Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Kibanda anaponzwa na unafiki wake.
We watu wameng'oa jicho wala hajaenda kufungua shauri Polisi na kupewa RB, Kakaa kimyaa anasubiri eti akina Kova ndo waanze kuwasaka watesi wake na kuja na Movie kama ya Dr Uli.
Kibanda sijui anaponzwa na Njaa ama nini sijui ???
We watu wameng'oa jicho wala hajaenda kufungua shauri Polisi na kupewa RB, Kakaa kimyaa anasubiri eti akina Kova ndo waanze kuwasaka watesi wake na kuja na Movie kama ya Dr Uli.
Kibanda sijui anaponzwa na Njaa ama nini sijui ???