
Kwahiyo haya uliyosema yanahusiana nn na walichosema TEC, nyie ndo mnafanya walimu hawaongezewi mishahara mana hawakufanya kazi yao kwny vichwa duzain yako

Kwahiyo haya uliyosema yanahusiana nn na walichosema TEC, nyie ndo mnafanya walimu hawaongezewi mishahara mana hawakufanya kazi yao kwny vichwa duzain yako
Rudia kusoma ulichondika wewe msomi
Kama hata kiswahili kinakushinda unajiitaje mtz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…