Mimi siungi mkono kabisa waraka huu,ni wa kinafiki mwenyekiti wa jukwaa la wahariri na katibu wake wao wenyewe ni vibaraka wa mmoja wa wagombea urais,alafu wanalaumu wenzao kumsapoti mpinzani wao, hawa wahariri wa bongo wote wanabei ,tunamshukuru mungu bola social media wangelinga sana , Nb kibanda amekwenda New habari kwaajili ya project ya urais wa aliyejiudhuru Leo anapambana na waliokwa ....wa mambo ya nje ameitoa wapi hiyo moral authority??? .lilipofungiwa MWANAHALISI wao wenyewe wakawa wanamsema KUBENEA eti umezidi kuisema serikali ,mara kaombe msamaha kumbe hamna l olote sababu ni MWANAHALISI Kumshambulia boss wao na maskendo ya RICHMOND Leo MTANZANIA imefungiwa ndo mnapiga kelele tuliwambia ,Baba yenu mchawi anakula wa t U hamkusikia Leo amekosa wa Kula ameanza Kula wanae ndo kelele nyingi!!!;
Yaani haueleweki, umeandikwa kwa hasira ya watu fulani ili wafukuzwe kazi.
Uandishi mbovu, kujaza paragraph tu!
Hv nani atasoma waraka mrefu kama bajeti ya wizara fulani hadi unasahau yalioandikwa mwanzo?
Msomi anaandika mawazo makuu kwa paragraph chache na anaeleweka!
NO POINT AT ALL ACHA HABARI ZA UCHOCHEZI!
Nafikiri haya yanaweza kua majibu ya Mh.Rais anayoweza kutoa!
Uko sahihi uandishi wake uko chini mno ya kiwango! halafu huyo unaambiwa si tu ni mhariri bali yeye ni mwenyekiti wa jukwaa la wahariri! Inatisha! Sasa ikiwa mwenyekiti wa wahariri yuko hivyo hao waandishi wa habari si ndio itakuwa majanga kabisa!
Waraka kwa Rais?, mbona ameutuma kwenye JF?.
Kibanda anaponzwa na unafiki wake.
We watu wameng'oa jicho wala hajaenda kufungua shauri Polisi na kupewa RB, Kakaa kimyaa anasubiri eti akina Kova ndo waanze kuwasaka watesi wake na kuja na Movie kama ya Dr Uli.
Kibanda sijui anaponzwa na Njaa ama nini sijui ???
Huyu analalamikia gazeti kufungiwa au kuteswa kwake? Sijamsoma kabisa.
Rip lengijave tutaonana Mungu akipenda,.bye,., tuachie jm yetu,.Kwanza kabisa napenda kuamua kwa hiyari kujitoa jamii forums,naona vitu vingi vinaandikwa humu si vi elewi,nimejaribu kwa mwaka mzima sijapata mwelekeo,pili kuna kamati ilianzishwa ambayo ilikuwa chini ya waandishi wa habari kwa ajili ya kifo cha Mwangosi mimi sikuweza kuelewa ilikuwa na jambo gani,inawezekana labda ni mimi ni mwenye mapungufu ila nimeona ni ngumu kuwa amini waandishi wa habari-Kwaheri ya kuonana