Uchaguzi 2020 Waraka wa mgombea ubunge jimbo la Songwe kwa Askofu Mwamakula!

Uchaguzi 2020 Waraka wa mgombea ubunge jimbo la Songwe kwa Askofu Mwamakula!

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
WARAKA WA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SONGWE KWA ASKOFU MWAMAKULA!

Bwana Yesu Asifiwe mtumishi wa Mungu. Ninaitwa OBADIAH SIMON MWAIPALU. Ni Mgombea UBUNGE Jimbo la SONGWE Mkoa wa SONGWE kupitia CHADEMA. Nilienguliwa na Msimamizi wa Uchanguzi Jimbo la SONGWE kwa kuchezea fomu yangu na kugushi namba za vitambulisho vya mpiga kura ambao ndio wadhamini kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

Msimamizi wa Uchanguzi, Bi FAUZI HAMIDU NGATUMBURA kwa makusudi amefanya hujuma hii bila kujali madhara yanayoweza kutokea kutokana na hili. Alichokifanya ni kubadili baadhi ya namba kihuni ili kunipotezea sifa ya kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Songwe. Kanuni zinataka Mgombea UBUNGE awe amedhaminiwa na wapiga kura halali wasiopungua 25 na fomu yangu ilikuwa na wadhamini 30+

Alichofanya yeye na Wasaidizi wake ni kubadili baadhi ya namba yaani 1 kuifanya kuwa 4 na 5 kuwa 8 na 7 kuwa 9 na kupelekea kupunguza idadi ya wadhamini hadi kufikia 23 na kuniengua kihuni. Na mbaya zaidi, Mgombea wa CCM ndugu PHILIPO MULUGO anasema wazi katika vijiwe nongwa kwamba alishamalizana na Msimamizi wa Uchanguzi na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na kwa kuwapa chochote kitu hivyo basi hata ningefanyaje Tume haiwezi rudisha jina langu.

Haya ndio yaliyotokea Jimbo la SONGWE na wananchi wanalia na wanapiga simu kila wakati na hata ninapokutana nao huangua kilio sana wanaongea maneno ya kuralua moyo na kupoteza tumaini na watawala kwa hiki walicho kifanya!

Na pia wameengua madiwani wangu 10 kati ya 18 ambao ndio idadi ya madiwani Jimbo zima kwa Sababu za hovyo kabisa.

Ni hayo baba askofu

Kutoka kwa Obadiah Simon Mwaipalu, tarehe 17 Septemba 2020
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
 
BAK message haijakamilika; mgombea aliyeenguliwa hajasema askofu amsaidie Nini? Mwambie aombe askofu amsaidie nini ili Jambo hili lishughulikiwe siyo kutoa tu taarifa kama hivi. Tunatambua nafasi ya askofu huyu katika haki na amani ktk nchi hii. Ni hayo tu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huyo msimamizi wa uchaguzi kwani anaishi mbinguni! Mkiwa mnapambana na wahuni kama huyo ndani ya maeneo yenu muelewe kuwa hiyo CCM haikumtoa mkoloni kwa kura!
Wekeni heshima bwana, mambo ya kulialia yalishapitwa na wakati! Kweli mnashindwa kutoa funzo ili wahuni kama huyo wakome? Na niwaambieni ukweli kuwa wao walimtwanga mtu risasi na kupoteza wengine waliokuwa kinyume nao.
 
CCM safari hii imekuwa na viongozi wa ajabu sana, rushwa inaonekana wazi japo wanadanganya umma wanapambana na rushwa, huu uonevu wa kijinga lazima ufike wakati sasa ukomeshwe, hao wanaofanya haya wanatakiwa wajute kwa uhuni wao.

Nashangaa wamejaa wajinga huku wanapiga kelele kusifia ununuzi wa ndege ila haya ya uonevu kwa wapinzani wako kimya kama hawana midomo, hovyo kabisa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
WARAKA WA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SONGWE KWA ASKOFU MWAMAKULA!

Bwana Yesu Asifiwe mtumishi wa Mungu. Ninaitwa OBADIAH SIMON MWAIPALU. Ni Mgombea UBUNGE Jimbo la SONGWE Mkoa wa SONGWE kupitia CHADEMA. Nilienguliwa na Msimamizi wa Uchanguzi Jimbo la SONGWE kwa kuchezea fomu yangu na kugushi namba za vitambulisho vya mpiga kura ambao ndio wadhamini kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

Msimamizi wa Uchanguzi, Bi FAUZI HAMIDU NGATUMBURA kwa makusudi amefanya hujuma hii bila kujali madhara yanayoweza kutokea kutokana na hili. Alichokifanya ni kubadili baadhi ya namba kihuni ili kunipotezea sifa ya kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Songwe. Kanuni zinataka Mgombea UBUNGE awe amedhaminiwa na wapiga kura halali wasiopungua 25 na fomu yangu ilikuwa na wadhamini 30+

Alichofanya yeye na Wasaidizi wake ni kubadili baadhi ya namba yaani 1 kuifanya kuwa 4 na 5 kuwa 8 na 7 kuwa 9 na kupelekea kupunguza idadi ya wadhamini hadi kufikia 23 na kuniengua kihuni. Na mbaya zaidi, Mgombea wa CCM ndugu PHILIPO MULUGO anasema wazi katika vijiwe nongwa kwamba alishamalizana na Msimamizi wa Uchanguzi na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na kwa kuwapa chochote kitu hivyo basi hata ningefanyaje Tume haiwezi rudisha jina langu.

Haya ndio yaliyotokea Jimbo la SONGWE na wananchi wanalia na wanapiga simu kila wakati na hata ninapokutana nao huangua kilio sana wanaongea maneno ya kuralua moyo na kupoteza tumaini na watawala kwa hiki walicho kifanya!

Na pia wameengua madiwani wangu 10 kati ya 18 ambao ndio idadi ya madiwani Jimbo zima kwa Sababu za hovyo kabisa.

Ni hayo baba askofu

Kutoka kwa Obadiah Simon Mwaipalu, tarehe 17 Septemba 2020
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Ujumbe wake umemfikia sasa asubili mwisho wa dunia na siku ya hukumu mbiguni,
Kama ameina huyo askofu ndie mtatuzi wake basi, kwa kuwa mwamakula ni posts kati yake na mungu basi asubili hiyo hukumu huko.
 
Huyo msimamizi wa uchaguzi kwani anaishi mbinguni! Mkiwa mnapambana na wahuni kama huyo ndani ya maeneo yenu muelewe kuwa hiyo CCM haikumtoa mkoloni kwa kura!
Wekeni heshima bwana, mambo ya kulialia yalishapitwa na wakati! Kweli mnashindwa kutoa funzo ili wahuni kama huyo wakome? Na niwaambieni ukweli kuwa wao walimtwanga mtu risasi na kupoteza wengine waliokuwa kinyume nao.
Kwanini wewe usiende kuweka hiyo heshima?
 
Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)

CCM imetufikisha hapa
 
WARAKA WA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SONGWE KWA ASKOFU MWAMAKULA!

Bwana Yesu Asifiwe mtumishi wa Mungu. Ninaitwa OBADIAH SIMON MWAIPALU. Ni Mgombea UBUNGE Jimbo la SONGWE Mkoa wa SONGWE kupitia CHADEMA. Nilienguliwa na Msimamizi wa Uchanguzi Jimbo la SONGWE kwa kuchezea fomu yangu na kugushi namba za vitambulisho vya mpiga kura ambao ndio wadhamini kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.

Msimamizi wa Uchanguzi, Bi FAUZI HAMIDU NGATUMBURA kwa makusudi amefanya hujuma hii bila kujali madhara yanayoweza kutokea kutokana na hili. Alichokifanya ni kubadili baadhi ya namba kihuni ili kunipotezea sifa ya kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Songwe. Kanuni zinataka Mgombea UBUNGE awe amedhaminiwa na wapiga kura halali wasiopungua 25 na fomu yangu ilikuwa na wadhamini 30+

Alichofanya yeye na Wasaidizi wake ni kubadili baadhi ya namba yaani 1 kuifanya kuwa 4 na 5 kuwa 8 na 7 kuwa 9 na kupelekea kupunguza idadi ya wadhamini hadi kufikia 23 na kuniengua kihuni. Na mbaya zaidi, Mgombea wa CCM ndugu PHILIPO MULUGO anasema wazi katika vijiwe nongwa kwamba alishamalizana na Msimamizi wa Uchanguzi na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi na kwa kuwapa chochote kitu hivyo basi hata ningefanyaje Tume haiwezi rudisha jina langu.

Haya ndio yaliyotokea Jimbo la SONGWE na wananchi wanalia na wanapiga simu kila wakati na hata ninapokutana nao huangua kilio sana wanaongea maneno ya kuralua moyo na kupoteza tumaini na watawala kwa hiki walicho kifanya!

Na pia wameengua madiwani wangu 10 kati ya 18 ambao ndio idadi ya madiwani Jimbo zima kwa Sababu za hovyo kabisa.

Ni hayo baba askofu

Kutoka kwa Obadiah Simon Mwaipalu, tarehe 17 Septemba 2020
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Wanaohujumu haki za watu mungu awaadhibu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nakubaliana nawe lakini kama tujuavyo Tumeccm si TUME HURU hata Mkapa alionyesha hadharani kutokuwa na imani nayo, ni tume ambayo inafuata maelekezo ya huyo anayejiita MWENDAWAZIMU na kuthibitisha hilo tumeona uhuni uliofanywa na tume hiyo kuwaengua Wagombea wa Chadema na Act Wazalendo katika nafasi za Ubunge na Udiwani. Hivyo kusababisha maccm kupata Wabunge 20 eti waliopita bila "kupingwa" na madiwani chungu nzima. Cha kushangaza ni kwamba wakati Nchi ikiwa kwenye mfumo wa chama kimoja hakukuwahi kuwa na mgombea yeyote yule wa Ubunge aliyepita bila kupingwa. Nadhani Askofu Mwamakula ameshare tu hiyo info huku akijua fika hakuna chochote kitakachoweza kufanyika kumsaidia ili arudishwe kama mgombea.

BAK message haijakamilika; mgombea aliyeenguliwa hajasema askofu amsaidie Nini? Mwambie aombe askofu amsaidie nini ili Jambo hili lishughulikiwe siyo kutoa tu taarifa kama hivi. Tunatambua nafasi ya askofu huyu katika haki na amani ktk nchi hii. Ni hayo tu.
 
Nakubaliana nawe lakini kama tujuavyo Tumeccm si TUME HURU hata Mkapa alionyesha hadharani kutokuwa na imani nayo, ni tume ambayo inafuata maelekezo ya huyo anayejiita MWENDAWAZIMU na kuthibitisha hilo tumeona uhuni uliofanywa na tume hiyo kuwaengua Wagombea wa Chadema na Act Wazalendo katika nafasi za Ubunge na Udiwani. Hivyo kusababisha maccm kupata Wabunge 20 eti waliopita bila "kupingwa" na madiwani chungu nzima. Cha kushangaza ni kwamba wakati Nchi ikiwa kwenye mfumo wa chama kimoja hakukuwahi kuwa na mgombea yeyote yule wa Ubunge aliyepita bila kupingwa. Nadhani Askofu Mwamakula ameshare tu hiyo info huku akijua fika hakuna chochote kitakachoweza kufanyika kumsaidia ili arudishwe kama mgombea.
Wewe Ngurumo tulishakuzoea.
 
ASANTE KWA WARAKA!!HIVI WAKRISTO HAMNA IBADA YA KUOMBEA WATU KUFA??MAANA WAISLAMU WANA ALBADIR NYIE VP?KAMA IPO ANZENI NA NAMBA MOJA!!!!
 
Back
Top Bottom