Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Safi sanaaaaaa mchango wenye tija sanaaΓ aaa huu.asante sana
 
Upuuzi mtupu, tukiambiwa tuwe na katiba nzuri yenye kupunguza madaraka kwa Rais ili ngazi za chini ziwe na mamlaka ya kuamua maendeleo yao hatutaki. Tutapiga jeramba sana na kulamba viatu vya Rais mpaka kiama
 
Upuuzi mtupu, tukiambiwa tuwe na katiba nzuri yenye kupunguza madaraka kwa Rais ili ngazi za chini ziwe na mamlaka ya kuamua maendeleo yao hatutaki. Tutapiga jeramba sana na kulamba viatu vya Rais mpaka kiama
Tusidai katiba mpya kwa kutukanana tafadhali Sasa andiko langu na matusi Yako wapi na wapi ebu jitafakari nani mpuuzi kati yangu na wew? Kama mnataka katiba mpya kwa matusi HIV mtaipata kwenye gulio katerero.
 
Someni vizur andiko langu sijasema hajasema ukweli, ila kwa nafasi aliyokuwa nayo katika nchi hii alitakiwa kufanya mengi mkoani kwake ila she did nothing leo hii ndo anatoka usingizi wakati kaisha kojoa kitandani.?
 
Duh ngoja kila mkoa utakuwa na waraka wake (nyingine za kusifia na nyingine za lawama), tuna safari ndefu ya kusaka maendeleo

kila mtu ale urefu wa kamba yake (unaanza kula mbali huku ukiwaza kamba yako ilikoanzia patakuwa na nyasii...... mara unageuka kuangalia mwanzo wa kamba unakuta pashasafishwa hamuna nyasi)
 
Sasa sisi tufanyeje kama mnafunga mipaka yote ya Uganda,Rwanda na Burundi...


Sijui hizi kuuza kahawa yako au vanilaa yako Uganda ni kama umeuza bangi???

Acha tu tukimbie huu mkoa na kubaki kujenga nyumba Kali vijijini za kufikia na kuzikwa
Umeumbuka na thread zako zamajigambo,
Si huwa unasema kagera imeendelea sana,kuna majumba yakifahari vijijini kabisa!

Mkiwa dar magari yenu mnaoshea maji ya uhai wakati ndugu zenu wanashindia mlo mmoja kijijini,hopeless kabisa!
 
Umeumbuka na thread zako zamajigambo,
Si huwa unasema kagera imeendelea sana,kuna majumba yakifahari vijijini kabisa!

Mkiwa dar magari yenu mnaoshea maji ya uhai wakati ndugu zenu wanashindia mlo mmoja kijijini,hopeless kabisa!
Kwa Nini mnatukana?
 
Nawaambia mtoke Dar na Mwanza mkaijenge Kagere
 
Sera nyingi za ujamaa zimelifanya taifa kuwa masikini na omba omba.

Hii ya uhujumu uchumi mpaka Leo imekuwa kichocheo Cha kuharibiana kimaisha na kinfumo na ni kubambikiana tu. Na ndio fimbo kubwa inayotumiwa na watawala kuwaharibia wengine
 
Kumuongelea iddi amini miaka 45 iliyopita kuwa amewarudisha nyuma ni ujinga sana
 
Mbona ujumbe mzuri tu hakuna tatizo.
Kwa maoni yangu kagera wamerudi nyuma kwa kujifanya kila mtu mjanja kupitiliza na bila shaka watu wa kagera ndio wanaongoza nchi kwa utapeli. Spirit ya kutaka mali haram bila jasho inawatawala. And then watu wa asili ya kagera wanahama kabisa kutafuta hawakumbuki kujenga kwao.
 
Wahaya hawapendani, sehemu yoyote esie karibisha wageni, na imeja wivu na fitina miongoni mwao haiwezi kupata maendeleo, walio endeleza dar sio wenyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…