Waraka wa pongezi kwa Miss Judith

Ujumbe mzuri nausia uliompatia nadhani utamjenga sana katika ndoa yake.
Kila la kheri😛oa
 
Bila shaka Miss Judith (Keren Happuch) atazingatia sana huu ushauri kwa msaada wa hekima anazozipata kwa Mungu kwani ninavyomfahamu judith ni mcha Mungu sana.

mkuu................ hiyo maneno kwenye bold imekaaje??.............. unataka kusema ni multiple ID syndrome inaendelea hapo??.............

Heee!:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:
Inawezekana hao watu wawili ni mtu mmoja?
Mbona itakuwa maajabu ya aina yake?

mkuu................. hata mimi hapo bado kuniingia kumukichwa kabisa................
 
mwisho wa jambo moja ndoo mwanzo wa jingine. hongera na zingatia ujumbe huu.
 
Bila shaka Miss Judith (Keren Happuch) atazingatia sana huu ushauri kwa msaada wa hekima anazozipata kwa Mungu kwani ninavyomfahamu judith ni mcha Mungu sana.

Mkuu...Miss Judith na Keren_Happuch ni watu wawili tofauti. Ubarikiwe
 
Heee!:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:
Inawezekana hao watu wawili ni mtu mmoja?
Mbona itakuwa maajabu ya aina yake?

mkuu................ hiyo maneno kwenye bold imekaaje??.............. unataka kusema ni multiple ID syndrome inaendelea hapo??.............



mkuu................. hata mimi hapo bado kuniingia kumukichwa kabisa................

Duuu...JF...is never boring..(source: The Boss)
 
Duuu...JF...is never boring..(source: The Boss)

hivi wewe Keren_Hapuch, ........................... unajua kuwa unatuhumiwa kumuibia miss judith biblia??................... (hint: mwendesha mshatka ni AshaDii)..................... haya, hebu tuambie kesi yenu imeishia wapi!!.......................
 

Mpendwa HP,

asante sana kwa waraka mzuri sana wa pongezi uliojaa hekima tele, sifa na utukufu apewe Bwana!

nimekuwa nikiusoma waraka huu na kuurudiarudia mara nyingi lakini hekima iliyomo ndani yake inanifanya nisichoke kuusoma. sio siri umeongea kila kitu cha kuzingatia kudumisha ndoa yenye upendo wa kweli na ulio endelevu. mwenzenu ndo kwanza nimeingia humu kwenye hii taasisi (kama anavyoiita PJ) msinisahau kwenye maombi yenu ili niwe mke na mama bora kwa utukufu wa Mungu mwenyewe katika kristo Yesu.

amani ya Bwana ipitayo akili zote iendelee kuwahifadhi nyote,
sasa na hata milele na milele.
amina.

mbarikiwe sana wapendwa

Glory to God!
 

Umesikia?
Mmeo akichelewa kurudi mwekee chakula mezani ale na usimhoji hoji kwa nini kachelewa labda katoka nyumba ndogo na nyumba ndogo inakusaidia sana wewe nyumba kubwa lasivyo utakuwa unachoka sana.
 
alleluhya,desa hilo MissJ

nimeishalikamata Bishanga!


PJ usichoke kutoa ushauri kaka, kumbuka mambo ya IT haya, unaweza kusave file kisha likawa corupted! ila ule ushauri wako bado uko salam mpendwa na nitaendelea kuutunza kwa ajili ya rejea ya siku zijazo. hapo kwenye mfumo dume panafikirisha na kwa hekima itokayo kwa Mungu naamini tunayaweza yote!

Bila shaka Miss Judith (Keren Happuch) atazingatia sana huu ushauri kwa msaada wa hekima anazozipata kwa Mungu kwani ninavyomfahamu judith ni mcha Mungu sana.

neno la Mungu ni taa ya miguu yangu na mwangaza wa njia zangu. haleluya!!

lakini mpendwa mie siye Keren_Happuch!

Heee!:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:
Inawezekana hao watu wawili ni mtu mmoja?
Mbona itakuwa maajabu ya aina yake?

hapana mpendwa, tu watu wawili tofauti!

Mungu ni mwema........!

........ na uaminifu wake wadumu vizazi hata vizani!! Glory to God!

....wakati wote, na awajaze upendo wake mkuu!!!

amina , amina....... amina tena na amina!!

mkuu................ hiyo maneno kwenye bold imekaaje??.............. unataka kusema ni multiple ID syndrome inaendelea hapo??.............



mkuu................. hata mimi hapo bado kuniingia kumukichwa kabisa................

nimeishafafanua mpendwa, alitufananisha tu. asante sana kwa kunitakia heri!

mwisho wa jambo moja ndoo mwanzo wa jingine. hongera na zingatia ujumbe huu.

ni kweli mpendwa,

ni Mungu mwenyewe atupandishaye kutoka utukufu mmoja hadi utukufu mwingine. heshima na ukuu wote vina yeye hata milele na milele. amina!

Kwa kweli Mungu amtangulie!

amina mpendwa, siku zote tutazitangaza fadhili zake za ajabu kwa nyumba yetu!

hivi wewe Keren_Hapuch, ........................... unajua kuwa unatuhumiwa kumuibia miss judith biblia??................... (hint: mwendesha mshatka ni AshaDii)..................... haya, hebu tuambie kesi yenu imeishia wapi!!.......................

dah! hivi lile gazeti la udaku bado liko mitaani, au lilishafungiwa?

ukimuona AshaDii, msalimie sana!

wapendwa wote katika Bwana, mbarikiwe sana na tuzidi kudumu katika pendo lake!
amani ya Bwana ipitayo akili zote na izidi kutuhifadhi tunapozitafakari njia zake
na ukuu wa jina lake takatifu!


Glory to God!
 
Hongera sana Ms. Judith, Mungu awatangulie katika ndoa yenu.
 
Hongera Mrs Judith .........
Neno langu kwako Efeso 5:22-24 na Mithali 31:10-31
Ubarikiwe mamii
 

Mpendwa hongera sana na karibu katika taasisi ya ndoa, daima mtangulize Mungu na hakika hatakuangusha.
 
Umesikia?
Mmeo akichelewa kurudi mwekee chakula mezani ale na usimhoji hoji kwa nini kachelewa labda katoka nyumba ndogo na nyumba ndogo inakusaidia sana wewe nyumba kubwa lasivyo utakuwa unachoka sana.

na kwa nini kuhojihoji mpendwa??

kwani mkiwa mwili mmoja, kiungo kimoja cha mwili huo mmoja kinaweza kuhoji juu ya nini kimefanywa na kiungo kingine?? nakupa siri moja ndugu yangu, ukisikia mtu anahoji jua hao si mwili mmoja!kama ni mwili mmoja kweli, kila kitu kifanywacho na mwili huo toka mawio hata machweo ya jua, kinajulikana na mwili mzima kwa ajili ya utukufu wa Mungu! neno hili linathibitishwa na neno la Mungu katika 1 wakorintho 6: 16 kuwa yeye aliyeungwa na kahaba, amekuwa mwili mmoja na kahaba! hivyo mtu mwenye nyumba ndogo amefanywa mwili mmoja na nyumba ndogo hiyo na amelitia unajisi hekalu la Mungu yaani mwili wake.

nakuhakikishia mpendwa wangu kuwa nitayaweza yote kwake yeye anitiaye nguvu!! nitashinda na zaidi ya kushinda. nasi kwa pamoja, tutamshinda ibilisi kwa damu ya Mwana Kondoo na kwa neno la ushuhuda (Ufunuo 12:11)

ubarikiwe sana mpendwa,

Glory to God!

Hongera sana Ms. Judith, Mungu awatangulie katika ndoa yenu.

amina mpendwa, asante sana. amina na tena amina!!

All the best sweetheart.

asante sana mpendwa,

Glory to God!!

Hongera Mrs Judith .........
Neno langu kwako Efeso 5:22-24 na Mithali 31:10-31
Ubarikiwe mamii

asante sana mpendwa.

Efeso 5;23 inasema Kristo ni kichwa cha kanisa naye ni "mwokozi wa mwili". hivyo basi, mume kama kichwa cha mkewe (au kichwa cha nyumba), ni mwokozi wa mkewe (au mwokozi wa nyumba). hakika ni wajibu mkubwa sana huu. nami nitamzingira kikamilifu ili kumwezesha kutimiza majukumu yake haya yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu

ubarikiwe sana mpendwa

glory to God!

Mpendwa hongera sana na karibu katika taasisi ya ndoa, daima mtangulize Mungu na hakika hatakuangusha.

asaante sana mpendwa.

tunayaweza yote kwake yeye atutiaye nguvu

Glory to God!
 
Hongera sana mama NA karibu kwenye club!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…