Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wana jf wenzangu.
Binafsi, sipendi kujizungumzia maisha yangu binafsi, lakini leo, imebidi kwa vile kuna thread ambayo mimi nilihusishwa kwa tuhuma za ushoga.
Nilijipanga kuijibu, nikakuta imefutwa. Namuomba mode, airudishe. Kama humu jf tunayasema yoyote kuhusu yoyote akiwemo mkuu wa nchi, basi ni busara uhuru huo ukaachwa hivyo hivyo ulivyo hata kama ni tuhuma zinazomhusu member wa humu ndani kuepusha jf kuonekana ina play double standards, kutuhumiwa watuhumiwe wengine bila hata ya ushahidi, lakini akituhumiwa jf member, thread inafutwa.
Naomba irudishwe ili nipate fursa ya kuzijibu baadhi ya tuhuma.
Mimi ni memba humu JF, na binafsi sipendi kwenda deep kwenye personal issues za watu, lakini kwa vile hii issue ni 'trivial' na iliwahi kuvumishwa huko nyuma, sikuona haja ya kuijibu kwa kuamini, kwenye ukweli, uongo hujitenga, niliamini imekufa kama ilivyoibuliwa, lakini uongo ukisemwa sana, na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwishowe hugeuka ndio ukweli machoni na masikioni mwa watu.
Baada ya issue hii, kuibuka tena kwenye hii, thread, niliamua kuifuatilia na hatimaye ningeijibu, hata kama usingeniomba.
Kwa wakati huu ninapojiandaa kujibu,
Naombeni kwa yoyote mwenye facts zozote kuhusu mimi na mahusiano ya kihivyo aziweke humu, ili wakati wa kujibu nijibu jumla.
1. Kwa kuanzia, naomba niweke CV yangu fupi, ili yoyote mwenye hoja yoyote dhidi yangu, ailete hapa jamvini.
Mimi ni mwandishi wa habari na Mtangazaji,
2. Nimefanya kazi
3. Mimi naishi Mbezi hapa jijini Dar es Salaam, lakini pia kwa vipindi tofauti, nimewahi kuishi katika miji ya London, Washington DC, New York, Stockholm, Rome, Geneve, New Dheli, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Kigali, Lilongwe, Pretoria, J'burg etc. Kote huko, nimekuwa nikiishi na jamii za Watanzania huku ni interact kwenye sherehe, mitoko na maisha ya kawaida, hivyo lazima kuna watu wanaijua mienendo yangu, na ukweli huwa sifanyi mambo yoyote kwa kificho, kama nina tabia hizo, nawaomba waseme wazi tuu.
4. Life style yangu mimi ni lifest hivyo mambo yangu mengi ni mambo ya hadharani. Miaka 15 ya maisha yangu, nimekuwa nikiendesha bike's, big na racing bikes, kama kuna mtu ana kumbukumbu ya kuniona nimepakizana na mtu wa jinsia yangu au hata tuu kuandamana naye popote, naomba aseme wazi.
5. Nimeitumia sehemu kubwa ya ujana wangu kuishi maisha ya kawaida, kujirusha kwa kiasi, kunywa na makundi ya watu, na kujichanganya sana tuu, hivyo kwenye michanganyiko yote hiyo, kama ni mtu wa kihivyo, lazima wapo walioshuhudia, please just come forward and say it!.
6. It takes two to tangle!, kwa vile mimi ni mlengwa, basi lazima nitakuwa nimeshawahi kuwa na patner mwingine yoyote zaidi ya huyo anayetajwa, hivyo kama kuna yoyote aliyewahi kusikia mtu mwingine yoyote ana mahusiona ya kihivyo na mimi, naomba aje forward.
Baada ya kuuliza maswali yote hayo, nitakusanya majibu, ndipo nije na jibu, why me, kwanini niuhusishwe na Mataka
7.Mataka namfahamu tangu akiwa PPF, na mimi nikiwa mwanahabari. Mwaka 1999, nilidhaminiwa na PPF, NPF na Masai Studio, kufanya ziara ya kihabari nchini Marekani, hivyo nilikwenda ofisini kwake kwenye masuala ya udhamini, kwa hisia zangu, kwa vile ombi langu lilikuwa la dharura, nilipata udhamini husika na kulipwa in US $, sasa hizo pilika za malipo wakati huo, tena kwa fedha za kigeni, shughuli yake ilikuwa kubwa. Naamini ni kufutia kupatikana kwa udhamini huo, kukapelekea mabingwa wa kudhania, kujiaminisha udhamini ule, kwa uharaka ule, sio bure, lazima kuna kitu, ndipo uvumi huo ukaenezwa.
8. Nilisafiri safari husika, na katika safari hiyo, Mataka hakuwepo, sijawahi kukutana popote na Mataka tangu baada ya kuupata udhamini ule. Sijawahi kukaa nae hoteli moja popote, au kukutana naye privately popote.
9. Niliporejea nchini, mwaka 2000 ndipo Uvumi huo ukaibuka, nikiwa TBC. uliwafikia rafiki zangu wa karibu walifadhaishwa sana, hata mimi pia nilifadhaishwa na uvumi huo. Nilishauriwa ili kuufuta, nionyeshe uanamume wangu kwa kujifanya kijogoo, sikuona sababu nikiamini kwenye ukweli uwongo hijitenga, kwa vile ni uwongo, sikuujali nikiuacha ujitenge.
10. Mimi Pascal Mayalla, nathibisha kwenu, sio shoga, sina vitendo vyovyote vya ushoga. Ni baba wa watoto 6, watutu kati yao wako sekondari na wawili ni member humu JF. Naamini wale watu wangu wa karibu, wananielewa, wale wengine wasio nielewa naombeni mnielewe.
Asanteni.
Pascal.
Binafsi, sipendi kujizungumzia maisha yangu binafsi, lakini leo, imebidi kwa vile kuna thread ambayo mimi nilihusishwa kwa tuhuma za ushoga.
Nilijipanga kuijibu, nikakuta imefutwa. Namuomba mode, airudishe. Kama humu jf tunayasema yoyote kuhusu yoyote akiwemo mkuu wa nchi, basi ni busara uhuru huo ukaachwa hivyo hivyo ulivyo hata kama ni tuhuma zinazomhusu member wa humu ndani kuepusha jf kuonekana ina play double standards, kutuhumiwa watuhumiwe wengine bila hata ya ushahidi, lakini akituhumiwa jf member, thread inafutwa.
Naomba irudishwe ili nipate fursa ya kuzijibu baadhi ya tuhuma.
Kituko, na wengine,kaka Mayalla habari,
, nimeona umeifatilitia hii topic kwa muda mrefu na mwisho umetajwa jina kabisa, nakupongeza kwa kuwa mpore na muelewa (hukurupuki), samahani sana kaka kwa ombi langu hili la wewe kukanusha ama kuikubali hii habari,vinginevyo wengine tutachukulia ni habari ya kweli maana kimya kinamaanisha kukubali
ni ombi tu kaka
Mimi ni memba humu JF, na binafsi sipendi kwenda deep kwenye personal issues za watu, lakini kwa vile hii issue ni 'trivial' na iliwahi kuvumishwa huko nyuma, sikuona haja ya kuijibu kwa kuamini, kwenye ukweli, uongo hujitenga, niliamini imekufa kama ilivyoibuliwa, lakini uongo ukisemwa sana, na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwishowe hugeuka ndio ukweli machoni na masikioni mwa watu.
Baada ya issue hii, kuibuka tena kwenye hii, thread, niliamua kuifuatilia na hatimaye ningeijibu, hata kama usingeniomba.
Kwa wakati huu ninapojiandaa kujibu,
Naombeni kwa yoyote mwenye facts zozote kuhusu mimi na mahusiano ya kihivyo aziweke humu, ili wakati wa kujibu nijibu jumla.
1. Kwa kuanzia, naomba niweke CV yangu fupi, ili yoyote mwenye hoja yoyote dhidi yangu, ailete hapa jamvini.
Mimi ni mwandishi wa habari na Mtangazaji,
- Nimesoma primary Oyaterbay -miaka 7
- Tambaza Sekondari- miaka 4
- Ilboru High School-miaka 2
- JKT Makotupora na MMJKT-mwaka 1
- Tanzania School of Journalism- miaka 2
- Chuo Kikuu cha Dar es Salaam -miaka 4 - Nikiwa UDSM, nimeishi Block F, single room no 128. Kama kuna watu waliona any frequecy visitor wa jinsia yangu chumbani kwangu, pia naomba mseme.
2. Nimefanya kazi
- Daily News - miezi 6 (intern)
- Radio Tanzania -miaka 5
- DTV/Channel Ten -miaka 5
- TVT/TBC -miaka 2
- Umoja House -miaka 2
- PPR ambako niko mpaka sasa
3. Mimi naishi Mbezi hapa jijini Dar es Salaam, lakini pia kwa vipindi tofauti, nimewahi kuishi katika miji ya London, Washington DC, New York, Stockholm, Rome, Geneve, New Dheli, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Kigali, Lilongwe, Pretoria, J'burg etc. Kote huko, nimekuwa nikiishi na jamii za Watanzania huku ni interact kwenye sherehe, mitoko na maisha ya kawaida, hivyo lazima kuna watu wanaijua mienendo yangu, na ukweli huwa sifanyi mambo yoyote kwa kificho, kama nina tabia hizo, nawaomba waseme wazi tuu.
4. Life style yangu mimi ni lifest hivyo mambo yangu mengi ni mambo ya hadharani. Miaka 15 ya maisha yangu, nimekuwa nikiendesha bike's, big na racing bikes, kama kuna mtu ana kumbukumbu ya kuniona nimepakizana na mtu wa jinsia yangu au hata tuu kuandamana naye popote, naomba aseme wazi.
5. Nimeitumia sehemu kubwa ya ujana wangu kuishi maisha ya kawaida, kujirusha kwa kiasi, kunywa na makundi ya watu, na kujichanganya sana tuu, hivyo kwenye michanganyiko yote hiyo, kama ni mtu wa kihivyo, lazima wapo walioshuhudia, please just come forward and say it!.
6. It takes two to tangle!, kwa vile mimi ni mlengwa, basi lazima nitakuwa nimeshawahi kuwa na patner mwingine yoyote zaidi ya huyo anayetajwa, hivyo kama kuna yoyote aliyewahi kusikia mtu mwingine yoyote ana mahusiona ya kihivyo na mimi, naomba aje forward.
Baada ya kuuliza maswali yote hayo, nitakusanya majibu, ndipo nije na jibu, why me, kwanini niuhusishwe na Mataka
7.Mataka namfahamu tangu akiwa PPF, na mimi nikiwa mwanahabari. Mwaka 1999, nilidhaminiwa na PPF, NPF na Masai Studio, kufanya ziara ya kihabari nchini Marekani, hivyo nilikwenda ofisini kwake kwenye masuala ya udhamini, kwa hisia zangu, kwa vile ombi langu lilikuwa la dharura, nilipata udhamini husika na kulipwa in US $, sasa hizo pilika za malipo wakati huo, tena kwa fedha za kigeni, shughuli yake ilikuwa kubwa. Naamini ni kufutia kupatikana kwa udhamini huo, kukapelekea mabingwa wa kudhania, kujiaminisha udhamini ule, kwa uharaka ule, sio bure, lazima kuna kitu, ndipo uvumi huo ukaenezwa.
8. Nilisafiri safari husika, na katika safari hiyo, Mataka hakuwepo, sijawahi kukutana popote na Mataka tangu baada ya kuupata udhamini ule. Sijawahi kukaa nae hoteli moja popote, au kukutana naye privately popote.
9. Niliporejea nchini, mwaka 2000 ndipo Uvumi huo ukaibuka, nikiwa TBC. uliwafikia rafiki zangu wa karibu walifadhaishwa sana, hata mimi pia nilifadhaishwa na uvumi huo. Nilishauriwa ili kuufuta, nionyeshe uanamume wangu kwa kujifanya kijogoo, sikuona sababu nikiamini kwenye ukweli uwongo hijitenga, kwa vile ni uwongo, sikuujali nikiuacha ujitenge.
10. Mimi Pascal Mayalla, nathibisha kwenu, sio shoga, sina vitendo vyovyote vya ushoga. Ni baba wa watoto 6, watutu kati yao wako sekondari na wawili ni member humu JF. Naamini wale watu wangu wa karibu, wananielewa, wale wengine wasio nielewa naombeni mnielewe.
Asanteni.
Pascal.