Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Waraka wa Maaskofu Katoliki kusomwa na makanisa yote nchini kesho Agosti 21, 2023

Unaposema loyal disciples unamaanisha nini?
hilo ndio kanisa kubwa kabisa nchi hii. Unaposomwa huo waraka makanisani mwao ndipo unawa expose wafuasi wake ambao ni wananchi juu ya hali iliyopo. Kitu ambacho nape na serikali inaogopa ndio maana inahangaika kubana media.

umoja na ukubwa wao unaosema hawana, ndio umewasaidia kumilika miradi mikubwa nchi hii kama mashule, hospitali,n.k.
 
TEC ni wanafiki wakubwa
Ivi nyie wazee wa balashia dini yenu inaruhusu mwanamke kuingiza au ndo civilization za magharibi ndizo zimewamodify.

Ivi nchi za kiarabu ulishawahi kusikia kiongoz yoyote mwanamke au me sio mfatiiaji ebu njooni na evidence.

Shida Africa tunakaririshwa tu pasipo kuelewa umezaliwa umemkuta baba na mama din fulan na ww umo afu Leo mnajifanya wafia dini
 
Ivi nyie wazee wa balashia dini yenu inaruhusu mwanamke kuingiza au ndo civilization za magharibi ndizo zimewamodify.

Ivi nchi za kiarabu ulishawahi kusikia kiongoz yoyote mwanamke au me sio mfatiiaji ebu njooni na evidence.

Shida Africa tunakaririshwa tu pasipo kuelewa umezaliwa umemkuta baba na mama din fulan na ww umo afu Leo mnajifanya wafia dini
Kuongoza
 
Katika hizi dini 2 zilizo letwa na majahazi walau waislamu wana waumini watiifu kwa viongozi wao hasa hasa pale inapo tukanwa dini yao(kitabu chao au mtume wao)


Msingi mkuu wa dini ya ki islamu ni udugu wa kiarabu ( Arabic brotherhood) ambao baadae.ulibadilishwa na ukuwa udugu wa kiislamu( Islamic brotherhood)

Udugu wa kiarabu ulikuwa ni kuungana dhidi ya wayahudi.


Waislamu wana umoja na mshikamano mno.

Nna declare interest Mimi ni muislam nimezaliwa katika familia na ukoo wa ki islamu.

Sasa hivi nimerudi kwenye uafrika wangu ambao ndio uhalisia wangu lakini niwaambie tu ndugu zangu heshimu sana watu wenye umoja n.a. mshikamano.


Waislamu huwaga wana umoja n.a. mshikamano wa hali ya juu sana.

Angalia hata kwenye misiba mtu ambapo fariki jinsi wanavyo kusanyana na kuhimizana.


Hata kama sio muislamu mwenzao as long as ni jirani, work mate, school mate etc huwa wanakuwaga na umoja sana.


Ukatoliki na ukristo kwa ujumla umejengwa katika utamaduni wa kizungu ( ubepari na ubinafsi)

Wakristu hawanaga umoja wa kihivyo. Kwa mfano wakatoliki kama huwa huendi kwenye jumuiya ndogo ndogo basi huzikwi na kanisa (waislamu hata kama wewe mkristo umefiwa na nduguyo mkristo ukiomba wamzike wanamzika kiislamu)


Ile amri ya Yesu ya naiona zaidi kwa waislamu kuliko wakristu wenyewe.

Wakristu wanaishi kufuata mfumo wa kizungu every one mind his own business.

kikichafuka hapa mtakimbiana. Maaskofu wa TEC watashangaa kuona kwamba kumbe hawana ushawishi wowote kwa waumini wao. Waumini wanaweza kuwa asi TEC na kujiunga na waislamu kwa ajili ya ku feel the spirit of solidarity.


TEC jueni kwamba ninyi hamna wafuasi watiifu sio kwenu tu bali pia hata kwa imani yao.

Asilimia kubwa ya atheists duniani walikuwaga wakristu.

Wakristu wanafanya utani hadi na Yesu. Comedian Mkristo anaweza kufanya utani kuhusu Yesu. Mfano " kama Yesu mwenyewe amerudi kukaa kwa baba ake Mimi ni nani hata nitoke kwa nyumba ya baba yangu" au comedian anaweza kumrefer Jesus as " J"

Rapper Suma Mnazareti aliwahi kurap " mistari yangu ni tight zaidi ya bikira ya mariamu"

Muislamu hawezi kuongea hivyo kwa sababu at least yupo royal kwa imani yake hata kama yeye mwenyewe ana matendo ya dhambi.

Zamani wakatoliki walikuwaga wanaenda kuungama dhambi kwa mapadre sasa hivi labda watoto ndio wanaweza kufanya hivyo.


Ni wakatoliki wachache sana wanao amini kuhusu kuwepo kwa moto wa jehanamu lakini waislamu bado wana amini hadi kuhusu adhabu ya kaburi achilia mbali moto wa jehanamu..

Katika nchi yenye watu wenye mdogo wa kufikiria kama Tanzanja ni vyema dini ikatengwa na siasa.

TEC ninyi hamna hicho " kibali" kwenye mioyo ya waumini wenu kiasi cha kuwaambia wafanye jambo fulani na wakafanya

Msisahau kuwa kanisa lenu ndio linaongoza kwa kuhamwa na waumini wake ambao wengi wao wanaenda kwenye ulokole.

Mafundisho ya wasabato dhidi ya kanisa lenu yameleta impact kubwa sana kwenye kanisa lenu kwa sababu waumini wenu wengi wakifundishwa na wasabato huwa wanaishia kuamini na eidha kujiunga sabato, ulokole,uislamu au kuacha kwenda kabisani.


Ndo maana u can't find " church goers" among the Catholics.

Church going persons wengi wao ni Walokole ama wasabato na wapentekoste but no wakatoliki.

This means wakatoliki hawapo royal n.a. Mafundisho ya kanisa lao

TEC take this note
Sasa hapa mkuu umeongelea Nini, Mimi nilikuwa nafikiri insu ya bandari, nisukilizie mawazo yako.Toa maoni yako
 
Ivi nyie wazee wa balashia dini yenu inaruhusu mwanamke kuingiza au ndo civilization za magharibi ndizo zimewamodify.

Ivi nchi za kiarabu ulishawahi kusikia kiongoz yoyote mwanamke au me sio mfatiiaji ebu njooni na evidence.

Shida Africa tunakaririshwa tu pasipo kuelewa umezaliwa umemkuta baba na mama din fulan na ww umo afu Leo mnajifanya wafia dini
Mkuu hapa tunazungumza kuhusu solidarity miongoni mwa wakristu vs miongoni mwa waislamu . Plus loyalty to their religion and leaders
 
Mauwaji ya kimbari waliokimbilia kanisani walichomwa moto humo humo na wakristo wenzao ila wakristo waliokimbia na kujificha misikitini hawakuuwawa na wenzao
Fikiria hilo
Kama nyie mna huruma na upendo San vp hao wazee wa balashia wanao jivisha mabomu na kujitoa mhanga na kuua watu wasio na hatia
 
labda kama haujaelewa, lengo la Kanisa siyo kura au sijui hao unaowaita wafuasi loyal, lengo ni kusimama kwenye ukweli kutetea wanaoonewa na hili wamelifanya wametimiza wajibu wao bila ya uoga wowote, kwanza unazidi kuwatukana, kuwabeza na kuwadharau Waislamu kwa kuwaita “wafuasi loyal” maana yake ni kwamba ni makondoo who can not think for themselves hivyo sidhani kama Kanisa hata linataka waumini wake wawe hivyo, lengo ni kuelimisha watu halafu wenyewe watafanya maamuzi yao …
 
Katika hizi dini 2 zilizo letwa na majahazi walau waislamu wana waumini watiifu kwa viongozi wao hasa hasa pale inapo tukanwa dini yao(kitabu chao au mtume wao)


Msingi mkuu wa dini ya ki islamu ni udugu wa kiarabu ( Arabic brotherhood) ambao baadae.ulibadilishwa na ukuwa udugu wa kiislamu( Islamic brotherhood)

Udugu wa kiarabu ulikuwa ni kuungana dhidi ya wayahudi.


Waislamu wana umoja na mshikamano mno.

Nna declare interest mimi nimezaliwa katika familia na ukoo wa ki islamu.

Ingawa Sasa hivi nimerudi kwenye uafrika wangu ambao ndio uhalisia wangu lakini niwaambie tu ndugu zangu heshimu sana watu wenye umoja n.a. mshikamano.


Waislamu huwaga wana umoja n.a. mshikamano wa hali ya juu sana.

Angalia hata kwenye misiba mtu ambapo fariki jinsi wanavyo kusanyana na kuhimizana.


Hata kama sio muislamu mwenzao as long as ni jirani, work mate, school mate etc huwa wanakuwaga na umoja sana.


Ukatoliki na ukristo kwa ujumla umejengwa katika utamaduni wa kizungu ( ubepari na ubinafsi)

Wakristu hawanaga umoja wa kihivyo. Kwa mfano wakatoliki kama huwa huendi kwenye jumuiya ndogo ndogo basi huzikwi na kanisa (waislamu hata kama wewe mkristo umefiwa na nduguyo mkristo ukiomba wamzike wanamzika kiislamu)


Ile amri ya Yesu ya upendo naiona zaidi miongoni mwa waislamu kuliko kwa wakristu wenyewe.

Wakristu wanaishi kufuata mfumo wa kizungu every one mind his own business.

kikichafuka hapa mtakimbiana. Maaskofu wa TEC watashangaa kuona kwamba kumbe hawana ushawishi wowote kwa waumini wao. Waumini wanaweza kuwa asi TEC na kujiunga na waislamu kwa ajili ya kui - ishi the spirit of solidarity.


TEC jueni kwamba ninyi hamna wafuasi watiifu sio kwenu tu bali pia hata kwa imani yao.

Asilimia kubwa ya atheists duniani walikuwaga wakristu.

Wakristu wanafanya utani hadi na Yesu. Comedian Mkristo anaweza kufanya utani kuhusu Yesu. Mfano " kama Yesu mwenyewe amerudi kukaa kwa baba ake Mimi ni nani hata nitoke kwa nyumba ya baba yangu" au comedian anaweza kumrefer Jesus as " J"

Kuna rafiki yangu Mkristo mwaka 2006 ali anzisha bar yake aka iita hata " Jesus Bar" Brela wakamtalia ( mkatoliki)

Rapper Suma Mnazareti ( ambae ni Mkristo) aliwahi kurap " mistari yangu ni tight zaidi ya bikira ya mariamu"

Muislamu hawezi kuongea hivyo kwa sababu at least yupo royal kwa imani yake hata kama yeye mwenyewe ana matendo ya dhambi.

Diamond kaimba wimbo wake wa kidunia anauita " Alleluya" na wakristu wamekaa kimya. Angethubutu kuimba wimbo wa design hiyo halafu aweke maneno yanayo tumiwa na waislamu unge Iona solidarity ya waislamu.

Jay z kwenye wimbo wake " EMPIRE STATE OF MIND" anasema " Jesus can't save you church start where ur life end" then katika wimbo huo huo anasema " If Jesus pay LeBron I pay D'wayne Wade"

But Christians they think it is okay wana ucheza na kuucheza. Mwaka 2009 Jokate Mwegelo ambae ni mkatoliki she personally told me that Empire State of Mind was her favourite song" can u imagine. Wimbo unao likashifu kanisa na Yesu unaanzaje kuwa ur favourite song? Jibu ni moja lack of loyalty.

Zamani wakatoliki walikuwaga wanaenda kuungama dhambi kwa mapadre sasa hivi labda watoto ndio wanaweza kufanya hivyo.


Ni wakatoliki wachache sana wanao amini kuhusu kuwepo kwa moto wa jehanamu lakini waislamu bado wana amini hadi kuhusu adhabu ya kaburi achilia mbali moto wa jehanamu..

Katika nchi yenye watu wenye mdogo wa kufikiria kama Tanzanja ni vyema dini ikatengwa na siasa.

TEC ninyi hamna hicho " kibali" kwenye mioyo ya waumini wenu kiasi cha kuwaambia wafanye jambo fulani na wakafanya

Msisahau kuwa kanisa lenu ndio linaongoza kwa kuhamwa na waumini wake ambao wengi wao wanaenda kwenye ulokole.

Mafundisho ya wasabato dhidi ya kanisa lenu yameleta impact kubwa sana kwenye kanisa lenu kwa sababu waumini wenu wengi wakifundishwa na wasabato huwa wanaishia kuamini na eidha kujiunga sabato, ulokole,uislamu au kuacha kwenda kabisani.


Ndo maana u can't find " church goers" among the Catholics.

Church going persons wengi wao ni Walokole ama wasabato na wapentekoste but no wakatoliki.

This means wakatoliki hawapo royal n.a. Mafundisho ya kanisa lao

TEC take this note
Endelea kufurahia vipepeo kwenye screen server wakati haujui the big brain behind the whole device architecture.
Ulale unono
 
Katika hizi dini 2 zilizo letwa na majahazi walau waislamu wana waumini watiifu kwa viongozi wao hasa hasa pale inapo tukanwa dini yao(kitabu chao au mtume wao)


Msingi mkuu wa dini ya ki islamu ni udugu wa kiarabu ( Arabic brotherhood) ambao baadae.ulibadilishwa na ukuwa udugu wa kiislamu( Islamic brotherhood)

Udugu wa kiarabu ulikuwa ni kuungana dhidi ya wayahudi.


Waislamu wana umoja na mshikamano mno.

Nna declare interest mimi nimezaliwa katika familia na ukoo wa ki islamu.

Ingawa Sasa hivi nimerudi kwenye uafrika wangu ambao ndio uhalisia wangu lakini niwaambie tu ndugu zangu heshimu sana watu wenye umoja n.a. mshikamano.


Waislamu huwaga wana umoja n.a. mshikamano wa hali ya juu sana.

Angalia hata kwenye misiba mtu ambapo fariki jinsi wanavyo kusanyana na kuhimizana.


Hata kama sio muislamu mwenzao as long as ni jirani, work mate, school mate etc huwa wanakuwaga na umoja sana.


Ukatoliki na ukristo kwa ujumla umejengwa katika utamaduni wa kizungu ( ubepari na ubinafsi)

Wakristu hawanaga umoja wa kihivyo. Kwa mfano wakatoliki kama huwa huendi kwenye jumuiya ndogo ndogo basi huzikwi na kanisa (waislamu hata kama wewe mkristo umefiwa na nduguyo mkristo ukiomba wamzike wanamzika kiislamu)


Ile amri ya Yesu ya upendo naiona zaidi miongoni mwa waislamu kuliko kwa wakristu wenyewe.

Wakristu wanaishi kufuata mfumo wa kizungu every one mind his own business.

kikichafuka hapa mtakimbiana. Maaskofu wa TEC watashangaa kuona kwamba kumbe hawana ushawishi wowote kwa waumini wao. Waumini wanaweza kuwa asi TEC na kujiunga na waislamu kwa ajili ya kui - ishi the spirit of solidarity.


TEC jueni kwamba ninyi hamna wafuasi watiifu sio kwenu tu bali pia hata kwa imani yao.

Asilimia kubwa ya atheists duniani walikuwaga wakristu.

Wakristu wanafanya utani hadi na Yesu. Comedian Mkristo anaweza kufanya utani kuhusu Yesu. Mfano " kama Yesu mwenyewe amerudi kukaa kwa baba ake Mimi ni nani hata nitoke kwa nyumba ya baba yangu" au comedian anaweza kumrefer Jesus as " J"

Kuna rafiki yangu Mkristo mwaka 2006 ali anzisha bar yake aka iita hata " Jesus Bar" Brela wakamtalia ( mkatoliki)

Rapper Suma Mnazareti ( ambae ni Mkristo) aliwahi kurap " mistari yangu ni tight zaidi ya bikira ya mariamu"

Muislamu hawezi kuongea hivyo kwa sababu at least yupo royal kwa imani yake hata kama yeye mwenyewe ana matendo ya dhambi.

Diamond kaimba wimbo wake wa kidunia anauita " Alleluya" na wakristu wamekaa kimya. Angethubutu kuimba wimbo wa design hiyo halafu aweke maneno yanayo tumiwa na waislamu unge Iona solidarity ya waislamu.

Jay z kwenye wimbo wake " EMPIRE STATE OF MIND" anasema " Jesus can't save you church start where ur life end" then katika wimbo huo huo anasema " If Jesus pay LeBron I pay D'wayne Wade"

But Christians they think it is okay wana ucheza na kuucheza. Mwaka 2009 Jokate Mwegelo ambae ni mkatoliki she personally told me that Empire State of Mind was her favourite song" can u imagine. Wimbo unao likashifu kanisa na Yesu unaanzaje kuwa ur favourite song? Jibu ni moja lack of loyalty.

Zamani wakatoliki walikuwaga wanaenda kuungama dhambi kwa mapadre sasa hivi labda watoto ndio wanaweza kufanya hivyo.


Ni wakatoliki wachache sana wanao amini kuhusu kuwepo kwa moto wa jehanamu lakini waislamu bado wana amini hadi kuhusu adhabu ya kaburi achilia mbali moto wa jehanamu..

Katika nchi yenye watu wenye mdogo wa kufikiria kama Tanzanja ni vyema dini ikatengwa na siasa.

TEC ninyi hamna hicho " kibali" kwenye mioyo ya waumini wenu kiasi cha kuwaambia wafanye jambo fulani na wakafanya

Msisahau kuwa kanisa lenu ndio linaongoza kwa kuhamwa na waumini wake ambao wengi wao wanaenda kwenye ulokole.

Mafundisho ya wasabato dhidi ya kanisa lenu yameleta impact kubwa sana kwenye kanisa lenu kwa sababu waumini wenu wengi wakifundishwa na wasabato huwa wanaishia kuamini na eidha kujiunga sabato, ulokole,uislamu au kuacha kwenda kabisani.


Ndo maana u can't find " church goers" among the Catholics.

Church going persons wengi wao ni Walokole ama wasabato na wapentekoste but no wakatoliki.

This means wakatoliki hawapo royal n.a. Mafundisho ya kanisa lao

TEC take this note
Mtafute sana elimu atakuweka huru.Kuzama katika dini sana hutegemea na elimu uliyo nayo.
 
Katika hizi dini 2 zilizo letwa na majahazi walau waislamu wana waumini watiifu kwa viongozi wao hasa hasa pale inapo tukanwa dini yao(kitabu chao au mtume wao)


Msingi mkuu wa dini ya ki islamu ni udugu wa kiarabu ( Arabic brotherhood) ambao baadae.ulibadilishwa na ukuwa udugu wa kiislamu( Islamic brotherhood)

Udugu wa kiarabu ulikuwa ni kuungana dhidi ya wayahudi.


Waislamu wana umoja na mshikamano mno.

Nna declare interest mimi nimezaliwa katika familia na ukoo wa ki islamu.

Ingawa Sasa hivi nimerudi kwenye uafrika wangu ambao ndio uhalisia wangu lakini niwaambie tu ndugu zangu heshimu sana watu wenye umoja n.a. mshikamano.


Waislamu huwaga wana umoja n.a. mshikamano wa hali ya juu sana.

Angalia hata kwenye misiba mtu ambapo fariki jinsi wanavyo kusanyana na kuhimizana.


Hata kama sio muislamu mwenzao as long as ni jirani, work mate, school mate etc huwa wanakuwaga na umoja sana.


Ukatoliki na ukristo kwa ujumla umejengwa katika utamaduni wa kizungu ( ubepari na ubinafsi)

Wakristu hawanaga umoja wa kihivyo. Kwa mfano wakatoliki kama huwa huendi kwenye jumuiya ndogo ndogo basi huzikwi na kanisa (waislamu hata kama wewe mkristo umefiwa na nduguyo mkristo ukiomba wamzike wanamzika kiislamu)


Ile amri ya Yesu ya upendo naiona zaidi miongoni mwa waislamu kuliko kwa wakristu wenyewe.

Wakristu wanaishi kufuata mfumo wa kizungu every one mind his own business.

kikichafuka hapa mtakimbiana. Maaskofu wa TEC watashangaa kuona kwamba kumbe hawana ushawishi wowote kwa waumini wao. Waumini wanaweza kuwa asi TEC na kujiunga na waislamu kwa ajili ya kui - ishi the spirit of solidarity.


TEC jueni kwamba ninyi hamna wafuasi watiifu sio kwenu tu bali pia hata kwa imani yao.

Asilimia kubwa ya atheists duniani walikuwaga wakristu.

Wakristu wanafanya utani hadi na Yesu. Comedian Mkristo anaweza kufanya utani kuhusu Yesu. Mfano " kama Yesu mwenyewe amerudi kukaa kwa baba ake Mimi ni nani hata nitoke kwa nyumba ya baba yangu" au comedian anaweza kumrefer Jesus as " J"

Kuna rafiki yangu Mkristo mwaka 2006 ali anzisha bar yake aka iita hata " Jesus Bar" Brela wakamtalia ( mkatoliki)

Rapper Suma Mnazareti ( ambae ni Mkristo) aliwahi kurap " mistari yangu ni tight zaidi ya bikira ya mariamu"

Muislamu hawezi kuongea hivyo kwa sababu at least yupo royal kwa imani yake hata kama yeye mwenyewe ana matendo ya dhambi.

Diamond kaimba wimbo wake wa kidunia anauita " Alleluya" na wakristu wamekaa kimya. Angethubutu kuimba wimbo wa design hiyo halafu aweke maneno yanayo tumiwa na waislamu unge Iona solidarity ya waislamu.

Jay z kwenye wimbo wake " EMPIRE STATE OF MIND" anasema " Jesus can't save you church start where ur life end" then katika wimbo huo huo anasema " If Jesus pay LeBron I pay D'wayne Wade"

But Christians they think it is okay wana ucheza na kuucheza. Mwaka 2009 Jokate Mwegelo ambae ni mkatoliki she personally told me that Empire State of Mind was her favourite song" can u imagine. Wimbo unao likashifu kanisa na Yesu unaanzaje kuwa ur favourite song? Jibu ni moja lack of loyalty.

Zamani wakatoliki walikuwaga wanaenda kuungama dhambi kwa mapadre sasa hivi labda watoto ndio wanaweza kufanya hivyo.


Ni wakatoliki wachache sana wanao amini kuhusu kuwepo kwa moto wa jehanamu lakini waislamu bado wana amini hadi kuhusu adhabu ya kaburi achilia mbali moto wa jehanamu..

Katika nchi yenye watu wenye mdogo wa kufikiria kama Tanzanja ni vyema dini ikatengwa na siasa.

TEC ninyi hamna hicho " kibali" kwenye mioyo ya waumini wenu kiasi cha kuwaambia wafanye jambo fulani na wakafanya

Msisahau kuwa kanisa lenu ndio linaongoza kwa kuhamwa na waumini wake ambao wengi wao wanaenda kwenye ulokole.

Mafundisho ya wasabato dhidi ya kanisa lenu yameleta impact kubwa sana kwenye kanisa lenu kwa sababu waumini wenu wengi wakifundishwa na wasabato huwa wanaishia kuamini na eidha kujiunga sabato, ulokole,uislamu au kuacha kwenda kabisani.


Ndo maana u can't find " church goers" among the Catholics.

Church going persons wengi wao ni Walokole ama wasabato na wapentekoste but no wakatoliki.

This means wakatoliki hawapo royal n.a. Mafundisho ya kanisa lao

TEC take this note
Mimi nyuzi km hiz sihitaji kusoma nasema moja kwa moja wewe mwandish unahitaji tiba za aina zote;milembe,maombi, psychological,viboko etc
 
Mkuu hapa tunazungumza kuhusu solidarity miongoni mwa wakristu vs miongoni mwa waislamu . Plus loyalty to their religion and leaders
Sasa usifosi wafanane kila dini na kile anachoamini, kila Iman na ustaarabu wao.
 
Unaposema loyal disciples unamaanisha nini?
hilo ndio kanisa kubwa kabisa nchi hii. Unaposomwa huo waraka makanisani mwao ndipo unawa expose wafuasi wake ambao ni wananchi juu ya hali iliyopo. Kitu ambacho nape na serikali inaogopa ndio maana inahangaika kubana media.

umoja na ukubwa wao unaosema hawana, ndio umewasaidia kumilika miradi mikubwa nchi hii kama mashule, hospitali,n.k.
Miradi inamilikiwa na Vatcan mkuu. Hakuna huduma ya bure kwenye miradi ya kanisa katoliki iwe shule iwe hospitali
 
Sasa usifosi wafanane kila dini na kile anachoamini, kila Iman na ustaarabu wao.

Nazungumza na watu wa TEC to let them know that they are only talking to themselves. No one( catholic)is listening to them.
 
Ivi nyie wazee wa balashia dini yenu inaruhusu mwanamke kuingiza au ndo civilization za magharibi ndizo zimewamodify.

Ivi nchi za kiarabu ulishawahi kusikia kiongoz yoyote mwanamke au me sio mfatiiaji ebu njooni na evidence.

Shida Africa tunakaririshwa tu pasipo kuelewa umezaliwa umemkuta baba na mama din fulan na ww umo afu Leo mnajifanya wafia dini
Umenifanya nifikiri. sana tu. Mtu alie kimya , hasikiki, haonekani huyu! ndio anaeongoza nchi. Huyu ndio anayeshawishi na kushauri maamizi usiku, asubuhi yanatolewa maelekezo.
 
labda kama haujaelewa, lengo la Kanisa siyo kura au sijui hao unaowaita wafuasi loyal, lengo ni kusimama kwenye ukweli kutetea wanaoonewa na hili wamelifanya wametimiza wajibu wao bila ya uoga wowote, kwanza unazidi kuwatukana, kuwabeza na kuwadharau Waislamu kwa kuwaita “wafuasi loyal” maana yake ni kwamba ni makondoo who can not think for themselves hivyo sidhani kama Kanisa hata linataka waumini wake wawe hivyo, lengo ni kuelimisha watu halafu wenyewe watafanya maamuzi yao …
Ishu sio waraka ishu ni " aura" wanayo I demonstrate wakiwa wanatoa waraka. They are fronting like they are the most popular and powerful institution in the country na hapo ndipo aura ya udini inapo onekana


Kwa mfano kulikuwa na umuhimu gani wa kusema " tuna jumuiya/waumini kila mtaa kila kijiji nchi nzima" . Hoja hii ina uhusiano gani na bandari?
 
Back
Top Bottom