Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

Waraka bado umo humu kama ni fake news si wangeuondoa. We endelea na chama chenu cha Islamic brotherhood of Tanzania. Sio kuingilia uhuru wa kujieleza wa watu wengine
Nmemuita mtu anayejitambua asikilize querry yangu wewe wala sija-bother kukujibu wewe maana hujawahi kuwa na hoja.

Huo waraka hujawahi kuwa wa chacha wangwe kma unaweza thibitisha leta hapa source ya huo waraka kma sio mitandaoni tu ila hakuna mainstream media imewahi kuuripoti.

Sasa CAG hajawahi toa querry kuwa pesa zimeibwa ila wewe ambaye hta diploma tu ya auditing hauna eti umegundua kuna wizi?

Huyo waziri naye hajitambui tu kma ww, ssa anasema 50M analipwa mbowe kila mwezi kwa deni hewa yaani hakuna nyaraka Wala commitment ila eti CAG hajaona?? Sasa kwanini Waziri asije na hiyo financial statement ya CHADEMA kuonyesha hiyo 50M ikiwa settlement kwa mbowe ili hoja iwe na mashiko?

Nchi hii imezoea umbea kila kitu maneno tu bila ushahidi wakati ni serikali unaweza access kila karatasi unayotaka!!

Mnakera sana
 
Huu waraka upo kitambo kabla ya 2010 &2015, haukuzuia chadema kushinda uchaguzi ingawa hatakungazwa, sasa eti Leo ndo utazuia Lissu kuwa raisi, hawa aataga hawana akili kabisa
 
Nafikiri usichokijua ni kuwa vyama vya siasa ni vyama vya hiyari, kama hukubaliani na maamzi yake hulazimishwi kubaki ndani unaondoka kama ulivyoingia.
Hapana! Unafikiri vibaya. Chama kikisha sajiliwa, kweli ni hiari lakini ni mali ya wote. Kosa ni wale wanaoamini ni mali yao.
 
Reasoning yako ndogo sana, Waitara kasema kwenye financial statement imeandikwa 50M kila mwezi bila nyaraka narudia.... Bila nyaraka.

Alafi CAG anakuja anasema hati safi.... Sasa najiuliza bila nyaraka alitoaje hati safi? Mbona mnajicontradict

Alipaswa kusema wamefoji nyaraka sio nyaraka hamna kabisa, alafu CAG aache tu!! Hyo ni allegation isiyo na mashiko.

Anyway kivipi waziri ashindwe kuthibitisha? Ina maana serikali imeshindwa kupata ushahidi hadi Mbowe awadanganye? Tuweni serious.
 
Wewe na hao failures wenzako mlionazwa na polepole hapo dodoma na lumumba hakika hamkisaidii chama Wala serikali kwa hoja kwamba cag anayeteuliwa na rais wenu anadanganyika kirahisi na ni sawa na kusema taarifa zake za ukaguzi ni za kudanganya! Hii maana yake nini, ni kuwa serikali yote ya ccm haijawahi kusema ukweli Bali hudanganya wananchi!
Jitafakarini Sana na haya mnayoyaibua kwa Sasa kwani ndugu, marafiki na jamaa wa marehemu bado hawajaweza kuziba pengo la mpendwa wao na mtajikuta mnaamsha hasira za mnaodhani ni wanyonge wakaanza kuwadai ndugu na jamaa zao mliohisika kuwaua Kisha mnakuja kuandika nyaraka ambazo hazijawahi kuandikwa na marehemu!
Simba aliyelala hanyofolewi sharubu! Kamwambie hili mwajiri wako kuwa kaweza kuzitawala njaa na umaskini wa wananchi lakini nashindwa kuzitawala hasira na akili zao! Na Kati hatokaa aweze kuzitawala mioyo ya wapenda amani na demokrasia!
 
Acha upuuzi mwambie huyo aliyetoa huo waraka. Sisi tunapinga ruzuku na michango ya wabunge kuliwa kihuni
Alafu jiheshimu una uhakika Poleplole anatulipa? Hii ni haki yetu ya kikatiba kutoa maoni. Jiheshimu.
Sisi ccm siyo? Ya cdm yanatuhusuje kwa mfano! Ubongo wenu una tofauti na mavi ya popo? Ni kuajiriwa Kama mkata mkonge na miwa kuliko kuitumikia ccm ambayo haijawahi kutambua uwepo wake! Ruzuku na michango ni ya cdm, ninyi ccm inawahusuje Hadi kuivulia chupi? Acheni kushikiwa akili badala yake jifunzeni kucheza midundo ya ngoma inaypigwa kwenu na sio ya kwa jirani! Hamna hoja zaidi ya kulishana upumbavu na kuufungia kibwebwe! Mtaolewa bila mahari mwaka huu!
 
Kila nikimsoma Chacha Wangwe naona aliona mbali sana ambako hata sasa wafuasi wengi wa Chadema hawaoni. Rest in peace champ [emoji120]
 
Huuu Waraka ausome Mtesi wake Bw. MALLYA naaamini Duniani sote tunapita na kwakuwa wote pua zetu zinaelekea chini ipo siku yake kadri ya mapenzi ya Muumba wetu.
 
Huuu Waraka ausome Mtesi wake Bw. MALLYA naaamini Duniani sote tunapita na kwakuwa wote pua zetu zinaelekea chini ipo siku yake kadri ya mapenzi ya Muumba wetu.

Kabisa mkuu, bila KUMSAHAU the mastermind MBOWE

Cha ajabu huyu Deus Mallya alipewa tenda pale chadema ya kuchapisha tshirts, vipeperushi na bendera za chama na akaenda kugombea ubunge Moshi vijijini kwa tiketi ya Chadema japo hakupita..!!!

Hii ilikuwa moja ya dosari kubwa sana kwa Cdm na uongozi wa Mbowe
 
Yupo kapewa Cheo ndani ya Chama na kupelekwa mafunzo nje ya Nchi, huenda sasa kawa mafia zaidi na anawaelekeza kibra kimia kimia tu mpaka waseme mmma!
 
Kila nikimsoma Chacha Wangwe naona aliona mbali sana ambako hata sasa wafuasi wengi wa Chadema hawaoni. Rest in peace champ [emoji120]
Nimejitahidi kusoma maelezo yake kwa kadri nilivyoweza lakini sikuona sehemu aliosema katka jitihada zake zote za kukiinua chama na kasoro alizo zitaja hajasema ktk kamati hiyo ni nani aliemuunga mkono ktkt hoja zake ninavyoelewa mm agenda yoyote ktk kikao ili ipite lazima ipate majority sasa kama hoja zake hazikuungwa mkono na wajumbe huwezi kulazimisha angelipata wajumbe wa kumuunga mkono kisha mbowe akakataa hilo lingekuwa tatizo hata kama wajumbe walikuwa wanamuogopa mbowe si sababu ya kulazimisha mipango yako ipite
Hapo nilichogundua ni uzoefu wa kuhudhuria vikao
Hoja za aina hiyo huwa hazina nguvu kutokana na wajumbe kutounga mkono kwa maneno mengine wengi wape ushirikiane nao baadae ushawishi wajumbe ili ktk kikao kingine uungwe mkono
 
Yaani yaliyosemwa na Marehemu Chacha Wangwe kuhusu ukabila ndani ya Chadema, leo hii Mwenykt wetu Mbowe kaja kuanika wazi agenda ya kutetea kabila lake ktk ajira Serikalini
 
Mwenyekiti anakidai chama kwa maneno tu bila uthibitisho chama kinamlipa.

Chama kimepewa milioni 78 na conservative party Kwa ajili ya kununua baiskeli wanazipiga zote na kufoji risiti.

Viti maalum vinapewa Kwa ndugu ,wachumba na washkaji.

Ajira ndani ya chama zinatolewa Kwa ukabila, Ripoti ya Mziray ilithibitisha hilo.

Chadema mnapaswa kujisafisha.
 
Hatari sana...ila jamaa anapiga ndani na nje....conservative party hawana hamu naye
Yaani yaliyosemwa na Marehemu Chacha Wangwe kuhusu ukabila ndani ya Chadema, leo hii Mwenykt wetu Mbowe kaja kuanika wazi agenda ya kutetea kabila lake ktk ajira Serikalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…